Wazazi msipopiga marufuku watoto wa kike kuvaa vimini, mtegemee kuletewa mimba

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Habari zenu,

Hakuna jambo linalonikera kama kuona binti mdogo wa shule akiwa kavaa kimini na wazazi wakiwa pembeni wakimpongeza.Mtoto unapomsifia kuwa kapendeza kwa kuvaa nguo hizi unamwaminisha kwamba ndiyo nguo halali na inayompendeza kuriko nguo zingine zote.

Tena wengine mnawatia viburi kiasi kwamba wanapokuja kukosolewa na walimu wao au majirani, kinachotokea huwa wanawapuuza na kuwadharau. Ikumbukwe kwamba mavazi hayo ya vimini ndiyo vichocheo vya wao kutakwa na hatimaye kutiwa mimba.

Naombeni Maafisa utamaduni kutoka kila wilaya pitisheni msako mkali ambapo mtoto ambaye atakutwa na vimini wazazi wake wakamatwe kwa kosa la kuharibu maadili ya mtoto.
 
Habari zenu,

Hakuna jambo linalonikera kama kuona binti mdogo wa shule akiwa kavaa kimini na wazazi wakiwa pembeni wakimpongeza.Mtoto unapomsifia kuwa kapendeza kwa kuvaa nguo hizi unamwaminisha kwamba ndiyo nguo halali na inayompendeza kuriko nguo zingine zote.

Tena wengine mnawatia viburi kiasi kwamba wanapokuja kukosolewa na walimu wao au majirani, kinachotokea huwa wanawapuuza na kuwadharau. Ikumbukwe kwamba mavazi hayo ya vimini ndiyo vichocheo vya wao kutakwa na hatimaye kutiwa mimba.

Naombeni Maafisa utamaduni kutoka kila wilaya pitisheni msako mkali ambapo mtoto ambaye atakutwa na vimini wazazi wake wakamatwe kwa kosa la kuharibu maadili ya mtoto.

Ndugu yangu una hoja ya kimaadili ambayo naiunga mkono. Hata hivyo solution uliyopendekeza sina uhakika kama ina nguvu ya kisheria.
 
Yani siku hisi ni balaa! Hebu pita pita hizi tution mbali mbali watoto wapo likizo ni ajanga, mfano pita hapa mapambano mwenge, mpaka wakati mwingine unajiuliza huyu bint anatoka kwao au hana wazazi, mpaka unaona huruma mana ukiangalia ni vya kugegeda tu
 
Umeeleza ukweli mtupu ila sijui kwanini wazazi nao sikuhizi hawana nguvu, sauti na ukali kwa watoto wao kama zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom