Calibre ya Hamza!Hahahaaa huyo kamanda bonge la jitu Hilo jamaa inaonekana ukiingia anga zake utajuta!
Anahisi Kama anaota vile
Wanasiasa Ni wapumbavu Sana kwakweliHuyu Konde ameyataka mwenyewe...Wazee wa kazi naona wamemchoka
.katesa Sana Wapinzani na kuwasweka jela.
.mwaka Jana kashinda kimagumashi Sana Uchaguzi Mkuu
.Mwaka huu kwa kupitia Bunge aliloliweka mfukoni wamepitisha Bajeti ya Nchi na kuongeza maradufu bajeti ya Ikulu na ya Bunge
.Wakati huo akipunguza Sana bajeti ya Vyombo vya Dola na kukata salary zao
.SASA MOTO UMEMUWAKIA NA kwa namna Ufaransa inavyowachomoa Hawa Madikiteta, HUYU NAYE ATAONDOKA KWA KUPINDULIWA NA JESHI
.Kumbuka, Guinea ina utajiri wa Maliasili za Madini nyingi mno ikiwemo Gold, Diamond, Iron Ore, Bauxite n.k Ila WANACHI WAKE HAWAFAIDI KABISA UTAJIRI HUO WA RASLIMALI ZA NCHI.
....
Neno Guinea lina maana gani? msaada tutaniOngezea PAPUA NEW GUINEA ingawa haipo bara la Africa
Hata mimi huwa sielewi maana yake, sijui kwanini limependwa hivyo.Neno Guinea lina maana gani? msaada tutani