WaZanzibari kutokusheherekea Siku ya Muungano.

1. Ili kupunguza hizi kelele za Visiwani basi Muungano na visiwani uvunjike na we thrive for EA Federation kama nchi mbili tofauti yaani SMZ na Jamhuri ya Tanganyika! Na Visiwani wachangie tu ktk EAF kma Rwanda na Burundi!

If we think ktk larger picture..bara kuibeba visiwani ktk EAF it is a liability!

Ni vema kuufikiria Muungano Mkubwa zaidi than huu wa Visiwani yenye idadi kidogo ya watu na uchumi mdogo sana..ila na malalamiko wengi yasiyoisha!

Serikali ya Tanganyika na SMZ kila moja basi ijiunge na EAF kivyake vyake!

Kwa jinsi Muungano sasa ulivyo: it is a liability kwa bara! Ni taabu kweli kiasi maana angalia hata Ushelishali ushiriki wao ktk SADC ni wa shida kwani ni Watu wacheche mno na uwezo wao mdogo!

Visiwani wanashindwa kutambua kwa sasa kuwa nchi ni responsibility na sii tu neema ya misaada kutoka nje!


2. Alternative ingine: basi Iwe nchi moja ya Tanzania yaani SMZ iwe sehemu/province/mkoa ya Tanzania
 
Last edited:
Unamaanisha na Tanganyika ipewe hadhi ya kuwa nchi? Suluhishishi ya hii yote ni serikali moja. Unguja na Pemba iwe ni mikoa katika Tanzania. Kwanza kuwepo kwa jina Zanzibar ni upuuzi kwenye Muungano...kwani Tanganyika jina lilipotea kwa sababu Tanganyika + Zanzibar= TANZANIA. Why Zanzibar till to date?

Soma tena mstari wangu wa mwisho hapo juu.
 
Kuna fununu kuwa Wazanzibari hawatasheherekea Siku kuu ya Muungano na watakaoshiriki ni kuwaziba macho WaTanganyika ilihali ndani ya nyoyo zao si washiriki.

Umoja wa Wazalendo, unachukuwa fursa hii kukumbushana kwamba kusherehekea siku ya msiba mkuu huu, ni kusherehekea uovu huu, kitendo hicho ni ishara ya upungufu wa uzalendo na khiyana juu ya Zanzibar.

YAMETIMIA :confused: MKUU WA KAYA WA ZNZ HAKUINGIZA TEAM PALE UWANJA WA UHURU NA SABABU HAZINA KICHWA WALA MIGUU.

KWA NINI ASIJE NA HILKOPTA YA KIJESHI??? ULAZIMA WA KUTUMIA NDEGE HAUKUWEPO. LABDA NDIO WAMESUSA KWELI!!!
 
wazenji wanataka maslahi yao. huo upumbavu wa bara zenji hautakiwi. wewe umeona wapi nchi tangu ipate uhuru mpaka leo raia wake wanahangaika na maji umeme na huduma kama hizi. mmetiwa upumbavu kiasi ambacho wazanzibar wakidai haki zao mnawaona wakorofi. wele wameaka kisiasa. nyinyi endeleeni kufuga mafisadi ,watu wanaiibia serekali watu mmelemaa tu. ingieni mtaani . mpaka leo mnatapeliwa na na kampuni hewa. zanzibar wamesha ona mbali , hou muungano haumnufaishi mzanzibar yeyote balaa tu. kila mtu aangalie maslahi yake . hakuna muungano wala nini. tumechoka . kutiana ukuba tu.

UFISADI HAUPO BARA TU; HATA ZNZ KUNA UFISADI WA KUTISHA SANA. SEMA WA-ZNZ WAMELALA MNO, WAOGA KWENDA MBELE. UFISADI ULIOJAA W-MUNA, W-AJIRA NA KWA BAMZEE NDIO USISEME. HAPO HATUGUSI IDARA!!!

BARA UFISADI UNAZUNGUMZWA WAZI WAZI, ZNZ UFISADI UNAZUNGUMZWA CHUMBANI, ATAKUSIKIA NANIIII???

KUNA SIKU NILIPITA IDARA FULANI WKT ULE NEWZ ZA UFISADI BARA NDIO ZINA HEAT, YULE MAMA MHASIBU AKASEMA HUKU WALA HAMNA UFISADI, WKT HUOHUO PANA TETESI HUYO MAMA ANAKULA FEDHA ZA IDARA HADI BASI, WAKAGUZI WAKIJA WANAPEWA MAMILIONI YAO WANAJIONDOKEA; KAMATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI WAKITEMBELEA NDIO MMMHHH :confused:

ZNZ UFISADI UPO, MTAKE MSITAKE.
 

