Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
Tasisi mbali mbali na jumuiaa za kiraia ikiwemoo Jumuia ya Wanasheriaa wakujitegemea Zanzibar imeanza kutowa elimu juu ya uhalali wa Muungano wa Ilokuwa Jamuhuri ya Watu wa Tanganyika na Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar.
Kuna form zilizo sambawa katika mikoa yote 5 ya Zanzibar ili wananchi wandikee majina yao nombari ya kitambulicho au passport sehemu unayokaa familia yako sign no ya simu kama unayo na maelezo mengine muhimu yanayo hitajikaa .
Hatuwa hii ni baada ya Wananchi wa Zanzibar kubanwa kwa kipindi kirefu na kutokupewa fursa ya kutokujadili Muungano wenyewe wa Ilokuwa Serekali ya watu wa Tanganyika na Serekali ya watu wa Zanzibar.
Hatuwa hii imekuja baada ya Mh Rais Jakaya Mrisho kikwete kusema kuwa maswala ya kujadili Muungano katika mfumo wa katiba mpya hayapo ni hadidu za rejea .
Hali hii imesababisha kuleta shaka kubwa zidi ya Wananchi wa Zanzibar kuona kuna siri gani hata Muungano usijadilike katika katiba mpya kuwauliza wa wa pande zote husika kuwa wanataka Muungano upi au Kawasaki basi sio kitu cha kulazimishwa .
Kwa mujibu wa Mh Kikwete anasema mafuta yaloko Zanzibar yanajadilika lakini Muungano hauwezi kujadiliwa, Jee kuna siri gani hata wananchi wasiweze kujadili Muungano?.
Kwa upande wa mahkama kuu ya Zanzibar hii itakuwa ni kesi ya pili kufunguliwa zidi ya uhalali wa Muungano, kesi ya kwanza ilifunguliwa Katika Mahkama kuu ya Zanzibar na kupelekwa nakala katika jumuiya ya Umoja wa mataifa UN.
Kesi hio ilikuwa nikumuliza mwanasheria mkuu wa Zanzibar kuwa awaonyeshe mkataba halali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kujuwa ni mkataba gani ulopelekwa UN kwa kufuataa vigezo gani vya Muungano.
Lakini mwanasheria Mkuu anasema katika ofisi yake hakuna mkataba wa Muungano na UN ilijibu kwa kumtumia Katibu mkuu wake Ben Kin Mon kuwa mkataba pekee ulioko Un ni ulowakilishwa na upande mmjo tu wa Muungano yani Tanganyika .
Sasa siri kubwa ya Mh Kikwete kusema kuwa Muungano usijadiliwe na kuweka kufuli yani (untouchable) nikuwa huu Muungano ni fake na hauna mkataba halali wa pande mbili zilizo ungana kwa vile uliopelekwa UN ni mkatabaa fake na ulochakachuliwa upande moja wa Muungano Tanganyika .
Ule mkataba halali na wenye makubaliano halali ya Muungano haupo na likuta ni Nyerere kuwa na zamira mbaya zidi ya Rais wa Zanzibar, mara nyingi nia safi hairogwi ndio ukaona ubaya wa kuwa na zamira mbaya mizimu yake ni hii inayo usumbua huu Mundane .
Muungano nikitu kizuri na sio kibaya na ndio ukaona nchi nyingi duniani zimeungana EU,Arab,African Union, lakini kila nchi ina samani kwa mwenzake na kuyasimamia yele walio yaingiza katika makubaliano ya Muungano.
Jee huuwetu uko hivyo , mimi sioni kuwa yupi mwenye kufaidika katika Muungano huu? Ukija kwa upande wa Ilokuwa Tanganyika wao wanajihisi ni Victim wa Muungano huu kwa kupoteza historia ya likuta nchi yao Tanganyika na ukija kwa upande wa Zanzibar , Zanzibar IPO lakini boya nguvu zote ziko chamani.
Jee wakumbebecha lawama hii ni nani? njia pekee ilokuwaa kunusuru Muungano nikupewa fursa wananchi wapande zote husika za Muungano kutowa maoni yao infamy gani wa Muungano wanautaka? Na kama ikitokezea kusema upande mmoja Kawasaki basi inabidi uamuzi wao uhishimiwe kwa vile Muungano ni nchi mbili zilokuwa na Dola zao huru, kuendelea kupuza na kugagania huo ni udiktetor na nikwenda kinyume na democrasia ,katika makubaliano ya Muungano kila nchi ilitumbukiza mambo yake na yakabakia yale tu yasio ya Muungano kusimamiwa na nchi zao.
Jee mambo yalikwenda hivyo,jee ulimwengu huu kuna mtu yoyote kwenye kupoteza Dola yake mmoja kujifanya super power na mwengine kuwa weak?.
