Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Hivi karibuni yule Sultan Jamshid aliyepinduliwa Zanzibar na akakimbilia Uingreza na kuishi huko kwa miongo mingi, ameondoka huko na familia yake na kusogea karibu na Zanzibar huko Oman!

Je, kuna uhusiano wowote kati ya kusogea kwake na chokochoko hizi tunazoanza kuziona za Wazanzibari kutaka kuvunja muungano?
Jamshid hana meno kule Oman. Serikali ya Oman iliogopa asikimbilie kwao kwa vile yeye ni ukoo wa kifalme alikuwa sultan kwa nchi ambayo ishawahi kuwa na makao makuu ya Oman. Hivo kimantiki alikuwa na tittle kubwa kule kama angeenda. Kwa sasa karuhusiwa kwa vile hana nguvu tena za kuleta hizo claims
 
Jamshid hana meno kule Oman. Serikali ya Oman iliogopa asikimbilie kwao kwa vile yeye ni ukoo wa kifalme alikuwa sultan kwa nchi ambayo ishawahi kuwa na makao makuu ya Oman. Hivo kimantiki alikuwa na tittle kubwa kule kama angeenda. Kwa sasa karuhusiwa kwa vile hana nguvu tena za kuleta hizo claims

Kwani walipompindua walipeleka claims? Mtawala wa sasa wa Oman wana udugu wa karibu sana na yule Jamshid, mfalme wa zamani [ Mtawala wa sasa wa Oman inasemekana aliwahi kuishi Dar kwa muda mrefu!] hivyo you cannot simply discount any machinations that may be in the workings!!!
 
Kwani walipompindua walipeleka claims? Mtawala wa sasa wa Oman wana udugu wa karibu sana na yule Jamshid, mfalme wa zamani [ Mtawala wa sasa wa Oman inasemekana aliwahi kuishi Dar kwa muda mrefu!] hivyo you cannot simply discount any machinations that may be in the workings!!!
Kilichomfanya mtawala wa sasa wa Oman awe huyu Mswahili nadhani unakijua.

Sultan aliyepita alimpindua baba yake alipokuwa UK, inasemekana baba alimlaani mtoto akidai mwanae wa kumzaa naye atampindua. Akawa hakutaka kuzaa kabisa. Baada ya kufa dio baraza kuu likachagua mmoja kwenye family tree akawa huyu.

Sababu hizo ndio zilifanya Sultan wa Oman mwaka ule 1962 asimruhusu Jamshid kukaa kwake. Kiongozi aliyepinduliwa akai nchini kwake, Jamshid ile Oman ni nyumbani ndio maana hakwenda Uturuki wala Syria alienda kule ila akazuiliwa na kufanyiwa mchakato UK
 
Huyu Bwana Ally inatakiwa apewe misukosuko.
Haiwezekani sisi tupiganie Muungano yeye akazanie kuuvunja.
Bila ya muungano sijuai watakuwa wanakula mawe? kwa maana zaidi ya ndizi bokoboko hakuna wanacholima hawa akina yakhe, na kikiumana tutamrudisha mzaramo mwenzetu wa Mkuranga aje awe mkuu wa nyumba huku kwao.
 
Juzi nimecheka sana, eti Zanzibar inaidai Tanzania bara zaid ya 4Trillion😂😂😂.
Daaah
Kuna mwakilishi mmoja muhindi ni mfanyabiashara nilimuona juzi huko kwenye bunge lao nae kashupalia kuwa eti wao wanabaguliwa wakifanya biashara na bara eti bara wanawapendelea watu kutoka nje na eti kwao Zenj kumejaa bidhaa za bara wakati bara hakuna biashara za Zenj, kasahau kuwa mianya ya enzi za Salimin Amour amabyo wafanya biashara wakubwa Zenj walitumia kukwepa ushuru kwa kutuingizia michele na sukari ambazo walikuwa hawalipii ushuru na kwa kujifanya tayari imelipiwa huko Zanzibar wakati si kweli, tuwaache wajaze bidhaa kutoka Uarabuni na sisi tubaki na za kwetu tuone nani ataathirka zaidi, hawa jamaa wameanza kupata kibri toka mama awe mkuu wa kaya, wanaongea sana kana kwamba sisi ndio wanufaika na tunawanyonya.
 
Mliwahi angalau kugoogle kujifunza utumwa umefika lini Zanzibar ? Kusema wazanzibari wote wana asili ya Tanganyika naona kama kuinajisi historia. Nakupeni hint tuu, sehemu ambazo watu wamefika kwa utumwa mfano ni waafrika waliopo pale India, Afrika ya kusini, marekani, nchi za kusini mwa amerika n.k.

