YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Mida hii niko hapa darajani Zanzibar nakula urojo
Kama kawaida hapa siasa huongelewa hadi basi huku watu wakipata urojo
Wanaongelea mambo ya serikali umoja wa kitaifa Zanzibar wanasema hayo mambo waachiwe wenyewe wazanzibari sababu uchaguzi wa Zanzibar pekee sio wa muungano hivyo sio sahihi viongozi wa bara akina Zitto Kabwe Lisu au CCM bara kuongelea
Zanzibar ni nchi kamili ina Rais wake, tume yao ya uchaguzi, Baraza lao la wawakikishi nk
Wachonga midomo toka bara acheni kujifanya wasemaji wa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayo ni yao kikatiba viongozi wa vyama kule Zanzibar ndio watakiwa kuongelea
Kama kawaida hapa siasa huongelewa hadi basi huku watu wakipata urojo
Wanaongelea mambo ya serikali umoja wa kitaifa Zanzibar wanasema hayo mambo waachiwe wenyewe wazanzibari sababu uchaguzi wa Zanzibar pekee sio wa muungano hivyo sio sahihi viongozi wa bara akina Zitto Kabwe Lisu au CCM bara kuongelea
Zanzibar ni nchi kamili ina Rais wake, tume yao ya uchaguzi, Baraza lao la wawakikishi nk
Wachonga midomo toka bara acheni kujifanya wasemaji wa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar hayo ni yao kikatiba viongozi wa vyama kule Zanzibar ndio watakiwa kuongelea