Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 286
Nimeenda somewhere kumtembelea ndugu yangu nimegundua wao ndio hutengeneza wanawake wa baadae wabovu pasua kichwa na wa kututesa baadae
Yaani watoto wanalelewa ovyo ovyo ovyo sana
Mtoto hajui neno hamna! Hakuna
Chakula kinapikwa mtoto hataki kula kisa tu ni ugali au chakula kingine asichotaka
Mtoto yupo radhi alale njaa kisa hajapata chakula anachota, anataka chips mtoto wa darasa la tatu au nne anata kupasua kichwa unasema mtoto amenishinda?
Mzazi mwenyewe anajua mtoto wake atampa shida mumewe! Mtoto anakosa kitu analia hadi anaanguka chini anapewa!
Jf jamani sisi ndio wazazi tuache ukisasa wa kifala tunapoteza watoto na kuwapa kazi wanaume kulea hao watoto wenu
Yaani watoto wanalelewa ovyo ovyo ovyo sana
Mtoto hajui neno hamna! Hakuna
Chakula kinapikwa mtoto hataki kula kisa tu ni ugali au chakula kingine asichotaka
Mtoto yupo radhi alale njaa kisa hajapata chakula anachota, anataka chips mtoto wa darasa la tatu au nne anata kupasua kichwa unasema mtoto amenishinda?
Mzazi mwenyewe anajua mtoto wake atampa shida mumewe! Mtoto anakosa kitu analia hadi anaanguka chini anapewa!
Jf jamani sisi ndio wazazi tuache ukisasa wa kifala tunapoteza watoto na kuwapa kazi wanaume kulea hao watoto wenu