WaZanzibari kutokusheherekea Siku ya Muungano.

Unajua ndugu zetu wa visiwani ifike hatua waache kutiwa ujinga na wanasiasa waroho wa madaraka...hivi milishawahi kujiuliza wabara wanapata nini kutoka kwenu hadi mlinge kiasi hicho??? Binafsi sijaonja hata ndululu kutoka visiwani sana sana najionea shida tu kila kukicha oo muungano unakasoro mara oo mafuta yetu nyie vipi kwani mmhh??!!!

Kama noma na iwe noma bwana wakati mwingine mnakera sana...tumewapa kila kitu serikali mnayo sasa kitu gani maana kama kulalamika tungeanza sisi kwa kudai serikali yetu cha kushangaza kila siku nyue...mi nawahakikishia suala la muungano linakuzwa na wanasiasa wachache wenye hila chini ya ulamaa mmoja simtaji kisa CCM inapata nguvu kwasababu ya huku na wakiwa pekee yao basi njia ya ikulu nyeupe....watu wengine na pasua kichwa kabisa msiwafuatishe bwana...muungano oyee!!!!!!!!
wazenji wanataka maslahi yao. huo upumbavu wa bara zenji hautakiwi. wewe umeona wapi nchi tangu ipate uhuru mpaka leo raia wake wanahangaika na maji umeme na huduma kama hizi. mmetiwa upumbavu kiasi ambacho wazanzibar wakidai haki zao mnawaona wakorofi. wele wameaka kisiasa. nyinyi endeleeni kufuga mafisadi ,watu wanaiibia serekali watu mmelemaa tu. ingieni mtaani . mpaka leo mnatapeliwa na na kampuni hewa. zanzibar wamesha ona mbali , hou muungano haumnufaishi mzanzibar yeyote balaa tu. kila mtu aangalie maslahi yake . hakuna muungano wala nini. tumechoka . kutiana ukuba tu.
 
wazenji wanataka maslahi yao. huo upumbavu wa bara zenji hautakiwi. wewe umeona wapi nchi tangu ipate uhuru mpaka leo raia wake wanahangaika na maji umeme na huduma kama hizi. mmetiwa upumbavu kiasi ambacho wazanzibar wakidai haki zao mnawaona wakorofi. wele wameaka kisiasa. nyinyi endeleeni kufuga mafisadi ,watu wanaiibia serekali watu mmelemaa tu. ingieni mtaani . mpaka leo mnatapeliwa na na kampuni hewa. zanzibar wamesha ona mbali , hou muungano haumnufaishi mzanzibar yeyote balaa tu. kila mtu aangalie maslahi yake . hakuna muungano wala nini. tumechoka . kutiana ukuba tu.

tunataka makafiri warudi makwao kwani vita sio kumpiga mtu risasi peke yake?
 
Wazanzibari wanadai nchi si moja.mbona ina serikali yake,wimbo wa taifa na bendera.usitake kutwisha mzigo kwa bara.are u a realy grat thinker brother

hatuzungumzii tanganyika hapo hapo ni huo muungano wa wizi?
tukisema muungano kuna haki yetu

basi tupeni sie serikali ya muungano nanyie muwe na tanganyika?
nguruwe wee!

unajifanya pumbafu au mjanja?
 
hatuzungumzii tanganyika hapo hapo ni huo muungano wa wizi?
tukisema muungano kuna haki yetu

basi tupeni sie serikali ya muungano nanyie muwe na tanganyika?
nguruwe wee!

unajifanya pumbafu au mjanja?
tehe tehe tehe Muungano kweli hakuna......
 
hatuzungumzii tanganyika hapo hapo ni huo muungano wa wizi?
tukisema muungano kuna haki yetu

basi tupeni sie serikali ya muungano nanyie muwe na tanganyika?
nguruwe wee!

unajifanya pumbafu au mjanja?
Punguza jazba yakhee,kwani weye ukiitwa Nguruwe utafurahii??,maana kauli zako ndo zimekaa kimdudumdudu tu..tehe tehe
 
dizaini jamaa atakuwa anakula mdudu sasa hivi ndio maana anamtaja taja
Umestukia eeeh,anaonekana keshaathirika na kitimoto huyo,na mida anabandika post hiyo aidha alikuwa anakula ama ndo katoka kuigonga
 
Message, sent!

