MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Kesho 18/01/2012: Kutakuwa na maandamano yaliyoandaliwa na wanachama wa CUF Jimbo la Wawi-Zanzibar yatakayoanza saa 2:00 asubuhi Tawi la CUF Vumba, na kumalizikia kiwanja cha mpira -Vumba kwa lengo la kupongeza baraza kuu la CUF kuwafukuza waasi wa chama hicho akiwemo aliyekuwa mbunge wa chama hicho Hamad Rashid.Maandamano Yatapokewa kwa kufanyika mkutano wa Hadhara utakaohutubiwa na Mjumbe wa Baraza Kuu, ambaye pia ni Waziri wa Afya Z'bar Mhe.Juma Duni (Babu).