Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Wanataka watoto wakivaa vibalaghashee wapendeze! Huku wanawabemenda ubongo! Waswahili bana!
Hata wanaume wa zenji wanatamani waolewa na waarabu wazae shombe shombe..stupidity ni laana.Wanataka watoto wakivaa vibalaghashee wapendeze! Huku wanawabemenda ubongo! Waswahili bana!
Hahahahahaha hahahaHata wanaume wa zenji wanatamani waolewa na waarabu wazae shombe shombe..stupidity ni laana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan umeona Kidoti unahukumu wazanzibari wote wanafanya ivo?? Tukienda Gwandi tukakuta wanakeketa watoto tuseme Wabara wanakeketa watoto wao??Mimi mleta mada nimekaa Zanzibar kidoti kule. Nimejionea nayoyasema.
Zanzibar ni ndogo sana..hata ukitaka ukusanye watu kwa filimbi watasikia na kuja eneo la tukio..na hii tabia ipo zenji hadi pemba..acha ubishi watu wamekuja na shuhuda zao wewe unataka uwapinge?Yan umeona Kidoti unahukumu wazanzibari wote wanafanya ivo?? Tukienda Gwandi tukakuta wanakeketa watoto tuseme Wabara wanakeketa watoto wao??
Mwandishi atakuwa ni mtoto wa mbio Za mwenge.Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
Kama ambavyo wanaume wa Bara wanavyotamani waolewe na Wazungu ili wazae machotara wa Kizungu. Ukipenda chongo huona kengeza.Hata wanaume wa zenji wanatamani waolewa na waarabu wazae shombe shombe..stupidity ni laana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazanzibar gani hao? Au unaona hawana machogo ndio maana unashangaa? Nani kaminywa kichwa nyuma? Acha uzushiMoja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
Acheni kuminya vichwa watoto..ipungizieni mzigo serikali kuhudumia mazezete.Kama ambavyo wanaume wa Bara wanavyotamani waolewe na Wazungu ili wazae machotara wa Kizungu. Ukipenda chongo huona kengeza.
Acheni kuminya vichwa watoto..maharibu ubongo..mwisho mnaongeza mazezeta nchini.wazanzibar sijui wamekufanya nini umeamua uwatukane pole kaka
itakuw umenyimwa mke wewe si bureAcheni kuminya vichwa watoto..maharibu ubongo..mwisho mnaongeza mazezeta nchini.
#MaendeleoHayanaChama
Ya kunyimwa mke yanetoka wapi tena..anyway ushauri chukueni muufanyie kazi ndugu zanguni..kwa maendeleo na ustawi wa nchi.itakuw umenyimwa mke wewe si bure
Hizi ni athari za utumwa ..waarabu walikuwa wakiwatambua watumwa kwa kuangalia vichogo maana wao hawana kwa hiyo jamii pia inaona mtu kwenye kichogo ni mtumwa tu.. ndio wakabuni huo ujinga wa kuminya vichwa watoto ili kuondoa hivyo vichogo hii hasa ni Pemba..na ni kweli ukiwa Zanzibar mtu akakwambia wewe chogo anamaanisha wewe ni mbara na kipindi hicho watu wa Bara ndio walikuwa watumwa huko kwao..Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626
Na vibolo vya vichanga huwa wanavivuta au wanavimininya kwa sababu zao zisizoeleweka?
Umenipa shule kubwa katika hili, nilikuwaga najiuliza mbona hawa watu hua wana low IQ mnooo, nilikua nafikiria ni kwasababu za kiroho zaidi ila leo umenipa point nyingine kubwaMoja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.
Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.
Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.
Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.
Acheni hili!
View attachment 1790630
View attachment 1790626