chumanile
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 296
- 327
Habari wakuu,
Tukiwa tuna uaga mwaka, kuna mambo ya kujadiri haswa taswira na maendelea ya mikoa yetu tulioko au tuliko zaliwa au tunapoishi.
Mwaka huu nimejikuta nimekwenda mkoa wa Lindi kuliko mikoa mingine apa Tanzania mengi nimejionea zikiweno fursa, mazingira, mapungufu na mengine mengi.
Mkoa wa Lindi ni mkoa mzuri kuishi kwa sababu. Kwanza hari ya kijiografia yake mzuri, miinuko kidogo, tambarare, hari ya hewa, misitu, ardhi yenye rutuba. Kwa ufupi ni mkoa ambao una kila sababu ya kuwa mkoa ambao unavutia na wenye maendeleo kama mikoa mingine lakini cha kushangaza mkoa wa Lindi umepoa sana.
Upo kimya kana kwamba wapo katika maombolezo. Ukienda apo stendi na viunga vyake utashangaa kuona mitaa ipo kimya mno, hukuti muvumenti amabazo zinakufanya uone **** watu wanatafuta maisha au wanakiu ya kimaisha. Vijana hawaja changamka kabisa sijui kwa sababu ya rafidhi yao inawafanya wasichangamke, mi sijui.
Ukitembela wilayani, katani hata vijijini ndo kimya kabisa. UKIJA KWENYE FURSA ni nyingi mno. Kuna BAHARI, MISITU, MAZAO lakini sioni kama wanatolea macho ima viongozi au wananchi wenye. Ukiingia porini miti ya kutosha, matunda kama vile EMBE, boga zakutosha lakini zinaharibika tu aisee.
TATIZO LIKO WAPI?
VIONGOZI WETU WAMESHINDWA KUTUWEKEA NJIA ZA KUENDEA FURSA TULIZO NAZO?
AU NI SISI WENYEWE TUMESHINDWA KUZITUMIA NEEMA TULIZO PEWA NA MUNGU WETU?
UBINAFSI NA CHOYO NDIO INAYO DUMAZA MAENDELEO YETU.
EMU TUAMBIE UMEONA NINI LINDI?NA KIPI KIFANYIKE LINDI ILI KULETA MAENDELEO?
Tukiwa tuna uaga mwaka, kuna mambo ya kujadiri haswa taswira na maendelea ya mikoa yetu tulioko au tuliko zaliwa au tunapoishi.
Mwaka huu nimejikuta nimekwenda mkoa wa Lindi kuliko mikoa mingine apa Tanzania mengi nimejionea zikiweno fursa, mazingira, mapungufu na mengine mengi.
Mkoa wa Lindi ni mkoa mzuri kuishi kwa sababu. Kwanza hari ya kijiografia yake mzuri, miinuko kidogo, tambarare, hari ya hewa, misitu, ardhi yenye rutuba. Kwa ufupi ni mkoa ambao una kila sababu ya kuwa mkoa ambao unavutia na wenye maendeleo kama mikoa mingine lakini cha kushangaza mkoa wa Lindi umepoa sana.
Upo kimya kana kwamba wapo katika maombolezo. Ukienda apo stendi na viunga vyake utashangaa kuona mitaa ipo kimya mno, hukuti muvumenti amabazo zinakufanya uone **** watu wanatafuta maisha au wanakiu ya kimaisha. Vijana hawaja changamka kabisa sijui kwa sababu ya rafidhi yao inawafanya wasichangamke, mi sijui.
Ukitembela wilayani, katani hata vijijini ndo kimya kabisa. UKIJA KWENYE FURSA ni nyingi mno. Kuna BAHARI, MISITU, MAZAO lakini sioni kama wanatolea macho ima viongozi au wananchi wenye. Ukiingia porini miti ya kutosha, matunda kama vile EMBE, boga zakutosha lakini zinaharibika tu aisee.
TATIZO LIKO WAPI?
VIONGOZI WETU WAMESHINDWA KUTUWEKEA NJIA ZA KUENDEA FURSA TULIZO NAZO?
AU NI SISI WENYEWE TUMESHINDWA KUZITUMIA NEEMA TULIZO PEWA NA MUNGU WETU?
UBINAFSI NA CHOYO NDIO INAYO DUMAZA MAENDELEO YETU.
EMU TUAMBIE UMEONA NINI LINDI?NA KIPI KIFANYIKE LINDI ILI KULETA MAENDELEO?