Kitu kimoja kina standout, wote unaweza kuona kama maisha yao yalianza wakati wa utumwa. Na iko wazi kihistoria kama wamefika izo sehemu kama wahanga wa utumwa. Ni kinyume chake ukitazama Zanzibar kuna ushahidi wa Archeological uislam umeingia way back. Just by googling Islam in Zanzibar - Wikipedia :

Archeological findings suggest that Islam has been present in the Zanzibar archipelago for more than a millennium. Of the oldest archeological findings are large Friday mosque in Ras Mkumbuu, which has been dated back to the 10th Century,[3] and Kufic inscriptions on the mosque in Kizimkazi dated at A.D. 1106.

Kipindi hiki hakukua na pirika ya biashara ya utumwa + waarabu kutokea Tanganyika <-> Zanzibar, au watu walienda wenyewe na kujifanya watumwa ? Tumieni akili kidogo kama mnazo, sio kila kitu ni propaganda na siasa uchwara. Hata kutumia logic tuu kama wazanzibari wangetokea Tanganyika basi kungelikuwa na similarity za kitamaduni, mavazi, lugha n.k.
 
kwamba twende zenji kwa visa kama dubai? kwani hata sasahivi hakuna visa unafikiri mlivyo wabaguzi kuna mtanganyika huwa anapenda hata kuja huko? kwanza mapunga wengi huko.

mkuu unajua kuna watanganyika wangapi wanaoishi Zanzibar?
 
Mliwahi angalau kugoogle kujifunza utumwa umefika lini Zanzibar ? Kusema wazanzibari wote wana asili ya Tanganyika naona kama kuinajisi historia. Nakupeni hint tuu, sehemu ambazo watu wamefika kwa utumwa mfano ni waafrika waliopo pale India, Afrika ya kusini, marekani, nchi za kusini mwa amerika n.k.

Kitu kimoja kina standout, wote unaweza kuona kama maisha yao yalianza wakati wa utumwa. Na iko wazi kihistoria kama wamefika izo sehemu kama wahanga wa utumwa. Ni kinyume chake ukitazama Zanzibar kuna ushahidi wa Archeological uislam umeingia way back. Just by googling Islam in Zanzibar - Wikipedia :



Kipindi hiki hakukua na pirika ya biashara ya utumwa + waarabu kutokea Tanganyika Zanzibar, au watu walienda wenyewe na kujifanya watumwa ? Tumieni akili kidogo kama mnazo, sio kila kitu ni propaganda na siasa uchwara. Hata kutumia logic tuu kama wazanzibari wangetokea Tanganyika basi kungelikuwa na similarity za kitamaduni, mavazi, lugha n.k.
Kwa maana hio point yako nn haswaa, nyie waarabu au wazungu ?!
 
Muungano ni kama Ndoa ya Kiisilamu mkishindana mnapeana Talaka tu hamuwezi kulala Kitanda kimoja wakati kila mtu ameficha kisu Chini ya mto
 
Muungano ni wazo la Nyerere peke yake ambalo CCM wamelirithi na sasa linawaumiza vichwa. Nyerere ndiye alitaka nchi ziungane tena alitaka kuziunganisha mpaka Kenya na Uganda. Kwa bahati nzuri au mbaya Kenyatta na Obote walimshtukia Nyerere wakaukataa muungano. Nyerere akamgeukia Karume ambaye tofauti na Kenyatta na Obote, Karume alikuwa si msomi au tuseme alikuwa na elimu duni. Karume akaingia kichwa kichwa kwenye Muungano bila kuona mbali na sasa Wazanzibari wengi wameuchoka huo Muungano. CCM wamebakia kuulinda Muungano na mtutu wa bunduki. Na mtu yoyote mwenye kufikiri ataona huwezi kulazimisha watu kufanya jambo milele. Kama Victor Hugo alivyosema, "No force on earth can stop an idea whose time has come"
 
kuna mahusiano makubwa kati ya oman na zanzibar QABOOS alipompindua baba yake alikosa wasomi..akaja zanzibar na kuchukua wale waarab wengi na wapemba akawapa uongozi wa kutawala..so yeah hawa watu wanaamini wakiwa huru na mkoloni tanganyika watakula mema ya oman

Wazanzibari wengi wametumika kuijenga Oman. Wakati Qaboos anaingia kwenye madaraka alichukua wazanzibari wengi sana, waarabu miaka hiyo walikua ni watu wa majangwani tu
 
Back
Top Bottom