MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,424
mkuu hasipoelewa hayo maelezo najiondoa rasmi JFMkuu,kama walivyo kwisha kurekebisha waliopita narudia kidogo.
1.GGM inamilikiwa na Anglo gold ashanti na si ACACIA /barrick.
2.makininikia au gold copper concentrate inazalishwa bulyanhulu na buzwagi na si kama ulivyoeleza hapo juu..
3.migodi inayomilikiwa na ACACIA ni buzwagi au pangea,bulyanhulu na north mara.
4.buzwagi itafungwa mwakani kutokana na life span ya mgodi kuisha na si kutokana na masharti ambayo umeeleza kwenye taarifa yako hapo juu.
5.mgodi unaofungwa kwa muda ni bulyanhulu as we speek now no any production activities going on in the site.kwa sababu makinikia bado yamezuiliwa kusafirishwa kwenda nje na wanavyodai ni kuendesha kwa hasara tangu zuio hilo lilipowekwa na serikali mwez march.
Nb.tayari baadhi ya kampuni za kandarasi zimeshaondoka bulyanhulu na mwez huu mwishoni wafanyakazi wote waliochini ya ACACIA wataondolewa kazin since mgodi unafungwa.na kwa mujibu wa taarifa yao ni kuwa mwakani watafungua mgodi na kua wanatumaini na mazungumzo yanayoendelea kati yao na serikali yatazaa matunda.
Asante.