Sidhani hilo ni jepesi. Serikali tatu je?

Zanzibar wapewe hadhi yao kuendelea kuwa nchi. Hili ni la muhimu.
Imagine kwenye shirikisho la Afrika Mashariki Tanzania ijikute kwenye mazingira haya ya Zanzibar kwa Kenya ;)

Unadhani wala kuna shida kuwa na nchi moja tu ya afrika mashariki! Tatizo lipo kwenye ubinafsi, umimi ndio unaowasumbua! Ukiangalia kwa umakini, utaona wenzetu wa EA wanaweka mikakati ya kufanya uharamia Tanzania, ndio shida tu, lakini ingekuwa hakuna ajenda za kiharamia, mbona malengo na faida za kuwa na nchi moja ya EA ni kubwa sana. Chukua tu mfano mdogo, kwani wewe ulivyo mtanzania mimi mtanzania napata/unapata shida gani? ndivyo ingekuwa kama Uganda Burundi Kenya na wengine tungekuwa nchi moja. Lakini kama kweli Bara inainyonya Zanzibar sijui, tathmini ya kina inahitajika kwani hata wazawa wa bara nao wanaona kana kwamba wanaibeba Zenji. Wanaweza kuhoji mkoa wa Tanga ni mkubwa kuliko zanzibar kuanzia idadi ya watu hata mapato, lakini wa na wabunge wasiofika 10 wakati Zenji wabunge 50 wakuchaguliwa kabla ya wale wa kuteuliwa!

Lakini pia, hebu tujadili ni yepi mapato ya SMT inayopata ambayo yalitakiwa yawe mapato ya SMZ, hebu tuwe na hesabu kuwa Tanganyika inapoteza/kupata nini na Zenji inapoteza/kupata nini kwa kuwa sehemu ya muungano! Tukifanya tathmini ya gharama na faida tunaweza kuona sababu ya huu muungano kuwepo au kutokuwepo!
 
Unadhani wala kuna shida kuwa na nchi moja tu ya afrika mashariki! Tatizo lipo kwenye ubinafsi, umimi ndio unaowasumbua! Ukiangalia kwa umakini, utaona wenzetu wa EA wanaweka mikakati ya kufanya uharamia Tanzania, ndio shida tu, lakini ingekuwa hakuna ajenda za kiharamia, mbona malengo na faida za kuwa na nchi moja ya EA ni kubwa sana. Chukua tu mfano mdogo, kwani wewe ulivyo mtanzania mimi mtanzania napata/unapata shida gani? ndivyo ingekuwa kama Uganda Burundi Kenya na wengine tungekuwa nchi moja. Lakini kama kweli Bara inainyonya Zanzibar sijui, tathmini ya kina inahitajika kwani hata wazawa wa bara nao wanaona kana kwamba wanaibeba Zenji. Wanaweza kuhoji mkoa wa Tanga ni mkubwa kuliko zanzibar kuanzia idadi ya watu hata mapato, lakini wa na wabunge wasiofika 10 wakati Zenji wabunge 50 wakuchaguliwa kabla ya wale wa kuteuliwa!

Lakini pia, hebu tujadili ni yepi mapato ya SMT inayopata ambayo yalitakiwa yawe mapato ya SMZ, hebu tuwe na hesabu kuwa Tanganyika inapoteza/kupata nini na Zenji inapoteza/kupata nini kwa kuwa sehemu ya muungano! Tukifanya tathmini ya gharama na faida tunaweza kuona sababu ya huu muungano kuwepo au kutokuwepo!


Kama ulivyosema, kuungana kuwa nchi moja au labda kuwa kwenye shirikisho kuna faida kubwa - kwanini basi watu wamekazania kwenye hizo option mbili tu?!
Najiuliza, kwanini watu hawaoni option ya tatu au hata zaidi; mfano kujifunza historia ya huu muungano ili tuenende kwenye njia iliyokusudiwa kwa kuboresha palipo na hitilafu?

Nionavyo mimi, Wazanzibari wana hoja ya msingi kwenye madai yao. Imekuwa bahati mbaya sana wengi wetu (zaidi sana sisi wa bara and that include me), hatulifahamu hili suala vizuri kujua tumetoka wapi.
Hatufahamu kero za muungano maana hajuwahi kudhani kuna tatizo.
 
Back
Top Bottom