Kwa habari kama hizi hicho nilichoandika kinajitosheleza bwashee.johnthebaptist,
Ukiwa JF-expert member wengi tunakuangalia kwa hiyo nafasi yako kama expert ktk matumizi na viwango vya kupashana habari kwa kutumia W5 + H1 ili habari itimie.
Tukizingatia uandishi na uwasilishi wa habari kwa hizo W5 + H1 basi JamiiForums itabaki kuwa jukwaa pendwa la habari kamilifu na ya viwango kuigwa.
- Who was involved?
- What happened?
- When did it happen?
- Where did it happen?
- Why did it happen?
- How did it happen?