Wawili wadakwa Uwanja wa Ndege wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kilo 13.4

Jeshi la Polisi kikosi cha viwanja vya Ndege Tanzania (JNIA) limewakamata watu wawili wakiwa na dawa za kulevya kilo13.4 aina ya heroin walizokuwa wakisafirisha katika jiji la Bombay nchini India.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Aprili 9,2021 Kamanda wa Polisi Viwanja vya JNA, Jeremia Shila watuhumiwa hao Maria Tumbuka (29) mkazi wa Kivule na mwanaume (jina wamelihifadhi) walikamatwa Aprili 4,2021 saa 1:50 usiku katika uwanja huo wa ndege eneo la ukaguzi wa mizigo ya abiria wanaosafiri kwenda nje ya nchi.

Shila amesema mtuhumiwa Maria alikamatwa akiwa na pakiti tatu za dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa kilo6.65 alizokuwa amezificha ndani ya begi lake la kusafiria.

Kamanda Shila amesema watuhumiwa hao waliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Harare Zimbabwe na walikuwa wanatarajia kuunganisha safari yao kuelekea Bombay India kwa ndege nyingine ya Air Tanzania (ATCL).

"Watuhumiwa hawa walikamatwa kutokana na umahiri wa askari polisi wa viwanja vya ndege kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tulipokagua mabegi yao tulibaini dawa za kulevya wamezificha pembeni ya begi kwa ndani huku katikati wakiweka nguo kwa lengo la kukwepa mashine ya ukaguzi,"amesema Shila.

Shila ametoa onyo watu wote wanaojihusisha na biashara haramu ya usafirishaji binadamu, dawa za kulevya na nyara za serikali kwani watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Mwananchi
Mtanikumbuka....
 
Jeshi la Polisi kikosi cha viwanja vya Ndege Tanzania (JNIA) limewakamata watu wawili wakiwa na dawa za kulevya kilo13.4 aina ya heroin walizokuwa wakisafirisha katika jiji la Bombay nchini India.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Aprili 9,2021 Kamanda wa Polisi Viwanja vya JNA, Jeremia Shila watuhumiwa hao Maria Tumbuka (29) mkazi wa Kivule na mwanaume (jina wamelihifadhi) walikamatwa Aprili 4,2021 saa 1:50 usiku katika uwanja huo wa ndege eneo la ukaguzi wa mizigo ya abiria wanaosafiri kwenda nje ya nchi.

Shila amesema mtuhumiwa Maria alikamatwa akiwa na pakiti tatu za dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa kilo6.65 alizokuwa amezificha ndani ya begi lake la kusafiria.

Kamanda Shila amesema watuhumiwa hao waliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Harare Zimbabwe na walikuwa wanatarajia kuunganisha safari yao kuelekea Bombay India kwa ndege nyingine ya Air Tanzania (ATCL).

"Watuhumiwa hawa walikamatwa kutokana na umahiri wa askari polisi wa viwanja vya ndege kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tulipokagua mabegi yao tulibaini dawa za kulevya wamezificha pembeni ya begi kwa ndani huku katikati wakiweka nguo kwa lengo la kukwepa mashine ya ukaguzi,"amesema Shila.

Shila ametoa onyo watu wote wanaojihusisha na biashara haramu ya usafirishaji binadamu, dawa za kulevya na nyara za serikali kwani watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Mwananchi
Mimi nafikiri waandishi Wa habari wangelikuwa wanapewa interviews za intelligence na kufanyishwa brain teaser nyingi waamke.
" wamekamatwa wakisafirisha dawa za kulevya ndani ya jiji la Bombay"
Dar ni bombay? Vile vile Police wetu weledi wao no mdogo sana, umekamata watu wawili mmoja umemtaja mwingine eti umehifadhi Nina hapo pana technicality gani?
Unaweza kuiita dawa ya kulevua kama imethibitishwa na mkemia mkuu. Sidhani kama process hiyo imefanyika kwa muda huu mfupi
 
Jeshi la Polisi kikosi cha viwanja vya Ndege Tanzania (JNIA) limewakamata watu wawili wakiwa na dawa za kulevya kilo13.4 aina ya heroin walizokuwa wakisafirisha katika jiji la Bombay nchini India.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Aprili 9,2021 Kamanda wa Polisi Viwanja vya JNA, Jeremia Shila watuhumiwa hao Maria Tumbuka (29) mkazi wa Kivule na mwanaume (jina wamelihifadhi) walikamatwa Aprili 4,2021 saa 1:50 usiku katika uwanja huo wa ndege eneo la ukaguzi wa mizigo ya abiria wanaosafiri kwenda nje ya nchi.

