Wazazi: Disco toto ni hatari, hiki ndio nilikiona Christmas hii

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,722
155,393
Sikukuu hii nilienda mkoa mmoja wa pembezoni. Hotel niliyofikia INA ukumbi mkubwa, wakaandaa disco Toto.

Watoto wa kike na wa kiume age kati ya 12 years hadi 18 wanakunywa soda wanachanganya na viroba.

Watoto wengine wanavuta sigara, vitoto vidogo vinanyonyana ndimi na kushikanashikana kingono, vinacheza miziki kingono, nilisikitika sana.

Ni vyema wazazi tujue wanetu wanakokwenda, wanaenda na nani na wanafanya nini
 
Sikukuu hii nilienda mkoa mmoja wa pembezoni. Hotel niliyofikia INA ukumbi mkubwa, wakaandaa disco Toto.
Watoto wa kike na wa kiume age kati ya 12 years hadi 18 wanakunywa soda wanachanganya na viroba.
Watoto wengine wanavuta sigara, vitoto vidogo vinanyonyana ndimi na kushikanashikana kingono, vinacheza miziki kingono, nilisikitika sana.
Ni vyema wazazi tujue wanetu wanakokwenda, wanaenda na nani na wanafanya nini
Disco toto mara moja hama mbili tu kwa. unataka nikuamini ndo wamejifunzia hapo kwenye disco? hapo wamekuja tu kuendeleza wanavyo vifanya hama kuviona mitaani.
 
Wazazi wawe tu makini na kujua watoto wao wanaenda sehemu gani ikiwezekana waende nao au washereheker wakiwa nyumbani.
Huku kwetu tuna msiba mtoto wa miaka 12 kafa baada ya kuingia kwenye sweaming pool la watu wazima.
Wamejaribu kumwokoa ila ndo hivo alikuwa keshakunywa maji kupelekwa hospitali tiyari keshakufa.
Hiyo imetokea siku ya x_mas
 
Sasa mkuu imeshindikana kupatikana katupicha tudogo kuweka sawa habari hii au nawe raha ilizidi kuwaangalia ukajisahau
 
Wazazi wawe tu makini na kujua watoto wao wanaenda sehemu gani ikiwezekana waende nao au washereheker wakiwa nyumbani.
Huku kwetu tuna msiba mtoto wa miaka 12 kafa baada ya kuingia kwenye sweaming pool la watu wazima.
Wamejaribu kumwokoa ila ndo hivo alikuwa keshakunywa maji kupelekwa hospitali tiyari keshakufa.
Hiyo imetokea siku ya x_mas
Wapi huko?

Pole kwa ndugu na jamaa
 
Inasikitisha sana. Hii yote inasababishwa na baadhi ya wazazi kuwapa watoto uhuru uliopitiliza ambao mwisho wake athari inakuwa kubwa mana wakishabobea ni ngumu kuwarudisha kwenye mstari.
 
Back
Top Bottom