Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
Wadau naomba mnisaidie jambo hili, sisi wateja wa tanesco wa nyegezi kona mwanza tunaotumia mita za luku tumekuwa tukiibiwa nyaya za umeme NYEUSI zinazofungwa kwenye mita za luku na "watu" ambao wanakuja na mavazi ya tanesco pamoja na vifaa vingine vya kitanesco ikiwa ni pamoja na "dabokebeni gari lenye rangi isiyo ya tanesco" tena usiku wa manane.
Je, hizo nyaya NYEUSI zina kitu gani ndani yake hadi ziibiwe hizo tu na zingine kutokuibiwa....???
Je, hizo nyaya NYEUSI zina kitu gani ndani yake hadi ziibiwe hizo tu na zingine kutokuibiwa....???