Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,906
- 30,248
WAZALENDO HISTORIA IMEWASAHAU ABBAS MAX, AMINA KINABO, HALIMA SELENGIA NA FATMA BINT MATOLA
Ye kaegemea upande mmoja tuUkisoma maandito ya Mohamed Said, references zake ni za akina SYKES na wakina DOSSA mainly. Hivi Leo ukimuuliza atakwambia wazee walioijua TANU kwa kina ni wazee wa kiislam na wote hawapo, wametangulia mbele ya haki!! Mohamed ukimchungaza utaona kuwa ni very selective katika watu aliowahoji kuhusu TANU nao wengi ni wa dini yake hakupoteza muda kuwahoji wazee waanzilishi ambao wengine wapo ambao sio waislamu!!
Hakupoteza muda kwenda kukaa na Mzee Job Lusinde kabla ya kifo chake bali alipata muda kuongea na ALLY Sykes!! Kuna watu ambao wako hai ambao angeweza, kama angeta kupata unbiased story kuhusu TANU lakini kwa vile hawakidhi matakwa yake hawezi kufanya hivyo!
Mohamed mtafute Katibu mwenezi wa kwanza wa Chama Cha TANU anaitwa ROWLAND MWANJISI ili akurekebishie mapungufu yako kwenye historia unayojaribu kuitengeneza. Huyu Mzee yuko hai somewhere in Tanzania.
Bulesi,WUkisoma maandiko ya Mohamed Said, references zake ni za akina SYKES na wakina DOSSA mainly. Hivi Leo ukimuuliza atakwambia wazee walioijua TANU kwa kina ni wazee wa kiislam na wote hawapo, wametangulia mbele ya haki!!
Mohamed ukimchungaza utaona kuwa ni very selective katika watu aliowahoji kuhusu TANU nao wengi ni wa dini yake hakupoteza muda kuwahoji wazee waanzilishi ambao wengine wapo ambao sio waislamu!!
Hakupoteza muda kwenda kukaa na Mzee Job Lusinde kabla ya kifo chake bali alipata muda kuongea na ALLY Sykes!! Kuna watu ambao wako hai ambao angeweza, kama angeta kupata unbiased story kuhusu TANU lakini kwa vile hawakidhi matakwa yake hawezi kufanya hivyo!
Mohamed mtafute Katibu mwenezi wa kwanza wa Chama Cha TANU anaitwa ROWLAND MWANJISI ili akurekebishie mapungufu yako kwenye historia unayojaribu kuitengeneza. Huyu Mzee yuko hai somewhere in Tanzania.
Hapo chini ni Abbas Max
Mrangi,Ye kaegemea upande mmoja tu
Ova
Mdukuzi,,andika for pleasure ila usiandike kwa lengo la kubadili historia utakufa kwa pressure,kilichoandikwa kimeandikwa,sie tunaburudika kwa mastory ya kariakoo ila hayafai hata kujibia mtihani .utafeli
Ahaa sioni kizazi cha kusoma vitabu vya kiada watoto wanasoma vitabu kujibia mitihani,labda kiingizwe kwenye silabasi kitiu ambacho sitegemeiMdukuzi,
Lengo limekamilika.
Alhamdulilah.
Sikujua itafika nitaalikwa kuzungumza kwenye vyombo binafsi na vya umma kuzungumza.
Vijana wetu si wajinga wanajibu maswali kama inavyohitajika.
Lakini wakute wanavyochambua "themes" utasuuzika roho yako.
Kitabu tunakwenda toleo la lano.
Picha nikifanya kipindi cha saa nzima kuhusu maisha ya Bi. Titi Mohamed.
View attachment 1990185
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ kuna aina fulani ya kuchanganyikiwa na kuabidiana. Hatujui hawa wazee walimfanyia nini au yeye na familia yake.Ukisoma maandiko ya Mohamed Said, references zake ni za akina SYKES na wakina DOSSA mainly. Hivi Leo ukimuuliza atakwambia wazee walioijua TANU kwa kina ni wazee wa kiislam na wote hawapo, wametangulia mbele ya haki!!
Mohamed ukimchungaza utaona kuwa ni very selective katika watu aliowahoji kuhusu TANU nao wengi ni wa dini yake hakupoteza muda kuwahoji wazee waanzilishi ambao wengine wapo ambao sio waislamu!!
