Wazazi tuwafuatilie watoto wetu Mashuleni, Majumbani, Makanisani na hata wanapocheza

Watoto wanapitia mambo mengi ya unyanyaswaji mashuleni, kupigwa na walimu bila sababu maalum kisa tu mwalimu hampendi mtoto, anapitia changamoto za watoto wenzie wakorofi wana mbully mara zingine au watoto watukutu kuwafanyia vitendo vibaya.

Makanisani napo si mahali salama kabisa. Tusiamini sana hizi sunday schools sijui mafundisho au zile watoto wa kiume wanapokutana kwa ajili ya kujiandaa na misa za kesho yake hasa catholic tufatilie huko.

Kwenye michezo yao tujithidi kujua watoto wanacheza na nani,je ni watoto mnaowafahamu? Je ni wenye tabia njema? Dunia kwa sas sio rafiki kwa watoto. Tujitahidi kuwa marafiki na watoto watuelezee changamoto zao. Unakuta mtoto anakosa raha akisikia shule au hataki kwenda kanisani unamlazimisha na kumchapa kabisa. Kama mtoto hataki kitu fulani au kwenda mahali tuchunguze sababu.

Wazazi tushirikishane visa vilivyowafanya mpaka mkaanza kufuatilia watoto wenu na mlipogundua unyanyasaji au matendo yoyote mabaya mlichukua hatua gani kumsaidia mtoto.

Nimekumbuka leo mtoto wangu alikua ana rafiki yake wkt yupo pre unit akawa anasema fulani anapenda kunivuta kidudu changu. Mimi kwa kweli sikupenda yani aliponiambia hivyo kama mara mbili ya tatu nikaenda shule nikaonana na mkuu wa shule akaitwa mwalimu wa darasa na mtoto husika akaulizwa akasema ndio akaulizwa kwanini akawa hana jibu akatishiwa pale na wakamwambia watamchapa na kumfukuza shule akirudia akaitwa na mzazi wake next day akaambiwa tabia ya mwanae. Aliacha ile tabia na siku hazikupita nyingi akahamishwa shule. So nikashukuru mtoto aliliripoti tukio kwahyo siku hizi niko makini sana kuwauliza kuna lolote shule? Kuna mtu anaonewa? Kuna aliepigwa?

Kisa kingine ni mtoto wa dada yangu na yeye kuna siku alipigwa akarudi amevimba mkono aisee kuulizwa akasema ticha fulani kanichapa. Lakini alishalalamika kuwa kuna ticha anatuchapa sana mama yake alipoenda shule ni kweli alikutana na kesi hizo kwa mwalimu mkuu na ndo tabia ya mwalimu so walimkanya naona siku hizi hali haijajirudia.
I think we need to be careful not only that, but also hata hizo boarding schools. kuna watoto kadhaa walisharipotiwa kulawitiana kwenye shule za boding, hasa hao wenye miaka 7 hadi 14. mtoto wako ukiona hana nguvu za kupigana ndio kabisaa, ataonewa huko shuleni na wenye nguvu na wanaweza kumfanya chochote. ukifanya mchezo, mtoto wako anaweza kuwa vyovyote na ajabu yake ni kwamba huwa wanajua kuwa ni kosa na watajitahidi sana kuficha kwa wazazi wasijue kwasababu wanaogopa mzazi atawachapa kwani wanajua ni kitu kibaya, hivyo anaishi nacho hadi uzeeni na anakuwa si riziki ukifanya mchezo.

waalimu wa shule hizi za english medium au niseme wale ma matron, ni wakatili sana na kwasababu wanapewa mshahara mdogo, wanamalizia hasira kwa watoto, wanawaharibu watoto kisaikolojia na kuwavuruga kabisa. kifupi boarding school ni kifungo kabisa kwa watoto. hautajua hilo hadi utakapokaa pembeni na mwalimu au matron anayekupenda akakupa ukweli wa kila kinachotendeka huko. vijana wengi tu wamekuwa mashoga kwasababu ya boarding schools za shule za english medium, hao mashoga wengi unawasikia wapo ni wachache sana wametoka shule za kayumba. Mungu atusaidie hili taifa.
 
