Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Hashimu alikuwa na mwana aitwae abdull Mutallib,sasa huyu ndo babu wa mtume,huyu alikuja kuwa kiongozi mwenye hekima wa ukoo wa banu Hashimu ambao kwa wakarti huo ndo walikuwa custodian wa pale maka,huyu Abdull Mutalib ndo alimrithi hashim,sasa yule abdi shams alikuwa anauchukua ukoo wa hashim kama beef fulan hivi na hiyo chuki ikirithiwa kwa vizazi,huyu alikuja kuwa na mtoto akiitwa umayya,huyu ndo jina lake lilibeba ukoo wa Umawia hapo walikuwa na beef na ukoo wa banu hashim