bashitegufu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 201
- 117
Unakumbuka wimbo wao uliimbwa binti mmoja unaimbwa 'watoto wasafi moyoni Ni nyota za macho ya wazazi,sisi ni maua tuliopendwa na Mungu mwenyenzi'Pia kulikuwa na ile band ya vijana wa Kihindi, VARDA ARTS.