Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

Yan umeona Kidoti unahukumu wazanzibari wote wanafanya ivo?? Tukienda Gwandi tukakuta wanakeketa watoto tuseme Wabara wanakeketa watoto wao??
Zanzibar ni ndogo sana..hata ukitaka ukusanye watu kwa filimbi watasikia na kuja eneo la tukio..na hii tabia ipo zenji hadi pemba..acha ubishi watu wamekuja na shuhuda zao wewe unataka uwapinge?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
Mwandishi atakuwa ni mtoto wa mbio Za mwenge.
 
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
Wazanzibar gani hao? Au unaona hawana machogo ndio maana unashangaa? Nani kaminywa kichwa nyuma? Acha uzushi
 
Afya ya akili ya mtoto wa Zanzibar Ni haki yake. Chonde chonde msiwaninye ndonga watoto.
 
Kama ambavyo wanaume wa Bara wanavyotamani waolewe na Wazungu ili wazae machotara wa Kizungu. Ukipenda chongo huona kengeza.
Acheni kuminya vichwa watoto..ipungizieni mzigo serikali kuhudumia mazezete.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli kabisaa angalia familia za WATU wa ZANZIBAR WOTE HAWANA VISOGO NA NDIO MAANA SISI WANATUITA WATU BARA CHOGO mtu ukimwangali@
 
Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
Hizi ni athari za utumwa ..waarabu walikuwa wakiwatambua watumwa kwa kuangalia vichogo maana wao hawana kwa hiyo jamii pia inaona mtu kwenye kichogo ni mtumwa tu.. ndio wakabuni huo ujinga wa kuminya vichwa watoto ili kuondoa hivyo vichogo hii hasa ni Pemba..na ni kweli ukiwa Zanzibar mtu akakwambia wewe chogo anamaanisha wewe ni mbara na kipindi hicho watu wa Bara ndio walikuwa watumwa huko kwao..

Saasa wamebaki na Imani hizo Hadi sasa..
 
Na vibolo vya vichanga huwa wanavivuta au wanavimininya kwa sababu zao zisizoeleweka?

Moja kwa moja kwenye point. Wazanzibar utamaduni wenu wa kuzaa mtoto na kumminya nyuma ya kichwa ili asiwe na kisogo una hatari kubwa sababu mna disturb sehemu sensitive Sana ya ubongo wa mtoto.

Mkijua pale nyuma ndio pana central processing yote ya ubongo wa mwanadamu. Ukipabonyeza wakati wa utoto kwa sababu zako mwenyewe una distort his senses if judgement ukubwana na kuharibu Brain impairment system zote.

Angalia hata kwenye bondia ukipiga ngumi ya nyuma ya kichwa unakatwa point ni faulo. Panalindwa sababu Kuna vitu sensitive sana ila Mzanzibari anapabonyeza hadi mwisho.

Eti asiwe na kichogo na akivaa baragashia apendeze sababu ya kijinga kabisa mnaharibia watoto wa maisha. Nimepita Zanzibar unakuta mtoto hajachangamka kabisa wengine wanatoa madenda tu Kama matahaira sababu brain system zimebonyezwa.

Acheni hili!

View attachment 1790630
View attachment 1790626
Umenipa shule kubwa katika hili, nilikuwaga najiuliza mbona hawa watu hua wana low IQ mnooo, nilikua nafikiria ni kwasababu za kiroho zaidi ila leo umenipa point nyingine kubwa
 
Back
Top Bottom