Wazazi muwe makini na birthday wanazokwenda vijana wenu. Birthday party nyingi ni sehemu ya kuhalalisha ushoga kwa Dar

Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
Chanzo ni wazazi wenyewe. Unakuta mtu anampeleka mtoto boarding toka darasa la kwanza... unategemea nini? Kiwanda cha kuzalisha mashoga ni boarding schools
 
I mean that no one is born 'gay', they become gay in the society that is raising them
The society should the first to be blamed
Wengi wanakuwa walipokuwa wadogo, walifanyiwa vitendo hivyo.( walibakwa) Ndugu tunaoishi nao majumbani, wengine ni wabaya.
 
Hamna dhambi ambayo siku hizi tuna ishangilia kama ya kumwingilia kinyume na maumbile binti wa kike. Kimaumbile sehemu ya haja ya kubwa na ya mwanamke na mwanaume ni zinafanana kwa kila kitu.

So ukimwingili kinyume na maumbile mwanamke basi kumwingilia shoga ni kazi nyepesi na ndio maana Mungu na mila na desturi zetu wa Afrika zimekataza,waliyajua haya.
Umeongea fact kubwa sana, kama tumezoea kuwaingilia watoto wa kike kinyume na maumbile basi ni kazi rahisi sana kumgeuza mtoto wa kiume kwa sababu tundu ni lile lile
 
Chanzo ni wazazi wenyewe. Unakuta mtu anampeleka mtoto boarding toka darasa la kwanza... unategemea nini? Kiwanda cha kuzalisha mashoga ni boarding schools
Na wazaz tuko busy kutafuta tunasahau kuwa karibu na watoto wetu..ukionana nae weekend tena masaa kadhaa.....
Anapitia nini hujui
 
Secondary kulikuwa na Jamaa watatu walikuwa wana tabia za kidada yani Kuongea sauti mpaka mitembeo yao.. Mmoja alikuja kuanza form one ana sura nzuri watu kwenye kumsifia akanogewaa eeeh Wakaanza kulaaa hadi wazazi wake wakaitwa yani Walilia sanaa..!! Nyingine nilikuwa naijua familia inayosali sana yani sana lakini Huwezi amini walikuwa na ndugu yao wanaishi nae ni Gay... Mwisho wa siku ni Kuomba na kumlea mtoto katika njia sahihi.. Mambo ya simu na cd za ngono ni vitu vya kukwepa san
 
Ushoga na usagaji ni laana na walaaniwe wote watendao vitendo hivyo na wenye kuunga mkono vitendo hivyo.

Hilo swali nimejiuliza nikahitimisha ya kuwa ndege wafanano huruka pamoja,ukiona unakutana na huo upuuzi ujue na wewe ni mtu wa mambo hayo.
Mi huwa nashangaa hapa ivi kwann izi Nchi zinazo support ushoga ndio zimepiga hatua ya kiuchumi Kisha Zina tunyanya paaa sir nchi masikin kwa kutupa misaada yenye kutaka tukubali LGBTism
 
Nadhani hoja ya ushoga na kusheherekea birthday ni vitu viwili tofauti, isije ikawa kila anaeshiriki party za birthday ikatafsirika ni shoga.
 
Kusherekea birthday ni upumbavu na ujinga wa zama hizi ambao wazazi ndo wanashikilia mapembe hayo mambo kwa kuwaendekeza watoto wao
Embu jiulizeni wazee wenye miaka 50+ mliwahi kusherekea haya mambo lakini wazee ndo wanaangusha jamii kwa kusapoti hya mambo yanoitwa birthday.

Tubadilikeni maisha magumu hlf tunazidi kupenda starehe zisizo na maana.
 
Besidei ni mambo ya mjini tu, jamii kubwa ya Watanzania wala haina habari za besidei.
 
hivi huwa mnawaonaje? Mbona Mimi sijawahi kuwaona?..

Nasisitiza hapa nchini kuna uhuru wa aina nyingi lakini sio kuwa Gay..!

Nimekumbuka kitabu cha "things fall apart "
Japo hakuna ugay lakini kinasadifu namna wazazi Walivyokuwa na matumaini makubwa kwa watoto Ila mambo yakaenda kombo kinyume kabisa.

I remember you okonkwo a true Man..
 
Muone na huyu, lol
Na wengine wamemfata anawatumia, wanadindisha kabisa wakiwa wanaangalia wakimaliza kupiga pull wanarudi JF kujilaanisha, kujikasirisha, kujisononesha, kujikemeesha,

Daah!
Haaaaa Haaaaa 😂. Mbavu zangu mimi jamani
 
Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
Siku hizi unaweza kukutana na kusanyiko la vijana wa kiume wakisherehekea birthday, kumbe ni kusanyiko la mashoga.

Kuna birthday zinazo wakutanisha mashoga, vijana wadogo ingawa wengine watu wazima. Hili janga tusione aibu kulizungumzia kwa kudhani halipo nawahakikishieni lipo tena kubwa sana.

Mashirika ya haki za binadamu na taasisi nyingine wapo kimya katika janga linalolinyemelea taifa, Ukahaba, umalaya, ushoga umekithiri hasa katika vyuo vyetu vikuu.

Na niseme vyuo kadhaa vya Dar es Salaam vinaongoza katika dhambi hizi, hasa chuo kikuu cha UDSM ikiwa kinara ikifuatiwa na IFM na CBE kwa kasi hii ya ushoga sisi kama Taifa tuko hatarini kupoteza nguvu kazi ya kesho, hivyo serikali inabidi kulifanyia kazi hili suala ili kuokoa kizazi kijacho, hali ni mbaya sana huku mtaani.

Nakatika uchunguzi wangu nimegundua ya kwamba changamoto zinazopelekea vijana wa kiume walioko vyuo vikuu, kujihusisha na ushoga ni pamoja na kupenda mno starehe kuliko uwezo wao, kupenda fedha, wengine wanakuja wakiwa tayari wameisha fanya huko watokako (mikoani) na wakifika dar es salaam ndio wanajiachia hasa.

Wito kwa wazazi muwe makini kuwafuatilia watoto wenu, maana hali ni mbaya sana huku mtaani.
Happy birth vs Gaism, tunao mashoga,wametalaki dsm hasa miongoni mwa wanachuo, kuwagundua sio rahisi, ili ujionee kirahisi ni pale penye tukio la sherehe hizo ndio hao watu hujiachia kiasi cha kumtambua msherehekea anamla au kuliwa na nani na washiriki hufanya vitendo vya kishoga wazi wazi kwenye aina hio ya tukio.

Kuna umuhimu ukiacha location tajeni viashiria vingine na location zingine.

Nimesononeka sana wanaosex na mashoga wengi sana nasikia wanawala kwenye magari na kuwainamisha vyooni, katikati ya upenyo wa magari maeneo ya starehe usiku, na kiwanja kimoja mashoga 50+,100+ its too alarming and deadly.
 
serikali ndio tatizo sheria zake hazitumiki ipasavyo ona wanavyojiandika kwenye magezeti mambo ya ovyo lakini tupo kimya hakuna hatua yoyote
 
Back
Top Bottom