Hii sio halali hata kidogo na swala hili ndio linalojenga hasiri zidi ya wananchi wa Zanzibar kuona Dola yao imepotezwa kwa kisingizio cha ujanja wa Nyerere wa Muungano.
Katika makubaliano ya Muungano Rais wa Zanzibar wakati huo Mh Abedi Amani Karume aliridhia umakamo wa Rais katika Serekali ya Muungano kwa masharti walio bubaline na mwenzake kuwa makamo wa kwanza wa Rais na Zanzibar isipotezee identity yake kwa vile upande moja una watu wengi mwengine una kidogo .
Hayo yote yalipuzwa baada ya Mh Karume kufariki na baadae Tanganyika kuvaa koti la Tanzania na Katiba ya Tanganyika kuwa ndio katiba ya Tanzania , na haikuishia hapo tu maamlako yote baada ya Rais alochaguliwa na watu wa Zanzibar kuwa makamo Rais wa Muungano alinyoyolowe mpawa na kuwa Waziri asio na wizaraa malum na kuingizwa katika baraza la mawaziri akiwa ni mjumbe wa Baraza bosi wake ni Waziri mkuu ambae ndio msimamizi wa Mawaziri.
Situation hii nazani hata nyiyi Watanganyika musingeweza kuku Bali au kuivumilia, mwicho wa haya ni zarau na maneno yasio make sense ni pale Mh Mizengo Kanyanza Pinda aliposema kuwa Zanzibar sio nchi? Jee kama Zanzibar sio nchi tunatengeneza katiba ya Muungano gani? Na vilify ungana ni nini vijiji au wilaya?.
Hii ndio zarau ilio wafanya Wazanzibar wauchukie Muungano huu na kuona baada ya Muungano umekuwa ukoloni zidi ya Dolo ilokutwa huru na mambo yake yote ya ndani na ki-international sasa leo kusema Zanzibar sio nchi umekusudia nini Pinda?.
Tukija katika kuifumuwa na kuiandika upya katiba mpya mwanzo wa hayo rais alachaguliwa na watu wa Zanzibar kuwakilisha kiungo cha Muungano hakushirikiswa katika mswada wa mwanzo wa katiba , mbaka wananchi wa Zanzibar kuja juu ndio likabadiliswa goma, sasa kama sio zarau hii ni nini?
Hivi sasa unambiwa katika baraza la mawaziri na linalosimamiwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano na Waziri mkuu, ikiwa Rais hayumo katika baraza basi litasimamiwa na makamo wa rais wa Muungano,ikiwa makamo hayupo basi litasimamiwa na waziri mkuu , hii ni zarau ya mwisho kumzalilisha rais wetu na watu wake.
 
Kuna form zilizo sambawa katika mikoa yote 5 ya Zanzibar ili wananchi wandikee majina yao nombari ya kitambulicho au passport sehemu unayokaa familia yako sign no ya simu kama unayo na maelezo mengine muhimu yanayo hitajikaa .
Hatuwa hii ni baada ya Wananchi wa Zanzibar kubanwa kwa kipindi kirefu na kutokupewa fursa ya kutokujadili Muungano wenyewe wa Ilokuwa Serekali ya watu wa Tanganyika na Serekali ya watu wa Zanzibar.
Hatuwa hii imekuja baada ya Mh Rais Jakaya Mrisho kikwete kusema kuwa maswala ya kujadili Muungano katika mfumo wa katiba mpya hayapo ni hadidu za rejea .
Hali hii imesababisha kuleta shaka kubwa zidi ya Wananchi wa Zanzibar kuona kuna siri gani hata Muungano usijadilike katika katiba mpya kuwauliza wa wa pande zote husika kuwa wanataka Muungano upi au Kawasaki basi sio kitu cha kulazimishwa .
Kwa mujibu wa Mh Kikwete anasema mafuta yaloko Zanzibar yanajadilika lakini Muungano hauwezi kujadiliwa, Jee kuna siri gani hata wananchi wasiweze kujadili Muungano?.
Kwa upande wa mahkama kuu ya Zanzibar hii itakuwa ni kesi ya pili kufunguliwa zidi ya uhalali wa Muungano, kesi ya kwanza ilifunguliwa Katika Mahkama kuu ya Zanzibar na kupelekwa nakala katika jumuiya ya Umoja wa mataifa UN.
Kesi hio ilikuwa nikumuliza mwanasheria mkuu wa Zanzibar kuwa awaonyeshe mkataba halali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kujuwa ni mkataba gani ulopelekwa UN kwa kufuataa vigezo gani vya Muungano.
Lakini mwanasheria Mkuu anasema katika ofisi yake hakuna mkataba wa Muungano na UN ilijibu kwa kumtumia Katibu mkuu wake Ben Kin Mon kuwa mkataba pekee ulioko Un ni ulowakilishwa na upande mmjo tu wa Muungano yani Tanganyika .
