Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Kuna tetesi kuwa mitambo chakavu ya Dowans/Richmond huenda ikanunuliwa kinyemela na ingawa jambo kama hili si rahisi kwa nchi inayozingatia sheria, Tanzania chochote chawezekana.
Natoa ombi kwa watanzania popote walipo na kwa nafasi zao mbali mbali toka mkulima hadi mbunge, hili tulikatae kabisa - tuwe vigilant kisawasawa. Jamaa tumewashika pabaya na haijulikani watatumia mbinu gani safari hii maanake naona hata baadhi ya wanaojiita wasomi kutoka mlimani wanaanza kuingizwa kwenye dili kinyemela.
Tuseme big NO - tuanze kuibomoa hili kambi la MAFISADI, yes we can.
Natoa ombi kwa watanzania popote walipo na kwa nafasi zao mbali mbali toka mkulima hadi mbunge, hili tulikatae kabisa - tuwe vigilant kisawasawa. Jamaa tumewashika pabaya na haijulikani watatumia mbinu gani safari hii maanake naona hata baadhi ya wanaojiita wasomi kutoka mlimani wanaanza kuingizwa kwenye dili kinyemela.
Tuseme big NO - tuanze kuibomoa hili kambi la MAFISADI, yes we can.