wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
K
kama siyo ccm, hdi ya zanzibar ingekuwa 0.99 au 1.0.Kuna kipimo cha kupima maendeleo ya binadamu, kinaitwa HDI (human development index).
Hiki hupima elimu, umri wa kuishi na kipato cha mtu. Kinapima kuanzia 0 hadi 1.
Tanzania yote kipimo hiki kinasoma 0.529. hii ni chini na ni alama ya umaskini na kutoendelea. Zanzibar kinasoma 0.72 na ni kiwango cha juu kikiashiria maendeleo na utajiri.
Uhalisia wa hiki uko vipi?