sam2000
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 523
- 326
Mkuu hawa bata bukini na mallad naweza pata mayai nitotoleshe? Also, unaweza nipa contact za jamaa yako wa Handeni juu ya mbuzi? Natanguliza shukraniMimi nafuga Mbuzi wa nyama, nilianza hawa wakawaida sasa naanza kuweka hawa Galla kwaajili ya Nyama. Nilianza wale wa Maziwa lakini niliwatoa kwasababu ya ufugaji wao unahitaji uangalifu mkubwa sana.
Pia nafuga na Bata, Bukini na Mallad, na Bata wa kawaida.
kuhusu wawekezaji wakubwa mnaweza waangalia Mbogo Ranches wao wamewekeza vyema katika ufugaji wa Ngombe na Mbuzi.