Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!
Umeishapitia huko? hata miye namjua Mariam
Umeishapitia huko? hata miye namjua Mariam
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!
Mkuu wako wawili pale kwa Mzee Mwinyi, nyumba imeangaliana na Mama Ntilie. Halafu ukipandisha kidogo kama unaelekea uzuri yupo Mariamu mwingine, maji ya kunde na mrefu kiasi - huyo ndiye ninayemzungumzia hapa
Ninaye sema mimi rangi yake ni damu ya mzee na mrefu kiasi, Medium size na akitembea ni kama Nguva ndani ya bahari huyu anakaa karibu zaidi na Uzuri! Tusije gonganisha Bajaj
Ninaye sema mimi rangi yake ni damu ya mzee na mrefu kiasi, Medium size na akitembea ni kama Nguva ndani ya bahari huyu anakaa karibu zaidi na Uzuri! Tusije gonganisha Bajaj
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!