Shila amesema mtuhumiwa Maria alikamatwa akiwa na pakiti tatu za dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa kilo6.65 alizokuwa amezificha ndani ya begi lake la kusafiria.

Kamanda Shila amesema watuhumiwa hao waliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Harare Zimbabwe na walikuwa wanatarajia kuunganisha safari yao kuelekea Bombay India kwa ndege nyingine ya Air Tanzania (ATCL).

"Watuhumiwa hawa walikamatwa kutokana na umahiri wa askari polisi wa viwanja vya ndege kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tulipokagua mabegi yao tulibaini dawa za kulevya wamezificha pembeni ya begi kwa ndani huku katikati wakiweka nguo kwa lengo la kukwepa mashine ya ukaguzi,"amesema Shila.

Shila ametoa onyo watu wote wanaojihusisha na biashara haramu ya usafirishaji binadamu, dawa za kulevya na nyara za serikali kwani watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Mwananchi
Kuna yule mwanamke na mumewe waliohukumiwa juzi kati kifungo cha maisha Kwa kesi ya madawa na hao waunganishwe basi na huyo mwanaume asiejulikana ni nani
 
Jamaa kanitonya kuwa mzigo ulikuwa unaelekea China via Indus valley.
 
Mawazo kama haya ndio CAG, ame ya prove wrong!!kuwa wakati wa magu mambo yote yalikwenda sawa?!!haaaah!!mwaka jana wakati USA, waliposema kuwa dar ndio imekuwa lango la kuingiza madawa ya kulevya hakuwepo??!!
Kampeni ya DAB aka Makonda ilikuwa ni kwa ajili ya kudominate soko kwa watu wake.
Na ndivyo ilivyotokea na ilivyo.
 
Hawa inaonekana hata wangefika India wangekamatwa. Unaficha kwenye begi, mbinu za kizamani sana.
 
Jeshi la Polisi kikosi cha viwanja vya Ndege Tanzania (JNIA) limewakamata watu wawili wakiwa na dawa za kulevya kilo13.4 aina ya heroin walizokuwa wakisafirisha katika jiji la Bombay nchini India.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Aprili 9,2021 Kamanda wa Polisi Viwanja vya JNA, Jeremia Shila watuhumiwa hao Maria Tumbuka (29) mkazi wa Kivule na mwanaume (jina wamelihifadhi) walikamatwa Aprili 4,2021 saa 1:50 usiku katika uwanja huo wa ndege eneo la ukaguzi wa mizigo ya abiria wanaosafiri kwenda nje ya nchi.

Shila amesema mtuhumiwa Maria alikamatwa akiwa na pakiti tatu za dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa kilo6.65 alizokuwa amezificha ndani ya begi lake la kusafiria.

Kamanda Shila amesema watuhumiwa hao waliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Harare Zimbabwe na walikuwa wanatarajia kuunganisha safari yao kuelekea Bombay India kwa ndege nyingine ya Air Tanzania (ATCL).

"Watuhumiwa hawa walikamatwa kutokana na umahiri wa askari polisi wa viwanja vya ndege kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tulipokagua mabegi yao tulibaini dawa za kulevya wamezificha pembeni ya begi kwa ndani huku katikati wakiweka nguo kwa lengo la kukwepa mashine ya ukaguzi,"amesema Shila.

Shila ametoa onyo watu wote wanaojihusisha na biashara haramu ya usafirishaji binadamu, dawa za kulevya na nyara za serikali kwani watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Mwananchi
Hii ya kukamata ni jambo moja, kwenye matokeo ya kesi yao ni jambo lingine. Hukumu yaweza tokea miaka minne ijayo. Na watu wamekamatwa na vielelezo(ushahidi)! na hapa ndipo watu tunakosa kuwa na imani na hivi vyombo,jeshi na Mahakama.
Hii ya kuficha jina la mtu wa pili ni ushahidi wa kesi kuja kutolewa 2024, naam kipindi hicho heroin itakuwa phentermine (chemical za kupunguza unene).

JPM REST IN POWER
 
Back
Top Bottom