Sasa siri kubwa ya Mh Kikwete kusema kuwa Muungano usijadiliwe na kuweka kufuli yani (untouchable) nikuwa huu Muungano ni fake na hauna mkataba halali wa pande mbili zilizo ungana kwa vile uliopelekwa UN ni mkatabaa fake na ulochakachuliwa upande moja wa Muungano Tanganyika .
Ule mkataba halali na wenye makubaliano halali ya Muungano haupo na likuta ni Nyerere kuwa na zamira mbaya zidi ya Rais wa Zanzibar, mara nyingi nia safi hairogwi ndio ukaona ubaya wa kuwa na zamira mbaya mizimu yake ni hii inayo usumbua huu Mundane .
Muungano nikitu kizuri na sio kibaya na ndio ukaona nchi nyingi duniani zimeungana EU,Arab,African Union, lakini kila nchi ina samani kwa mwenzake na kuyasimamia yele walio yaingiza katika makubaliano ya Muungano.
Jee huuwetu uko hivyo , mimi sioni kuwa yupi mwenye kufaidika katika Muungano huu? Ukija kwa upande wa Ilokuwa Tanganyika wao wanajihisi ni Victim wa Muungano huu kwa kupoteza historia ya likuta nchi yao Tanganyika na ukija kwa upande wa Zanzibar , Zanzibar IPO lakini boya nguvu zote ziko chamani.
Jee wakumbebecha lawama hii ni nani? njia pekee ilokuwaa kunusuru Muungano nikupewa fursa wananchi wapande zote husika za Muungano kutowa maoni yao infamy gani wa Muungano wanautaka? Na kama ikitokezea kusema upande mmoja Kawasaki basi inabidi uamuzi wao uhishimiwe kwa vile Muungano ni nchi mbili zilokuwa na Dola zao huru, kuendelea kupuza na kugagania huo ni udiktetor na nikwenda kinyume na democrasia ,katika makubaliano ya Muungano kila nchi ilitumbukiza mambo yake na yakabakia yale tu yasio ya Muungano kusimamiwa na nchi zao.
Jee mambo yalikwenda hivyo,jee ulimwengu huu kuna mtu yoyote kwenye kupoteza Dola yake mmoja kujifanya super power na mwengine kuwa weak?.
Hii sio halali hata kidogo na swala hili ndio linalojenga hasiri zidi ya wananchi wa Zanzibar kuona Dola yao imepotezwa kwa kisingizio cha ujanja wa Nyerere wa Muungano.
Katika makubaliano ya Muungano Rais wa Zanzibar wakati huo Mh Abedi Amani Karume aliridhia umakamo wa Rais katika Serekali ya Muungano kwa masharti walio bubaline na mwenzake kuwa makamo wa kwanza wa Rais na Zanzibar isipotezee identity yake kwa vile upande moja una watu wengi mwengine una kidogo .
Hayo yote yalipuzwa baada ya Mh Karume kufariki na baadae Tanganyika kuvaa koti la Tanzania na Katiba ya Tanganyika kuwa ndio katiba ya Tanzania , na haikuishia hapo tu maamlako yote baada ya Rais alochaguliwa na watu wa Zanzibar kuwa makamo Rais wa Muungano alinyoyolowe mpawa na kuwa Waziri asio na wizaraa malum na kuingizwa katika baraza la mawaziri akiwa ni mjumbe wa Baraza bosi wake ni Waziri mkuu ambae ndio msimamizi wa Mawaziri.
Situation hii nazani hata nyiyi Watanganyika musingeweza kuku Bali au kuivumilia, mwicho wa haya ni zarau na maneno yasio make sense ni pale Mh Mizengo Kanyanza Pinda aliposema kuwa Zanzibar sio nchi? Jee kama Zanzibar sio nchi tunatengeneza katiba ya Muungano gani? Na vilify ungana ni nini vijiji au wilaya?.
Hii ndio zarau ilio wafanya Wazanzibar wauchukie Muungano huu na kuona baada ya Muungano umekuwa ukoloni zidi ya Dolo ilokutwa huru na mambo yake yote ya ndani na ki-international sasa leo kusema Zanzibar sio nchi umekusudia nini Pinda?.
Tukija katika kuifumuwa na kuiandika upya katiba mpya mwanzo wa hayo rais alachaguliwa na watu wa Zanzibar kuwakilisha kiungo cha Muungano hakushirikiswa katika mswada wa mwanzo wa katiba , mbaka wananchi wa Zanzibar kuja juu ndio likabadiliswa goma, sasa kama sio zarau hii ni nini?
Hivi sasa unambiwa katika baraza la mawaziri na linalosimamiwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano na Waziri mkuu, ikiwa Rais hayumo katika baraza basi litasimamiwa na makamo wa rais wa Muungano,ikiwa makamo hayupo basi litasimamiwa na waziri mkuu , hii ni zarau ya mwisho kumzalilisha rais wetu na watu wake.