Hakupoteza muda kwenda kukaa na Mzee Job Lusinde kabla ya kifo chake bali alipata muda kuongea na ALLY Sykes!! Kuna watu ambao wako hai ambao angeweza, kama angeta kupata unbiased story kuhusu TANU lakini kwa vile hawakidhi matakwa yake hawezi kufanya hivyo!
Mohamed mtafute Katibu mwenezi wa kwanza wa Chama Cha TANU anaitwa ROWLAND MWANJISI ili akurekebishie mapungufu yako kwenye historia unayojaribu kuitengeneza. Huyu Mzee yuko hai somewhere in Tanzania.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Ye kaegemea upande mmoja tu
Ova
๐๐๐๐๐๐๐,andika for pleasure ila usiandike kwa lengo la kubadili historia utakufa kwa pressure,kilichoandikwa kimeandikwa,sie tunaburudika kwa mastory ya kariakoo ila hayafai hata kujibia mtihani .utafeli
Mdukuzi,Ahaa sioni kizazi cha kusoma vitabu vya kiada watoto wanasoma vitabu kujibia mitihani,labda kiingizwe kwenye silabasi kitiu ambacho sitegemei
Edwayne,Wazee hawakumbukwi kwasababu hawanamchango na walikua hawana mchango katika nchi na harakati za uhuru . Usilazimishe tukumbuke watu wasiokuwepo
Father...๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ kuna aina fulani ya kuchanganyikiwa na kuabidiana. Hatujui hawa wazee walimfanyia nini au yeye na familia yake.
Lombo,Salamu,
Hivi karibuni Uongozi wa JF ulimpa tuzo mwandishi Mohamed Said ambaye ni maarufu Sana hapa JF kwa kuandika Historia ya TANU ,Tanganyikana Zanzibar.
Mzee Mohamed amekuwa akiandika historia hii kwa kile ambacho amekuwa akibainisha kuwa Historia ya TANU na Tanganyika imekuwa ikipotoshwa makusudi kwa kutowataja baadhi ya Waasisi ambao yeye anawaita wazee wake.
Bila woga wala hofu Mzee Mohamed amekuwa akieleza kuwa Historia hiyo imefutwa kwa kuwa hao Wazee ni Waislam.
Na katika maandishi hayo pia Mzee Mohamed ameeleza jinsi Waislam walivyodidimizwa Kielimu ambapo ameeleza kuwa ni kundi dogo tu la Waislam,wamekuwa\walikuwa wanachaguliwa kujiunga na Sekondari(yeye ameita 20:80)
Mzee huyu amediriki kuelezea (kwa Lugha ya kebehi) jinsi Mwalimu Nyerere alivosaidiwa ' na hao Wazee wake wakati anadai Uhuru. Kwa maneno mengine Nyerere hakulipa fadhira
Kimsingi ameandika mengi katika Uzi wake wa mwisho ambao umezua mjadala mkubwa ameeleza inakuwaje Mwenyekiti wa UWT, Mama G. Kabaka alipewa nafasi hiyo ,ilhali alishiriki kuwanyanyasa Waislam alipokuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Cha Dodoma kwa kukataa kujengwa kwa Msikiti eneo la Chuo.
Hizi no shutuma nzito kwa Serikali, CCM na Mama Kabaka Mwenyewe. Shutuma hizi zingetolewa na layman' zingewezwa kupuuzwa. Lakini zinapotolewa na Msomi,Inatia mashaka. Ilhali anaelewa kabisa namna Maamuzi ya Taasisi kama UDOM wanavyotolewa.
Lengo lake Nini!
Inawezekana Kuna kasoro katika Historia ya TANU, lakini kwa namna anavyoeleza Ndg Said kwa misingi ya Ubaguzi wa Kidini inakera.
Turudi kwenye mada, hivi Uonhozi wa JamiiForums haukuona Viashiria vya Ubaguzi vilivyomo kwenye simulizi zake hadi wakafumba macho Hadi kumpa Tuzo!? Au Viashiria hivi ni vidogo kulinganisha na Elimu anayoitoa kwa Jamii?
Mimi kwangu Viashiria hivi ni sumu katika Jamii.
Rejea mjadala katika Uzi wake kuhusu Mama Gaudensia Kabala katika jukwaa la Historia.