Wazazi leeni watoto wenu. Kuwapa watu wawalelee au kulea mzazi mmoja kuna athari kubwa baadae

Kalpana

JF-Expert Member
Jun 16, 2017
26,823
49,895
Hii nime iexeperience mimi mwenyewe. Baba na mama hawakua apamoja baba akanichukua nikiwa drs la kwanza mpk nikamaliza chuo niko nae kwa mama naenda tuu kumsalimia. Kilichotokea ni mimi kua na upendo mkubwa kwa baba yani mpk mama nikienda namuita baba sikua na hisia kubwa kwa mama. Na hii imepelekea mama na yy naona kama upendo wake upo zaidi kwa dada angu aliebaki nae. Jamani tuelezane na tujifunze kwa pamoja
 
ukigombana na mwanamke huwa anaondoka na watoto tena muda mwingine anaweza akakuambia siyo watoto wako unadhani hapo baba atachukua maamuzi gani
 
Aisee mpende na Mama pia mkuu, hata kama umelelewa na Baba sana
Nampenda siwezi kuacha kumpenda hyo ipo naturaly ila kuna effects za makuzi ile kukosa muda mrf wa kukaa nae kunapunguza mahusiano fulani sijui kama unanielewa Joseverest.o
 
Nampenda siwezi kuacha kumpenda hyo ipo naturaly ila kuna effects za makuzi ile kukosa muda mrf wa kukaa nae kunapunguza mahusiano fulani sijui kama unanielewa Joseverest.o
Anhaa ndio nimekupata sana mkuu
 
Nampenda siwezi kuacha kumpenda hyo ipo naturaly ila kuna effects za makuzi ile kukosa muda mrf wa kukaa nae kunapunguza mahusiano fulani sijui kama unanielewa Joseverest.o
Kisaikolojia uko sahihi kabisa,..attachment inatengenezwa utotoni n.a. siyo ukubwani.Kwa upande wangu japo Nina baba n.a. Mama.Niko attached zaidi sana n.a. Mama kuliko baba coz baba alikuwa bize huku familia akiisahau.
 
Nachukia mtu eti tuzae kabla ya ndoa as if yeye alilelewa nje ya ndoa. Sizai nje ya ndoa mama yangu alinizaa ndani ya ndoa. Akishidwa basi mtoto malezi ni baba na mama.
 
Whatever happens to us, we need to take a step back and be grateful to God for everything.

It could have been worse. We could have died young.

And we should take it as a lesson and aspire to bring up our kids to be the best they can be with or without our spouses.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom