Wawakilishi Zanzibar wamjia juu Waziri kwa kumkashifu mtume wa waislamu, wamlazimisha aombe radhi!

johnthebaptist,
Ukiwa JF-expert member wengi tunakuangalia kwa hiyo nafasi yako kama expert ktk matumizi na viwango vya kupashana habari kwa kutumia W5 + H1 ili habari itimie.
  • Who was involved?
  • What happened?
  • When did it happen?
  • Where did it happen?
  • Why did it happen?
  • How did it happen?
Tukizingatia uandishi na uwasilishi wa habari kwa hizo W5 + H1 basi JamiiForums itabaki kuwa jukwaa pendwa la habari kamilifu na ya viwango kuigwa.
Kwa habari kama hizi hicho nilichoandika kinajitosheleza bwashee.

Heri nusu shari kuliko shari kamili

Eid Mubarak!
 
Back
Top Bottom