Wazazi na Serikali, tujiandae na janga lingine baada ya COVID19

Ushimen

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
36,655
83,584
Siombaya nikiweka wazi kwamba sasa ninaendelea vizuri baada ya kupigwa na dhoruba kali siku kadhaa silizo pita.

Back to the point..

Baada ya serikali kuamuru watoto wetu warudi majumbani toka mashuleni ili kupisha janga hili la COVID19, kuna mambo kadhaa nimeyaona huku mitaani.

Kwasasa ni jukumu la wazazi kuwalinda watoto wetu ili wawe watulivu majumbani.

Huku mitaani kuna ombwe na vijana wanazagaa kitaa, pia vijana hawa wamekuwa na matembezi mengi yasio ya msingi kabisa. Hali hii imenipelekea mimi kama mzazi kuamua niwakumbushe wazazi wenzangu wawe makini na watoto wao.

Na kwakuwa sasa watoto Wapo mikononi mwa wazazi/walezi basi nijukumu sasa kwetu sisi kuwa thibiti watoto hawa ambao ninaona kabisa pasipo udhibiti watoto wengi wataanza kujiingiza kwenye matendo yasio mema na wakike watajikuta wana tiwa mimba za utotoni, na hata kujiweka kwenye mazingira hatarishi kwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, milipuko nk.

Nashauri wazazi na walezi kuliangalia hili kwa upana na hasa wajitahidi kila mmoja kumdhibiti watoto wake, maana bila hivyo tutajikuta baada ya kumaliza janga la COVID19 tutajikuta tumezalisha janga lingine jipya la watoto kupata mimba za utotoni na vijana kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu.

Mwenye sikio na asikie.

Naomba kuwasilisha........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nikupe pole kwa 'dhoruba' iliyo kukumba, nimefurahi kuona emerejea tena ukiwa fit again.

Ni kweli watoto wanazagaa sn mitaani, nadhani ushauri wako unahitaji kufanyiwa kazi kwa kuzingatia hali halisi na pia bado hatujajua ni lini hali itatengemaa.
 
Kwanza nikupe pole kwa 'dhoruba' iliyo kukumba, nimefurahi kuona emerejea tena ukiwa fit again.

Ni kweli watoto wanazagaa sn mitaani, nadhani ushauri wako unahitaji kufanyiwa kazi kwa kuzingatia hali halisi na pia bado hatujajua ni lini hali itatengemaa.
Asante mkuu, nimerudi barabarani upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa dhoruba... Ila sijui mimi nina mawazo tofauti au laa niliona bora watoto wawe shule kuliko ninachokiona huku mtaani... Yaani wangefanya hata shift kama jangwani sec pale... Mathalan form two na form four asubuhi mpka saa sita form one na three saa sita hadi kumi ili kupunguza misongamano darasani... Watoto wanazurura mitaani wengine wameshasahau hata definitions ndogo tu kwa kipindi hiki kifupi... Walimu watakuwa na mzigo mkubwa kwelikweli shule zitakapo funguliwa sijui mwezi gani au mwaka gani
 
NAKOLEZA MADA:
Kabla ya corona watoto walikuwa wakisoma na wengine kurudi nyumbani, ilhali kunakuwepo na vipondi tofauti vya kufunga shule pia.

Baada ya corona imeonekana watoto kuwepo nyumbani ni kama kitu kipya.
Mijadara mingi kwa watoto utadhani hawajawahi kuishi au kuwepo katika mazingira hayo.

Japo ilipaswa kuweka hadhari kwa familia ambazo kipato ni kidogo hivyo kukaa nyumbani pasi kutoka ni tatizo na ukizingatia baadhi wanaishi kwa kutegemea kengere hama baba/mama arudi ndipo kiliwe.

Kingine mazingira, haohao wanaoonekana mtaani ndiyo walewale ambao hata kabla ta corona walikuwepo mtaani wakizurula, labda kwa sasa ni kutokana na mszingira kuwa wazi sana hivyo kupelekea kuonekana mara nyingi kutokana na eneo kuwa kubwa.
 
