Wazazi mmewaangusha Walimu kwenye malezi kipindi cha COVID19

Kuna wakati unazungumza na mzazi unatamani yeye ndio umchape viboko. Tunapaswa kuangalia tulipoanguka kama wazazi.
hii imetokea hii Mzazi hajui mwanawe alipo anaulizwa unakaa na mkeo Nyumba moja anajibu wameachana sasa kwa mwenzio wakujua anajibu hakujui ht namba ya simu ya mama watoto wake hanaa!unatamani umpige aseeh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamii ya sasa imekosa maadili sana hiyo ndiyo sababu kubwa ya haya yote na tunakoelekea ni kubaya zaidi.

Jukumu la malezi kwa watoto ni la mzazi/wazazi/walezi hapa namaanisha hata walimu pia ni wazazi/walezi wa watoto hivyo wanapaswa kuhakikisha wanalitimiza kikamilifu. Huko nyumbani kila mmoja akisimamia nafasi yake basi mambo yatakuwa sawa.

Wazazi wa kisasa wamekuwa kama wasiojielewa et anaamini yeye kazi yake ni kutafuta pesa tu, bas mwanae ataishi vizuri maana ameajiri walezi hapo nyumbani na akifikisha umri wa shule atampeleka boarding kuepuka usumbufu wa watoto wakati ndo malezi yenyewe hayo kama mzazi anayakwepa unategemea nini?. Na walimu nao mashuleni wanasema nihangaike na mtoto wa mtu wa kazi gani? Sasa watoto waishakosa wa kuwalea wanajilea wenyewe.
 
Watoto wa siku hizi ovyo kabisa. Wangu aliyeko kidato cha 3 kwa minajiri ya kumsaidia kusoma nikamnunulia modem na kumwekea kifurushi cha mwezi awe anadownload materias na kusoma kwenye laptop niliyompa, nikagundua kila siku anadownload porn video na kuangalia badala ya masomo. I see nilichoka, ikabidi nimnyang'anye modem yangu na kumwacha ashinde kwenye TV badala ya compyuta. Kweli walimu inabidi tuwape heko...
 
Watoto wa siku hizi ovyo kabisa. Wangu aliyeko kidato cha 3 kwa minajiri ya kumsaidia kusoma nikamnunulia modem na kumwekea kifurushi cha mwezi awe anadownload materias na kusoma kwenye laptop niliyompa, nikagundua kila siku anadownload porn video na kuangalia badala ya masomo. I see nilichoka, ikabidi nimnyang'anye modem yangu na kumwacha ashinde kwenye TV badala ya compyuta. Kweli walimu inabidi tuwape heko...
Daaah!acha kabisa Pole Sana! Hii teknolojia wanafunzi wetu ni mtihani sana!yaani unatamani ummeze aseeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi walimu na mabeki tatu ndio walezi,kila mtu yuko busy kurudi saa 4 usiku kutoka saa 12 asubuhi,weekend baada kukaa na familia unaenda kushinda bar.

Alafu unategemea huyo mtoto atakuwaje,bado kuna wale wengine wamezaa wame mwachia bibi na babu ambao washa jichokea,wao wana pwiyanga na kuendelea kufyatua watoto kisa watalelewa na bibi zao.

Nakuna wengine hawa ndio hawajielewi hawa wamemwachia Mungu,akiondoka kwenye shughuli yake anapika chakula cha mchana yy anaondoka hawa mwachi mtoto chini uangalizi wa mtu kurudi usiku .
 
"mimba zipo kwa kila kidato na kuna wengine washajifungua tayari."..

Mkuu huo ni uongo...mimba miezi 5 ...!!!!!...
 
Watoto wa siku hizi hasa hawa wanaolelewa kama wanajilea wenyewe imekuwa changamoto kweli...Vitoto vya kike vinajitongozesha vyenyewe kwa wanaume..Hawa wapaka rangi kucha mitaani + bodaboda baadhi yao kipindi hiki tulichokuwa kwenye janga la corona nafikiri wengi wao ndo watakuwa baba wa hao watoto matumboni (Hasa mjini).
 
Back
Top Bottom