Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
😆😆😆 mnaanza kudemka eee!
Sijaelewa! Kwa hiyo unafurahia Uzanzibari au uanawake? Maana ulianza mambo ya zanzibar vs bara, ghafla naona upo na wanawake vs wanaume!Jamaa wamenuna vibaya sana ,ila ndio haisaidii kitu,wameng'ang'ania toke Uhur ni wao tu,likiondoka chogo hili linaingia jingine,tumepiga makelele mpaka tumeshuka mashavu ,lakini Mwenyezi Mungu ameliona hili na hakurudi nyuma,tumepata bila ya kuvuja jasho wala kampeni kuiongoza Tanzania.
Kama haitoshi Mzanzibari mwenyewe ameukwaa uarabu ,wale roho mbaya wabaguzi kuwashinda wazungu wa Africa ya Kusini ,hawana la kufanya wamebaki ndo yeye !
Mmewakandia waZanzibari yaani mwisho mlikuwa hamna hata aibu,Mzanzibari hawekwi raisi kuongoza Tanzania ,wakati waZanzibari hawahawa ndio waioikomboa Uganda ,hawahawa ndio waliokuwa wapiganaji wa vita vya misituni kuikomboa Msumbiji hawahawa ndio waliopeleka wapiganaji Afrika Kusini kumng'oa kaburu ,lakini kwenye kuongoza nafasi ya juu ya taifa hili la Tanzania mliwawekea mguu Mungu si magufuli au asumani ,leo hii amewapa uongozi wa Nchi hii ,tuseme kivyakevyake tena Mwananmke,machogo lazima mtaosha vyombo tu.
Wazanzibari tunasema mwananke tu anawatosha aafu alivyokuwa na usongo kapangua pangua uoza uoza wote,kaweka kando ,nahisi hata wakuu wa mikoa wote awaweke wanawake,huko jeshini wapo wanawake kibao wanaojielewa ,wanafaa kuwa wakuu wa mikoa, Tokea tupate UHURU ni wao tu ,aloo machogo safari hii lazima yazidi urefu.
Hawawezi sasa!Kama hamtaki Muungano huu ndo wakati wenu
Vunjeni huu Muungano..
Akimaliza Samia hatutawasikiliza tena mkisema hamtaki Muungano
Machogo ni kina nani?Jamaa wamenuna vibaya sana ,ila ndio haisaidii kitu,wameng'ang'ania toke Uhur ni wao tu,likiondoka chogo hili linaingia jingine,tumepiga makelele mpaka tumeshuka mashavu ,lakini Mwenyezi Mungu ameliona hili na hakurudi nyuma,tumepata bila ya kuvuja jasho wala kampeni kuiongoza Tanzania.
Kama haitoshi Mzanzibari mwenyewe ameukwaa uarabu ,wale roho mbaya wabaguzi kuwashinda wazungu wa Africa ya Kusini ,hawana la kufanya wamebaki ndo yeye !
Mmewakandia waZanzibari yaani mwisho mlikuwa hamna hata aibu,Mzanzibari hawekwi raisi kuongoza Tanzania ,wakati waZanzibari hawahawa ndio waioikomboa Uganda ,hawahawa ndio waliokuwa wapiganaji wa vita vya misituni kuikomboa Msumbiji hawahawa ndio waliopeleka wapiganaji Afrika Kusini kumng'oa kaburu ,lakini kwenye kuongoza nafasi ya juu ya taifa hili la Tanzania mliwawekea mguu Mungu si magufuli au asumani ,leo hii amewapa uongozi wa Nchi hii ,tuseme kivyakevyake tena Mwananmke,machogo lazima mtaosha vyombo tu.
Wazanzibari tunasema mwananke tu anawatosha aafu alivyokuwa na usongo kapangua pangua uoza uoza wote,kaweka kando ,nahisi hata wakuu wa mikoa wote awaweke wanawake,huko jeshini wapo wanawake kibao wanaojielewa ,wanafaa kuwa wakuu wa mikoa, Toke
Watademka mpaka wawe rojomnaanza kudemka eee !!
Jamaa wamenuna vibaya sana ,ila ndio haisaidii kitu,wameng'ang'ania toke Uhur ni wao tu,likiondoka chogo hili linaingia jingine,tumepiga makelele mpaka tumeshuka mashavu ,lakini Mwenyezi Mungu ameliona hili na hakurudi nyuma,tumepata bila ya kuvuja jasho wala kampeni kuiongoza Tanzania.
Kama haitoshi Mzanzibari mwenyewe ameukwaa uarabu ,wale roho mbaya wabaguzi kuwashinda wazungu wa Africa ya Kusini ,hawana la kufanya wamebaki ndo yeye !
Mmewakandia waZanzibari yaani mwisho mlikuwa hamna hata aibu,Mzanzibari hawekwi raisi kuongoza Tanzania ,wakati waZanzibari hawahawa ndio waioikomboa Uganda ,hawahawa ndio waliokuwa wapiganaji wa vita vya misituni kuikomboa Msumbiji hawahawa ndio waliopeleka wapiganaji Afrika Kusini kumng'oa kaburu ,lakini kwenye kuongoza nafasi ya juu ya taifa hili la Tanzania mliwawekea mguu Mungu si magufuli au asumani ,leo hii amewapa uongozi wa Nchi hii ,tuseme kivyakevyake tena Mwananmke,machogo lazima mtaosha vyombo tu.
Wazanzibari tunasema mwananke tu anawatosha aafu alivyokuwa na usongo kapangua pangua uoza uoza wote,kaweka kando ,nahisi hata wakuu wa mikoa wote awaweke wanawake,huko jeshini wapo wanawake kibao wanaojielewa ,wanafaa kuwa wakuu wa mikoa, Tokea tupate UHURU ni wao tu ,aloo machogo safari hii lazima yazidi urefu.
Mtoto Wa kizanzibar akizaliwa kabla kichwa hakijakomaa uchogo hubamizwa ukutani ili huku nyma kwenye uchogo awe kama flat screen, ndo maana wazenji hawanaga uchogo,kwa hiyo hapo anaposema machogo anatunanga sisi Wa bara tuna vichogo.Machogo ni kina nani?
Ndiyo Ukweli WenyeweKama hamtaki Muungano huu ndo wakati wenu
Vunjeni huu Muungano..
Akimaliza Samia hatutawasikiliza tena mkisema hamtaki Muungano