Wazalendo kuweni macho..safari hii tusikubali !!

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,063
22,755
Kuna tetesi kuwa mitambo chakavu ya Dowans/Richmond huenda ikanunuliwa kinyemela na ingawa jambo kama hili si rahisi kwa nchi inayozingatia sheria, Tanzania chochote chawezekana.

Natoa ombi kwa watanzania popote walipo na kwa nafasi zao mbali mbali toka mkulima hadi mbunge, hili tulikatae kabisa - tuwe vigilant kisawasawa. Jamaa tumewashika pabaya na haijulikani watatumia mbinu gani safari hii maanake naona hata baadhi ya wanaojiita wasomi kutoka mlimani wanaanza kuingizwa kwenye dili kinyemela.

Tuseme big NO - tuanze kuibomoa hili kambi la MAFISADI, yes we can.
 
Msishindane na serikali kwani wanalindwa na kila kitu. Kuanzia sheria mpaka katiba hivyo ikiwa wameamua kununua watanunua na hakuna yeyote yule atakaeweza kuwasimamisha mahakamani ni ubabe tu.
 
Msishindane na serikali kwani wanalindwa na kila kitu. Kuanzia sheria mpaka katiba hivyo ikiwa wameamua kununua watanunua na hakuna yeyote yule atakaeweza kuwasimamisha mahakamani ni ubabe tu.


Wewe ni mmoja kati ya watu waliokubali kutawaliwa mpaka kufa. Umeshakuwa na feeling negative basi huna ujanja. Lakini sisi tulio wengi tunasimama imara kabisa na kusema big NO. YES WE CAN
 
Wewe ni mmoja kati ya watu waliokubali kutawaliwa mpaka kufa. Umeshakuwa na feeling negative basi huna ujanja. Lakini sisi tulio wengi tunasimama imara kabisa na kusema big NO. YES WE CAN

Mimi sijakubali kutawaliwa maana ni ntu kutoka Pemba si unasikia valangati zetu ,tina usongo na Sultani CCM ile mbaya.

Ila huko Tanganyika mnaogopa kufa ndio mtakaobakia kutawaliwa na kubebeshwa madeni mpaka kiyama na wafuasi wa Sultani CCM.

Mkishauriwa muidai Katiba mnagoma ,mkiambiwa muidai tume huru ya Uchaguzi hamtaki ,sasa mnataka kusukumana na mafisadi wakati wao ndio wenye kila kitu ,maana hata wakiondoana inakuwa ni kubadilishana wenyewe kwa wenyewe ,na walipohisi kuwa kuna hatari ya wenzetu kuishi jela wakatayarisha vyumba safi kama hoteli kwa ajili ya wenzao ambao hawatakuwa na njia nyingine ile kuwaweka jela.
 
Pole Mwiba, nadhani ni 'matter of principles' si sultani si mfalme nani ni dhambi kutumia kodi ya wananchi vibaya.
 
Kuna tetesi kuwa mitambo chakavu ya Dowans/Richmond huenda ikanunuliwa kinyemela na ingawa jambo kama hili si rahisi kwa nchi inayozingatia sheria, Tanzania chochote chawezekana. Natoa ombi kwa watanzania popote walipo na kwa nafasi zao mbali mbali toka mkulima hadi mbunge, hili tulikatae kabisa - tuwe vigilant kisawasawa. Jamaa tumewashika pabaya na haijulikani watatumia mbinu gani safari hii maanake naona hata baadhi ya wanaojiita wasomi kutoka mlimani wanaanza kuingizwa kwenye dili kinyemela. Tuseme big NO - tuanze kuibomoa hili kambi la MAFISADI, yes we can.

CCM coffers are empty, therefore they are worried about financing of next year's election. It seems RA has promised CCM a big percentage from the sale price of 60 billion shillings.
 
Back
Top Bottom