Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu kuweni makini na hawa maustadhi wanaowafundisha Watoto wenu huko vyuoni au twisheni.
Tuko kwenye CAT session hapa Dodoma, Kuna Kesi Mwalimu wa Madrasa Moja Hapa Alikuwa anawafundisha watt mchanganyiko kumbe Miongoni Mwao watt wale Kuna Binti wa miaka 9 ustadhi akawa anamuingilia yule mtoto mbele na kinyume na maumbile.
Sasa kuna siku akakamatwa na Ustaadhi Mwenzake akawa anamuingilia yule mtoto chooni, kuhojiwa akakiri ni Kweli ustaadhi anamui ngilia more than 2yrs back.
The same kwa Mwalimu mmoja wa twisheni Huko Wilaya Moja Mpwapwa.
Wamekuwa sentenced for 60yrs imprisonment Ila Wana-appeal CAT Kwa reasons Kwamba Kule RMS na HC Umri Wa Wale Watoto waliobakwa haukutajwa kwenye Charge sheet, Ingawa Sio Dispute Sana Maana Hii hoja haikuwa disclosed kweye Trial Court Kwa maana ya Mahakama Kuu na Mahakama ya Wilaya.
Kuweni Makini Sana na Hawa Watu Wanaowafundishia Watoto wenu, chunguzeni Sana Mazoea nao.
I humbly Submit
Tuko kwenye CAT session hapa Dodoma, Kuna Kesi Mwalimu wa Madrasa Moja Hapa Alikuwa anawafundisha watt mchanganyiko kumbe Miongoni Mwao watt wale Kuna Binti wa miaka 9 ustadhi akawa anamuingilia yule mtoto mbele na kinyume na maumbile.
Sasa kuna siku akakamatwa na Ustaadhi Mwenzake akawa anamuingilia yule mtoto chooni, kuhojiwa akakiri ni Kweli ustaadhi anamui ngilia more than 2yrs back.
The same kwa Mwalimu mmoja wa twisheni Huko Wilaya Moja Mpwapwa.
Wamekuwa sentenced for 60yrs imprisonment Ila Wana-appeal CAT Kwa reasons Kwamba Kule RMS na HC Umri Wa Wale Watoto waliobakwa haukutajwa kwenye Charge sheet, Ingawa Sio Dispute Sana Maana Hii hoja haikuwa disclosed kweye Trial Court Kwa maana ya Mahakama Kuu na Mahakama ya Wilaya.
Kuweni Makini Sana na Hawa Watu Wanaowafundishia Watoto wenu, chunguzeni Sana Mazoea nao.
I humbly Submit