Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,180
EID MUBARAQ
wazazi mnao wapa watoto smartphon makubwa km laptop eti ndo zawadi ya kufaulu darasa oa saba amini nawaambieni mmepotoka watoto wenu kutwa wanaangalia porn nakuja kufanyia majaribio kwa wadogo zao humo ndani ya familia hasa mkiwa jinsia tofauti ikiwezekana wanafanyana na housgrl au housboy hadi tigo mwanao anapigwa bila wew kujua kumbe mtoto anatest kama anavoyaonaga kwenye porn.
leo mtoto anamuuliza mama yake mbona mama wewe huku nyuma kanga inafyantaga haraka kila ukinama kuosha vyombo mama haelewi sikuingine anamuuliza akiona kimya mtoto anasema au huku nyuma kuna tobo kubwa na wrwe? mbele ya kadamnasi hadi nimeona aibu ikabidi nihudhulie nilichoitiwa.
ukweli nyinyi wazazi wakiTanzania waleeni watoto kitanzania nasio kiulaya hayamambo ya utandawazi yana affect kubwa sana.
umelelewa huijui simu mpaka ulipofika college kwanini usimuongoze mtoto wako ivo?
pili wazazi mnajisikiaje mtoti wa sekondari anamsalimia mzazi mwenzio salamuhii "habari za mchana" hivi mnajisikiaje kuwanyoosha hao watoto tabia hizo hamuwezi au?
huwa najiuliza mnashindwa kuwakanya watoto huenda waliwahi kuwafumania au nao watoto wameshafanya mapenzi na watu wazima kiasi kwamba wanaxarau na kuona poa tu kumsalimia mtu mzima salamu ya dharau?.
nashindwa kuwaelewa wazazi wenye malezi ya hivo mtoto akiwa na tabia mbovu au ukimuendekeza tabia za ajabuajabu mtatutia aibu mbeleni kwa Taifa la kesho.
*****Eid njema*******
wazazi mnao wapa watoto smartphon makubwa km laptop eti ndo zawadi ya kufaulu darasa oa saba amini nawaambieni mmepotoka watoto wenu kutwa wanaangalia porn nakuja kufanyia majaribio kwa wadogo zao humo ndani ya familia hasa mkiwa jinsia tofauti ikiwezekana wanafanyana na housgrl au housboy hadi tigo mwanao anapigwa bila wew kujua kumbe mtoto anatest kama anavoyaonaga kwenye porn.
leo mtoto anamuuliza mama yake mbona mama wewe huku nyuma kanga inafyantaga haraka kila ukinama kuosha vyombo mama haelewi sikuingine anamuuliza akiona kimya mtoto anasema au huku nyuma kuna tobo kubwa na wrwe? mbele ya kadamnasi hadi nimeona aibu ikabidi nihudhulie nilichoitiwa.
ukweli nyinyi wazazi wakiTanzania waleeni watoto kitanzania nasio kiulaya hayamambo ya utandawazi yana affect kubwa sana.
umelelewa huijui simu mpaka ulipofika college kwanini usimuongoze mtoto wako ivo?
pili wazazi mnajisikiaje mtoti wa sekondari anamsalimia mzazi mwenzio salamuhii "habari za mchana" hivi mnajisikiaje kuwanyoosha hao watoto tabia hizo hamuwezi au?
huwa najiuliza mnashindwa kuwakanya watoto huenda waliwahi kuwafumania au nao watoto wameshafanya mapenzi na watu wazima kiasi kwamba wanaxarau na kuona poa tu kumsalimia mtu mzima salamu ya dharau?.
nashindwa kuwaelewa wazazi wenye malezi ya hivo mtoto akiwa na tabia mbovu au ukimuendekeza tabia za ajabuajabu mtatutia aibu mbeleni kwa Taifa la kesho.
*****Eid njema*******