Wazanzibari na akili ya muungano

oba

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
310
65
Wazanzibar wamengangania serikali tatu je wabara mnasemaje? mbili tu mko gizani, tatu mtaziweza? ona ktk attachment hii chin mchango wa wazenji kweny ka JF kao ka mzalendo .net
 

Attachments

  • Muungano.pdf
    122.7 KB · Views: 160
wanalalama kwamba serikali yenye nchi mbili inawakandamiza, wanahoji kama muungano ni wa nchi mbili tanganyika iko wapi?wanataka serikali tatu, lkn swali ni je hizi mbili tumeshindwa kuziendesha mpaka tunakosa umeme hadi hospitali serikali tatu tutaziweza?
 
Back
Top Bottom