LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Nawapongeza sana Wazambia kwa kutokuogopa kufanya mageuzi kwa kuchagua Rais toka upinzani Mh Michael Sata! Mimi naona hawa jirani zetu kuwa na uelewa mkubwa kwa kuwa si mara ya kwanza kuchagua Rais toka Chama cha Upinzani! Wenzetu hawaogopi kuthubutu, Wamethubutu, Wameweza na Wanasonga Mbele! Tujifunze kutoka kwao!