Mie nimefilisika ila wewe, mawazo yako yanashabihiana na jina lako. Kwakuwa husomi katika ya misitari ndio taabu yako! Ujumbe ni kuwa Tanzania na Zanzibar ndani ni nchi 2 tofauti zenye uchumi usiofanana. Kuondoa hiyo tofauti, posti yangu ina maana ni kuwa na muungano wa serikali moja, ili zanzibar iwe mkoa kama ilivyo mikoa mingine!

Hata Nyerere alishindwa kuweka serikali moja sasa sijui Kikwete ataanza wapi, kumbuka tu kuwa hii ndio ilikuwa hofu ya waZanzibari tangia kuundwa kwa muungano na wamekuwa wakijitayarisha kuikabili hoja hii kwa miaka 45 sasa bora mufunike kikombe......................:)
 
WaTanganyika wanaona aibu kujiona ni Watanganyika hivyo wanang'ang'ania kuwa waTanzania wanasahau kuwa huwezi kuwa Mtanzania kama si Mtanganyika ila Mzanzibari anajilabu kuwa ni Mzanzibari na kunazuka kutoelewana unapomwita Mtanzania.

Marehemu sheikh Abeid Amani Karume muanzilishi wa muungano alituambia kuwa muungano ni kama koti, hivi kwa nini tujilabu na koti la kuazima si bora tutembee uchi tu :), kuzuka kutoelewana na WaZanzibari kunatokea pale waTanganyika wanapoona kichefuchefu Mzanzibari kujilabu uZanzibari wake na haya nimeyaona sana tu.
 
Ila mimi kubwa linaniuma ni kwa nini kuna tofauti kubwa sana kati ya mishahara ya wafanyakazi wa SMT na SMZ?

As long as hii ni nchi moja basi SMT ingetoa fungu kuziba hii tofauti..maana wote ni nchi moja na Bara wana uchumu mkubwa na watu wengi!!

Yaani ukiwa Mtanzania sekta ya umma Pemba au Mbinga basi mshahara uwe ni mmoja!

Hivi ni serikali ya muungano ya Tanzania (SMT) au serikali ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania (SJMT). Nilimsikia hata Waziri hatibu akitumia SMT.

Katika Muungano wetu huu, kuna mambo ambayo yananichanganya kwelikweli.
Mosi, Mzanzibari anapoamua kuishi sehemu nyingine ya JMT anapoteza haki yake ya kikatiba ya kupiga kura kumchagua Rais wa Zanzibar
Pili, hili jeshi letu la wananchi awali lilikuwa linaitwa Jeshi lwa Wananchi wa Tanzania (JWT) lakini baadaye likaitwa JWTZ ili Z isimame kuwakilisha Zanzibar. Sasa ni kwa namna gani tunasema kuwa Muungano umetufanya tunakuwa wamoja?

Kumenzi Nyerere haimaanishi kuwa kusiwe kunafanyika maboresho katika yale aliyoyafikiria wakati wake. Kuna haja ya kuwa na serikali moja tu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Punguza jazba yakhee,kwani weye ukiitwa Nguruwe utafurahii??,maana kauli zako ndo zimekaa kimdudumdudu tu..tehe tehe

Tatizo jamaa anaonekana huwa anamtafuna kitimoto kwa kificho na hivyo anaujua utamu wake ndo maana anatumia jina lake kumaanisha tusi.
 
Kuna fununu kuwa Wazanzibari hawatasheherekea Siku kuu ya Muungano na watakaoshiriki ni kuwaziba macho WaTanganyika ilihali ndani ya nyoyo zao si washiriki.

