Wazanzibari wa kijliwe cha Jaws Corner wasoma dua kumuombea Sultan Qaboos wa Oman

Dec 17, 2019
17
5
Je wa oman nao huwa wanawaombea viongozi wa zanzibar publicly namna hii?

81378369_10216945273043442_6520395576696111104_n.jpg


79796699_10216945274003466_3725056879924084736_o.jpg


81687325_10216945275083493_4454179281236393984_o.jpg
 
Kumuombea mwenzio pia unapata thawabu, rehema atakazobarikiwa yeye na wewe utazipata pia, kwasababu Mungu sio mbinafsi kama mleta mada na mchangiaji wa kwanza, kwani nyie mkiwa na ndugu au marafiki zenu wagonjwa hamuwezi kuwaombea kwa Mungu? na wala sio ugonjwa tu, mara nyingi tunawaombea wapendwa wetu Mungu awakinge na majanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
je wa Omani huwa wanafanya dua publicly kuwaombea viongozi wa Zanzibar au ndio inferiority complex toka kwa hawa jamaa?
 
Zamu ya waafrica kutawala Africa yote sasa na bado tunakuja kutawala DUNIA kama zamani . Mtaomba sana lkn hamtasikilizwa.
 
Back
Top Bottom