Na beach nzuri sana, samaki watamu utadhani waliogelea kwenye asaliUnaniangusha Mkuu..hivi ushawahi kufika Kigombe? Sasa kule ni Muheza..na kuna bandari bubu pale..
Nyika lina maana pana hasa ukiwa Tanga.Tena twawaita wanyika wala si watu bara tu
Na Makojoni.Kisosora ,,,chumvini ,,,mabokweni,,,,mpk maramba,,, tupo mkuu
Tena ndugu zako tupo wengi hasa Mkuu. Karibu kwenye uzi wetu wa nyumbani.Nasikitika sijui huu uzi ulinipitaje, lakini ninavyo uenjoy, kumbe nina ndugu zangu wengi sana hapa JF.
Biva Tanga , chanzo cha uhuru na maendeleo Tanganyika
Waeza kuta mie mdogo wako kabisaaa. ๐๐๐๐Sio vizuri kujificha nyuma ya ID fake tujuane jamani..๐๐๐๐๐๐๐
InshaAllah Shadeeya, ni furaha kubwa kujuana na wanatanga wenzangu. Nyumbani ni Gamiani.Tena ndugu zako tupo wengi hasa Mkuu. Karibu kwenye uzi wetu wa nyumbani.
Kama upo huko utupe mbili tatu mpya kama zipo.
Sawa Kaka. ๐๐InshaAllah Shadeeya, ni furaha kubwa kujuana na wanatanga wenzangu. Nyumbani ni Gamiani.
Sijui kuna mtu anajua namna hili jina la Ngamiani lilitolewaje?
Tanga is a blessed region, with the most humane peopleSawa Kaka.
Mi pia sijajua mpaka leo maana ya chanzo cha jina la Ngamiani. Tusubiri wenye kujua zaidi waje watujuze.
Kweli kabisa...tujuane kama hutojali..mm nipo Tanga.Waeza kuta mie mdogo wako kabisaaa. ๐๐๐๐
ExactlyTanga is a blessed region, with the most humane people
Mi kwa sasa nipo NKASI huku napambana na hali yangu katika utafutaji wa riziki.Kweli kabisa...tujuane kama hutojali..mm nipo Tanga.
Safi sana..pambana!Mi kwa sasa nipo NKASI huku napambana na hali yangu katika utafutaji wa riziki.
Nkija huko TA mwishoni mwa mwaka ntakutafuta Kaka tujuane.
Ama kweli wewe ni mwenetu, unatumia kiswahili cha asilia " Nkija"Mi kwa sasa nipo NKASI huku napambana na hali yangu katika utafutaji wa riziki.
Nkija huko TA mwishoni mwa mwaka ntakutafuta Kaka tujuane.
Lafudhi ya kwetu huwa ni tamu sana Kaka japo huwa wanasema tukizungumza tunakuwa kama vile tumepumbaa. ๐๐๐Ama kweli wewe ni mwenetu, unatumia kiswahili cha asilia " Nkija"
Lugha yetu ni muruuwa
Mbona wengi wao walifikia kuoa , wanakimbilia kwetuLafudhi ya kwetu huwa ni tamu sana Kaka japo huwa wanasema tukizungumza tunazungumza tunakuwa kama vile tumepumbaa.
Hahaa. Ndio hapo sasa.Mbona wengi wao walifikia kuoa , wanakimbilia kwetu