Umoja wa Wazalendo, unachukuwa fursa hii kukumbushana kwamba kusherehekea siku ya msiba mkuu huu, ni kusherehekea uovu huu, kitendo hicho ni ishara ya upungufu wa uzalendo na khiyana juu ya Zanzibar.
Karume ile ndege iloenda kumchukua ilishindwa kabisaa kutuaa!!!

mhmmm wanamsusiaa muungwana au ndo ajenda tayari...
 
wazenji wanataka maslahi yao. huo upumbavu wa bara zenji hautakiwi. wewe umeona wapi nchi tangu ipate uhuru mpaka leo raia wake wanahangaika na maji umeme na huduma kama hizi. mmetiwa upumbavu kiasi ambacho wazanzibar wakidai haki zao mnawaona wakorofi. wele wameaka kisiasa. nyinyi endeleeni kufuga mafisadi ,watu wanaiibia serekali watu mmelemaa tu. ingieni mtaani . mpaka leo mnatapeliwa na na kampuni hewa. zanzibar wamesha ona mbali , hou muungano haumnufaishi mzanzibar yeyote balaa tu. kila mtu aangalie maslahi yake . hakuna muungano wala nini. tumechoka . kutiana ukuba tu.

Labda kwa Zanzibar ilivyondogo, inawezekana kabisa kuwa vichochoro vyote leo vingekuwa na lami, gridi ya umeme ingekuwa hadi kwenye matendego ya vitanda vyenu na bila shaka kila mita 20 kungekuwa na koki kwa ajili ya maji!

Lakini kwanini sio hivyo?
1. Shughuli za kiuchumi ndani ya zanzibar zimeshindwa kufikia hapo, labda kwa sababu ya siasi chafu na uongozi mbovu.
2. Kutokuwa na fursa ya kutosha kuwatumia marafiki wa zanzibar katika maendeleo yao kutokana na mambo ya nje kuwa jambo la muungano
3. Wanzibar wenyewe kama walivyo watanganyika kutokuipenda nchi yao na hivyo kuendelea kutawaliwa na wanasiasa wenye masilahi ya matumbo yao na watoto wao kwa kisingizio cha kupotea kwa amani na kuyalinda mapinduzi! (Eti Mwarabu atarejea tena Zanzibar!)

4.....

Wazanzibar wanamedanganywa sana na ccm, mfano: iweje wasipate fursa ya kumchague kiongozi wanaemtaka kuwa rais, hadi kwanza apitishwe na WANA-CCM wa bara. Kikatiba lazima rais wa Zanzibar achaguliwe kwa kura za Wazanzibari, lakini uchaguzi wa kiongozi hufanywa na wabara (kwani nini asipitishwe na ccm Zanzibar), siwaelewini katika hili.

Labda wabara sio wapumbavu kama ulivyosema (Kwani wabara ni kwa wingi wao, ila maamuzi ni katika uchache wao wenye kulinda maslahi ya kundi dogo), ila wanzibar kwa kuwa wamekubaliana na hali hii, kama ambavyo vyama vya siasa navyo vimekubali kuendelea kuburuzwa na ccm bila ya kuwa katiba inayotoa haki sawa, sote tumejikuta wahanga.

Binafsi kama Mtanganyika, kama ni muungano basi uwe wa serikali moja
 

Binafsi kama Mtanganyika, kama ni muungano basi uwe wa serikali moja


Sidhani hilo ni jepesi. Serikali tatu je?


Zanzibar wapewe hadhi yao kuendelea kuwa nchi. Hili ni la muhimu.
Imagine kwenye shirikisho la Afrika Mashariki Tanzania ijikute kwenye mazingira haya ya Zanzibar kwa Kenya ;)
 


Sidhani hilo ni jepesi. Serikali tatu je?


Zanzibar wapewe hadhi yao kuendelea kuwa nchi. Hili ni la muhimu.
Imagine kwenye shirikisho la Afrika Mashariki Tanzania ijikute kwenye mazingira haya ya Zanzibar kwa Kenya ;)

Unamaanisha na Tanganyika ipewe hadhi ya kuwa nchi? Suluhishishi ya hii yote ni serikali moja. Unguja na Pemba iwe ni mikoa katika Tanzania. Kwanza kuwepo kwa jina Zanzibar ni upuuzi kwenye Muungano...kwani Tanganyika jina lilipotea kwa sababu Tanganyika + Zanzibar= TANZANIA. Why Zanzibar till to date?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom