Hili la Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalikuwa na baraka za UK, US na Israel, mimi siliafiki, kwasababu Mapinduzi Matukufu yale yalikuwa ni surprise, na yamefanywa kwa ambush, Waingereza wakaleta manowari zao mbio mbio, lakini kabla hazijafika Zanzibar, tukaungana, hivyo zikaishia Mombasa.
Why Waingereza wayatake Mapinduzi ya Zanzibar na halafu wasitake Mapinduzi ya Tannganyika wakati Nyerere alikuwa ni mcommunist wa Pan Africanism?.
P
Nyerere alikua ni mbabaishaji tu nawala hakua na madhara kwa mabeberu Zaidi ya kuwa na faida nae, Tazama yaliyomkuta Lumumba huyo ndie aliyewasumbua mabeberu.