Siombaya nikiweka wazi kwamba sasa ninaendelea vizuri baada ya kupigwa na dhoruba kali siku kadhaa silizo pita.

Back to the point..

Baada ya serikali kuamuru watoto wetu warudi majumbani toka mashuleni ili kupisha janga hili la COVID19, kuna mambo kadhaa nimeyaona huku mitaani.

Kwasasa ni jukumu la wazazi kuwalinda watoto wetu ili wawe watulivu majumbani.

Huku mitaani kuna ombwe na vijana wanazagaa kitaa, pia vijana hawa wamekuwa na matembezi mengi yasio ya msingi kabisa. Hali hii imenipelekea mimi kama mzazi kuamua niwakumbushe wazazi wenzangu wawe makini na watoto wao.

Na kwakuwa sasa watoto Wapo mikononi mwa wazazi/walezi basi nijukumu sasa kwetu sisi kuwa thibiti watoto hawa ambao ninaona kabisa pasipo udhibiti watoto wengi wataanza kujiingiza kwenye matendo yasio mema na wakike watajikuta wana tiwa mimba za utotoni, na hata kujiweka kwenye mazingira hatarishi kwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, milipuko nk.

Nashauri wazazi na walezi kuliangalia hili kwa upana na hasa wajitahidi kila mmoja kumdhibiti watoto wake, maana bila hivyo tutajikuta baada ya kumaliza janga la COVID19 tutajikuta tumezalisha janga lingine jipya la watoto kupata mimba za utotoni na vijana kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu.

Mwenye sikio na asikie.

Naomba kuwasilisha........

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushimen karudi dimbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siombaya nikiweka wazi kwamba sasa ninaendelea vizuri baada ya kupigwa na dhoruba kali siku kadhaa silizo pita.

Back to the point..

Baada ya serikali kuamuru watoto wetu warudi majumbani toka mashuleni ili kupisha janga hili la COVID19, kuna mambo kadhaa nimeyaona huku mitaani.

Kwasasa ni jukumu la wazazi kuwalinda watoto wetu ili wawe watulivu majumbani.

Huku mitaani kuna ombwe na vijana wanazagaa kitaa, pia vijana hawa wamekuwa na matembezi mengi yasio ya msingi kabisa. Hali hii imenipelekea mimi kama mzazi kuamua niwakumbushe wazazi wenzangu wawe makini na watoto wao.

Na kwakuwa sasa watoto Wapo mikononi mwa wazazi/walezi basi nijukumu sasa kwetu sisi kuwa thibiti watoto hawa ambao ninaona kabisa pasipo udhibiti watoto wengi wataanza kujiingiza kwenye matendo yasio mema na wakike watajikuta wana tiwa mimba za utotoni, na hata kujiweka kwenye mazingira hatarishi kwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, milipuko nk.

Nashauri wazazi na walezi kuliangalia hili kwa upana na hasa wajitahidi kila mmoja kumdhibiti watoto wake, maana bila hivyo tutajikuta baada ya kumaliza janga la COVID19 tutajikuta tumezalisha janga lingine jipya la watoto kupata mimba za utotoni na vijana kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu.

Mwenye sikio na asikie.

Naomba kuwasilisha........

Sent using Jamii Forums mobile app


Aliandika@Mshana jr wakamzodoa balaa..
Mshana Jr
 
Kuna kila haja ya kuhakikisha vichwa vya watoto kuwa na uwezo wa kujiongoza kiusahihi kwa maana hata kama wazazi wana nafasi kwa watoto wao ili tutambue mtu kama mtu ndio ananafasi ya kwanza ya kuharibika au kutoharibika..!
Ni muhimu sana watoto wakapewa elimu ya wao kuhusu mienendo yote na matokeo, mzazi ni msimamizi tu ila nafasi kubwa ya mtu ni yeye!..

Nafasi ya kujitambua ipo ktk kila mtu.. na wengine kuna njia wataenda sasa hivi ila watasitisha shule zikifunguliwa!..
Ila nafasi hiyo huenda akaja kuona ni muhimu akishakuja kujua shule sio kila kitu..

Hiyo paragraph ya mwisho naomba isomwe kwa umakini👆👆
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom