Wazazi, mnajua kama vijana na binti zenu wameoa na kuolewa huko vyuoni?

Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.

3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
Hapo kwenye miaka 3 nitumie mbinu gani aelewe?
 
Hapo kwenye miaka 3 nitumie mbinu gani aelewe?
Wanajua kila kitu.Kuna mtoto fulani wa kike wa miaka mitatu alikuwa abakwe na wale walimu wa madrasa akakimbia.

Alipoulizwa alijuaje kuwa anafanyiwa kitendo kibaya akasema kuwa kuna siku alimsikia Mama yake akiongea na jirani yao juu ya masuala ya ubakaji.

Hii maana yake ni kwamba kama huyo mtoto angefundishwa mapema masuala ya ubakaji angeelewa vizuri tu.
 
Wanajua kila kitu.Kuna mtoto fulani wa miaka mitatu alikuwa abakwe na wale walimu wa madrasa akakimbia.

Alipoulizwa alijuaje kuwa anafanyiwa kitendo kibaya akasema kuwa kuna siku alimsikia Mama yake akiongea na jirani yao juu ya masuala ya ubakaji.

Hii maana yake ni kwamba kama huyo mtoto angefundishwa mapema masuala ya ubakaji angeelewa vizuri tu.
Kwa maelezo hasa nimepata Mwanga wa kuongea na mwanangu. Asante
 
Wanajua kila kitu.Kuna mtoto fulani wa kike wa miaka mitatu alikuwa abakwe na wale walimu wa madrasa akakimbia.

Alipoulizwa alijuaje kuwa anafanyiwa kitendo kibaya akasema kuwa kuna siku alimsikia Mama yake akiongea na jirani yao juu ya masuala ya ubakaji.

Hii maana yake ni kwamba kama huyo mtoto angefundishwa mapema masuala ya ubakaji angeelewa vizuri tu.
Ninaposikia story kama hizi napata pressure sana, binti yangu anapenda madrassa hatari. Yaani ukitaka ugombane nae basi siku mwambie leo usiende madrasa
 
Leo nimefanikiwa kupiga story na mfanyabiashara wa duka la madawa lililopo karibu na chuo kimoja kikubwa tu hapa nchini.

Katika stroy zake nimegundua dawa inayonunuliwa kwa wingi hapo dukani Ni P2, na wateja wake ni wanachuo.

Story yake imenirudisha nyuma kidogo wakati nikiwa chuo, kulikuwa na ndoa nyingi zisizo rasmi, wanafunzi walipeana majukumu ya wanandoa kama hawana akili.

Ndoa nyingi zilikua zikidumu kwa muda mfupi tu kwani wanandoa uchwara hao walikuwa wakibadili wapenzi kila baada ya semester.

Kufupisha story wazazi anzeni kufuatilia mienendo ya mabinti na vijana wenu wanapokuwa vyuoni.

Vijana wengi wamepata maambukizi ya UKIMWI na mabinti kupewa ujauzito Bila wazazi kufahamu.

Kuna wengine hulazimika kutokurudi nyumbani wamalizapo chuo kwa kuogopa adhabu Kali kutoka kwa wazazi pindi Siri yao ikigundurika.
Roho huwa inaniuma sana nikikumbuka jinsi nilivyokuwa nawamezesha watoto wa watu yale mavidonge ya P2

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
tuachen wanachuo..............tule bata kila siku mntusimanga.....mara ajira hakuna......
 
Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?

Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill
 
Ora wajuba mbona Kama tunakuja tishana kiboya arifu maswala gani izi za kuja kurushiana ma presha bp na sheli
Mi enyewe nnao binti yangu Apo fasi ya udsm nilizaaga na mtasha asee kwaiyo ni Kama shombe flani ivii kwaiyo mnataka niambia Kuna mjuba anaishi nae?
Hana mkopo nagharamia makila kitu kwaiyo mnataka niambia nikimtumiaga mapoketi money ya kununulia mazaga pale geto kwake Kuna mjuba anakuja pale kula nae?

Asee ngoja nifanyage marisechi nikija gunduaga izi makitu natimba Apo dasalade kwa spidi ya ngiri mkia juu nakuja ku kid kan kill
😂😂😂
 
Nina rafiki yangu St Josephu University, mbezi mwisho Naona kaoa tu, ila kwa ninavyo waangalia kwa jicho la mbali wakiondoka hapo chuo sidhani kama kuna ndoa hapo ni kunyanduana tu , aisee ukweli wanachuo wana nyanduana vikali
 
Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:

1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.

2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua,ngono pamoja na mimba.

3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.

4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.

5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.

6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.

Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.
Sawa uncle,
 
Mwanachuo ni mtu mzima ana akili ya kujua mabaya na mazuri hivyo anachofanya ni yeye na akili zake kutaka kumchunga ni kujiongezea stress

Samaki anakunjwa angali mbichi akifika hucho chuo tayari ameshakauka au atakachokifanya huko ni maamuzi yake (nothing to do with wazazi) lawama kama zipo ziwaendee wahusika...

Anyway at that age their great great great parents tayari walikuwa na vitukuu at that age na wengine walishakuwa na wake 10 au kwenye ndoa za wake wenza kumi
 
Back
Top Bottom