I think we need to be careful not only that, but also hata hizo boarding schools. kuna watoto kadhaa walisharipotiwa kulawitiana kwenye shule za boding, hasa hao wenye miaka 7 hadi 14. mtoto wako ukiona hana nguvu za kupigana ndio kabisaa, ataonewa huko shuleni na wenye nguvu na wanaweza kumfanya chochote. ukifanya mchezo, mtoto wako anaweza kuwa vyovyote na ajabu yake ni kwamba huwa wanajua kuwa ni kosa na watajitahidi sana kuficha kwa wazazi wasijue kwasababu wanaogopa mzazi atawachapa kwani wanajua ni kitu kibaya, hivyo anaishi nacho hadi uzeeni na anakuwa si riziki ukifanya mchezo.

waalimu wa shule hizi za english medium au niseme wale ma matron, ni wakatili sana na kwasababu wanapewa mshahara mdogo, wanamalizia hasira kwa watoto, wanawaharibu watoto kisaikolojia na kuwavuruga kabisa. kifupi boarding school ni kifungo kabisa kwa watoto. hautajua hilo hadi utakapokaa pembeni na mwalimu au matron anayekupenda akakupa ukweli wa kila kinachotendeka huko. vijana wengi tu wamekuwa mashoga kwasababu ya boarding schools za shule za english medium, hao mashoga wengi unawasikia wapo ni wachache sana wametoka shule za kayumba. Mungu atusaidie hili taifa.
Ni kwa neema za Mungu pekee ndo atatusaidia
 
Wazazi majumbani tuwe na ufuatiliaji na ulinzi wa watoto kupitia ukaribu na walimu wao mashuleni hata kwa kuwapa vitip vya hapa na pale ili wawe macho na watoto angalau wanapokuwa hawana njaa....

Wazazi wenye watoto boarding msiwatelekeze hawa watoto, muwe mnafanya visiting za hapa na pale na kuwahoji watoto aina ya maisha pamoja na marafiki zao na hata kuwasoma saikolojia na miili yao, unapoona lolote geni kwa mtoto kuwa mkali hapo hapo na kuanza ufuatiliaji...

Kama hakuna ulazima saaana hakuna haja yakupeleka mtoto boarding, mlee mwenyewe awe anasoma day, boarding sio safe kwa watoto wetu hawa ambao wengi wao uelewa unakuja kuanzia miaka 10 na chini ya hapo kila kitu kwake ni sawa tu....

Vijana wengi wanamiliki watoto na familia lakini elimu hasa ya malezi na namna ya kulea mtoto kwao ni shida, matokeo yake mtoto au watoto wanajikuza wenyewe.....ni hatari sana.....Kama hujawa tayari kuzaa acha endelea kula ujana kuliko kuleta mtoto atakayeteseka....
Aisee ni kweli
 
Me nilifanyiwa ukatili mkubwa Sana baada ya kuanza halakati za kudai haki Elimu, kitendo kilichopelekea Headmistress kunihisi ni watu wa usalama na kuanza kuniona Adui mkubwa,

Me nimtu wakupuuzia vitu hasa kama sijatenda Mimi sasa kukaa kwangu kimya Kumbe wenzangu wananiwinda ili kunifukuzisha Shule ili nyoyo zao zifurahi, mbaya zaidi Kuna baba mmoja alienda kwa Afsa Elimu kumueleza madhaifu ya Mwalimu mkuu basi walimu wakajua moja kwa moja ni Mimi

Mambo yakawa moto walimu woote wakawa hawataki hata kuniona Darasa nililokuwepo wakalisusa ikawa tunakaa Hadi week bila kusoma kisa Mimi kuwa mnoko jamani wakati sijui chochote wala sihusiki na Chochote

Niliishi maisha Magumu Sana pale shule Soo hayo ndiyo yalinikuta nikiwa shule ingawa yapo mengi ila nimejaribu kusamulize.
WE JAMAA MUONGO SANA HATA NAMNA YAKO YA KUANDIKA.
 
I think we need to be careful not only that, but also hata hizo boarding schools. kuna watoto kadhaa walisharipotiwa kulawitiana kwenye shule za boding, hasa hao wenye miaka 7 hadi 14. mtoto wako ukiona hana nguvu za kupigana ndio kabisaa, ataonewa huko shuleni na wenye nguvu na wanaweza kumfanya chochote. ukifanya mchezo, mtoto wako anaweza kuwa vyovyote na ajabu yake ni kwamba huwa wanajua kuwa ni kosa na watajitahidi sana kuficha kwa wazazi wasijue kwasababu wanaogopa mzazi atawachapa kwani wanajua ni kitu kibaya, hivyo anaishi nacho hadi uzeeni na anakuwa si riziki ukifanya mchezo.

waalimu wa shule hizi za english medium au niseme wale ma matron, ni wakatili sana na kwasababu wanapewa mshahara mdogo, wanamalizia hasira kwa watoto, wanawaharibu watoto kisaikolojia na kuwavuruga kabisa. kifupi boarding school ni kifungo kabisa kwa watoto. hautajua hilo hadi utakapokaa pembeni na mwalimu au matron anayekupenda akakupa ukweli wa kila kinachotendeka huko. vijana wengi tu wamekuwa mashoga kwasababu ya boarding schools za shule za english medium, hao mashoga wengi unawasikia wapo ni wachache sana wametoka shule za kayumba. Mungu atusaidie hili taifa.

Ni kweli kabisa, ujira mdogo wa walimu kwenye hizi shule umepelekea wasijali chochote na wawe washenzi washenzi....Serikali nayo haina controlling kwenye hizi shule, hakuna mfumo wa kuziongoza nk...
 
I think we need to be careful not only that, but also hata hizo boarding schools. kuna watoto kadhaa walisharipotiwa kulawitiana kwenye shule za boding, hasa hao wenye miaka 7 hadi 14. mtoto wako ukiona hana nguvu za kupigana ndio kabisaa, ataonewa huko shuleni na wenye nguvu na wanaweza kumfanya chochote. ukifanya mchezo, mtoto wako anaweza kuwa vyovyote na ajabu yake ni kwamba huwa wanajua kuwa ni kosa na watajitahidi sana kuficha kwa wazazi wasijue kwasababu wanaogopa mzazi atawachapa kwani wanajua ni kitu kibaya, hivyo anaishi nacho hadi uzeeni na anakuwa si riziki ukifanya mchezo.

waalimu wa shule hizi za english medium au niseme wale ma matron, ni wakatili sana na kwasababu wanapewa mshahara mdogo, wanamalizia hasira kwa watoto, wanawaharibu watoto kisaikolojia na kuwavuruga kabisa. kifupi boarding school ni kifungo kabisa kwa watoto. hautajua hilo hadi utakapokaa pembeni na mwalimu au matron anayekupenda akakupa ukweli wa kila kinachotendeka huko. vijana wengi tu wamekuwa mashoga kwasababu ya boarding schools za shule za english medium, hao mashoga wengi unawasikia wapo ni wachache sana wametoka shule za kayumba. Mungu atusaidie hili taifa.
Niko kwenye mawazo sana,kijana wangu anapaswa kuingia darasa la 4 shule anayosoma na hata mashule jiran ni lazima mtoto akae boarding na binafsi sitak wanangu wakae boarding kwa level ya msingi hivyo nimekua njia panda sielewi nafanyajee

Najiuliza kwann serikal iko kimya juu ya huu upuuzi wa boarding za lazima kwa watoto tena wa ma darasa ya msingi
 
Kama.m
Niko kwenye mawazo sana,kijana wangu anapaswa kuingia darasa la 4 shule anayosoma na hata mashule jiran ni lazima mtoto akae boarding na binafsi sitak wanangu wakae boarding kwa level ya msingi hivyo nimekua njia panda sielewi nafanyajee

Najiuliza kwann serikal iko kimya juu ya huu upuuzi wa boarding za lazima kwa watoto tena wa ma darasa ya msingi
Kama mimi tuu. Ila nimeshasema hatakaaa..nilimwandikisha Day kwa sbb nilijua ni mdg kukaa boarding kwahyo huo ndo uamuzi wangu..atarudi kama kawaida muda anaotoka shule kama kuna masomo ya ziada wampe mazoezi kwny vitabu vyake. Mtoto mwenyewe msumbufu kula akikaa huko si ndo ataisha. Mimi nimeshajipanga kwa kweli nina facts zangu ntawapa why asikae huko. Kubwa anajiweza kiakili haitaji kukesha huko masaa anajisomea.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom