Wawakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU), Umoja wa Mataifa(UN) na Mabalozi mbalimbali waendelea kufuatilia kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Katika yote nimefurahishwa na ushahidi unaodai walipanga kukata miti na kuiweka barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam mpaka Mbeya ambako wangechoma kituo cha mafuta! Hapa nikaona ukweli kwani walikutwa na misokoto ya bangi, bila bangi isingewezekana kukata miti Dar mpaka Mbeya.
bila bangi 😂 aisee
 
Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .

View attachment 1938700View attachment 1938701

Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6

View attachment 1938747
Gaidi la saccos na huruma ya mabeberu mwitu.
 
Ni Sawa tu wahudhurie maadam wanatumia mafuta, gari na muda wa ofisi zao. Na shauri ni la wazi kwa yeyote kuhudhuria.
 
Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu

Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.

Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Wewe ni shetani.
Tanzania haiwezi kuwa nchi ya mashetani kama wewe.
 
Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu

Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.

Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Lile shetani la chato liko wapi leo


Akili za kuku hizi
 
Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu

Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.

Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu

Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.

Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
mbwa koko kama wewe huna faida duniani wala ahera
 
Kutoka barazani mwa Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

1hr ago·

Kwa mujibu wa Shahidi wa ACP Ramadhan Kingai (pichani), Freeman Mbowe alimuahidi Luteni Dennis Urio kuwa wakifanikisha kuchukua nchi [kwa njia ya mapinduzi] yeye Mbowe angempa nafasi kubwa.

Hata hivyo, aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA alikuwa Tundu Lissu. Hivyo kama CHADEMA ingeshinda, Lissu ndio angelikuwa Rais wala siyo Mbowe. Hapa kuna maswali kadhaa:

1. Kama Tundu Lissu ndiye ambaye angelikuwa Rais endapo CHADEMA wangelishinda Urais, Mbowe angewezaje kuahidi kutoa nafasi kubwa kwa watu wengine?

2. Inaonekana Mbowe [kama ushahidi wa ACP Kingai unavyodai] alikuwa tayari kupindua hata Serikali ya Tundu Lissu ili atimize ahadi yake?

3. Kuna kujikanganya kidogo katika mtiririko wa ushahidi: (a) Kuna kauli 'kuelekea Uchagauzi Mkuu'; (b) Kuna mazingira yanayoonyesha kuwa ACP Kingai alipanda cheo na kuushughulikia jambo hilo Novemba 2020, baada ya Uchagauzi Mkuu. Wakili wa Serikali hamuongozi vizuri Shahidi huyo kujibu maswali yaliyojificha, hivyo majibu yake bado yanaacha maswali mengi!

4. Kwa mantiki ya hoja ya 3 hapo juu, ni lini hasa Mbowe et al walipanga kufanya ugaidi wao? Je, ni kabla ya Uchaguzi Mkuu, kuelekea Uchaguzi Mkuu au baada ya Uchaguzi Mkuu?

5. Wakili wa Jamhuri anayemhoji Shahidi ACP Kingai hakuonekana kutilia sana maanani kipengere cha 'lini' katika hojaji yake. Hatujui kama ni makusudi, mkakati, au kupitiwa.

6. Je, hayo mambo yalikuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu au kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mbowe alikuwa amejua kuwa CHADEMA kitashindwa Uchaguzi Mkuu?

7. Inakuwaje Mwenyekiti wa Chama kikubwa cha upinzani nchini apange njama nzito kama hizo peke yake na Askari Jeshi mmoja wa kukodi huku Chama chake hakijui?

8. Ni Kiongozi gani wa Chama alijua mpango wa Mbowe au ni kikao gani cha Chama kilijadili kwa siri mpango huo na kilifanyika wapi na kiliwahusisha viongozi gani?

Kesi ya Mbowe na wenzake inavuta hisia za watu wengi. Mambo ndio kwanza yameanza katika Kesi hiyo ambayo ingawa haijatamkwa hivyo, lakini kwa mujibu ushahidi wa ACP Kingai, ilipaswa kuwa ni 'Kesi ya Uhaini'! Kwa kadiri ushahidi utakavyoendelea kutolewa, tutashuhudia mengi sana katika Kesi hii ya kusisimua! Endelea kutega sikio Mahakamani!
Uchambuzi wa Askofu ni mantiki (logic) ya mantiki (Reasoning of a Reason)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Leo hajavaa kanzu na kanda kama la bongo man
 
Nguvu hii ya kubambika kesi na matumizi mabaya ya Tozo ingetumika katika kesi ya washambuliaji wa Tundu Lissu ambao wako huru huku mitaani
 
Hawafuatilii kesi wanafuatilia mahela yao waliokuwa wanamtumia Mbowe ili kuleta machafuko, wazungu hawatupendi kihivyo mnavyofikiri
Kwani wao wamekwambia wanakupenda?.Usidhani wazungu ni wajinga kama wewe.
 
Kutoka barazani mwa Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

1hr ago·

Kwa mujibu wa Shahidi wa ACP Ramadhan Kingai (pichani), Freeman Mbowe alimuahidi Luteni Dennis Urio kuwa wakifanikisha kuchukua nchi [kwa njia ya mapinduzi] yeye Mbowe angempa nafasi kubwa.

Hata hivyo, aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA alikuwa Tundu Lissu. Hivyo kama CHADEMA ingeshinda, Lissu ndio angelikuwa Rais wala siyo Mbowe. Hapa kuna maswali kadhaa:

1. Kama Tundu Lissu ndiye ambaye angelikuwa Rais endapo CHADEMA wangelishinda Urais, Mbowe angewezaje kuahidi kutoa nafasi kubwa kwa watu wengine?

2. Inaonekana Mbowe [kama ushahidi wa ACP Kingai unavyodai] alikuwa tayari kupindua hata Serikali ya Tundu Lissu ili atimize ahadi yake?

3. Kuna kujikanganya kidogo katika mtiririko wa ushahidi: (a) Kuna kauli 'kuelekea Uchagauzi Mkuu'; (b) Kuna mazingira yanayoonyesha kuwa ACP Kingai alipanda cheo na kuushughulikia jambo hilo Novemba 2020, baada ya Uchagauzi Mkuu. Wakili wa Serikali hamuongozi vizuri Shahidi huyo kujibu maswali yaliyojificha, hivyo majibu yake bado yanaacha maswali mengi!

4. Kwa mantiki ya hoja ya 3 hapo juu, ni lini hasa Mbowe et al walipanga kufanya ugaidi wao? Je, ni kabla ya Uchaguzi Mkuu, kuelekea Uchaguzi Mkuu au baada ya Uchaguzi Mkuu?

5. Wakili wa Jamhuri anayemhoji Shahidi ACP Kingai hakuonekana kutilia sana maanani kipengere cha 'lini' katika hojaji yake. Hatujui kama ni makusudi, mkakati, au kupitiwa.

6. Je, hayo mambo yalikuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu au kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mbowe alikuwa amejua kuwa CHADEMA kitashindwa Uchaguzi Mkuu?

7. Inakuwaje Mwenyekiti wa Chama kikubwa cha upinzani nchini apange njama nzito kama hizo peke yake na Askari Jeshi mmoja wa kukodi huku Chama chake hakijui?

8. Ni Kiongozi gani wa Chama alijua mpango wa Mbowe au ni kikao gani cha Chama kilijadili kwa siri mpango huo na kilifanyika wapi na kiliwahusisha viongozi gani?

Kesi ya Mbowe na wenzake inavuta hisia za watu wengi. Mambo ndio kwanza yameanza katika Kesi hiyo ambayo ingawa haijatamkwa hivyo, lakini kwa mujibu ushahidi wa ACP Kingai, ilipaswa kuwa ni 'Kesi ya Uhaini'! Kwa kadiri ushahidi utakavyoendelea kutolewa, tutashuhudia mengi sana katika Kesi hii ya kusisimua! Endelea kutega sikio Mahakamani!
Uchambuzi wa Askofu ni mantiki (logic) ya mantiki (Reasoning of a Reason)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
askofu mchumia tumbo aliyekula hela za mabeberu katika ubora wako hivi hujui mwenyekiti ndiyo kila kitu hapo hata angechukua madaraka lissu kitu ambacho hakiwezekani chini ya jua mbowe anaweza kupanga safu kama mwenyekiyti acha uzwazwa wako unajiita askofu huku unakula hela za watu ukiwaahidi mtachukua nchi huna hata aibu acha uaskofu uwe mwana siasa
 
Wale Ma-CCM waliokuwa wanaponda kila siku Mbowe Gaidi nahisi hata menyewe yameanza kuelewa upuuzi wao yaliokua yanashangilia...na Chief Hangaya wao kawapoteza hawajui wanashangilia nini sasa
 
Sioni jipya, UAMSHO walisota jela miaka kama 8-9 mwisho tukaambiwa jamhuri imefuta kesi. Watu walipiga kelele mwisho wakatoka povu. Wananchi kama hawajawa na njia mbadala za kujitetea, wataendelea kuteswa hadi mwisho wa dunia.
 
Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .

View attachment 1938700View attachment 1938701

Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6

View attachment 1938747

Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .

View attachment 1938700View attachment 1938701

Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6

View attachment 1938747
Wakafoke kwa peni zao sasa
 
Back
Top Bottom