Lindiwe90
Member
- Jul 20, 2016
- 39
- 60
Hapo kwenye miaka 3 nitumie mbinu gani aelewe?Ukiwa mzazi wa mtoto wa kike fanya yafuatayo kwa mwanao:
1. Akifikisha umri wa miaka 3 mfundishe masuala ya ubakaji.
2. Akifikisha umri wa miaka 9 mfundishe masuala ya kukua pamoja na ngono.
3. Akifikisha umri wa miaka 15 mfundishe masuala ya mapenzi na kwamba umri wake hauruhusu hayo mambo.
4. Akifikisha umri wa miaka 17 mfundishe masuala ya mahusiano na jinsi ya kukabidhiana nayo.
5. Akifikisha miaka 20 mfundishe masuala ya ndoa.
6. Akienda chuo kikuu muonye juu ya ngono na mfundishe juu ya umuhimu wa nidhamu ya ngono katika maisha.
Baadae nitarudi kwa ajili ya watoto wa kiume.