Wavuta shisha na sigara na mashoga ni Watanzania pia, a message to Makonda

ninanina

Member
Jun 25, 2011
37
24
Kwa hili sikubaliani na Makonda, huwezi ku-treat Watanzania kama wewe kama wahalifu, simply because wamechagua na different style of life.

Tahadhari ziko wazi za uvutaji sigara, hata label zinasema sigara inaua, lakini wavutaji bado wameamua kuendelea kuvuta. Hawa wanalipa kodi sawa na wewe na mimi, kuvuta sigara siyo uhalifu, ndiyo sababu govt inakusanya kodi na viwanda vya sigara vipo kihalali. Sababu gani kuwanyanyasa?

Suala ilikuwa tu kuwafahamisha kwamba yawepo maeneo maalum kwa wao kuvuta sigara. Ni vile vile kwa wavuta shishi. Mtu amekwenda kwenye hotel ama eneo lolote linaloruhusu shishi, kwani kuna kosa gani la jinai hapo?

Kama ilivyo kwa sigara, na wavuta shishi ni hivyo hivyo, wameamua kuvuta pamoja na kujua madhara yake. Upande wa mashoga nalo hivyo hivyo, waache waishi kwa amani. As long what the gays do is done privately, not publicly, wamekukosa nini? Tusitake kufanya maisha ya wengine kuwa magumu unnecessarily, simply because unaweza kusema na kufanya chochote.

Kuna mambo ya msingi ya kuyasimamia na kuyapigania ambayo yana madhara makubwa kwa wengi, siyo ya kunyanyasa watu walioamua kuwa na style nyingine ya maisha. Wavuta sigara wawe na maeneo yao maalum, ni suala la maelekezo tu.

Hebu tutumie muda wetu mwingi kujadili jinsi ya kuwaondoa watu kwenye dimbwi la umasikini na siyo kupekela nguvu nyingi kwa masuala yasiyo na msingi.

Makonda should respect all residents of DAR regardless of their choice of life style or sexuality. Hakuna kosa la jinai hapo.
 
Hayo ni mambo very sensitive na yanatakiwa kuwa handled sensitively as well.
 
Kwa hili sikubaliani na Makonda, huwezi ku-treat Watanzania kama wewe kama wahalifu, simply because wamechagua na different style of life. Tahadhari ziko wazi za uvutaji sigara, hata label zinasema sigara inaua, lakini wavutaji bado wameamua kuendelea kuvuta. Hawa wanalipa kodi sawa na wewe na mimi, kuvuta sigara siyo uhalifu, ndiyo sababu govt inakusanya kodi na viwanda vya sigara vipo kihalali. Sababu gani kuwanyanyasa? Suala ilikuwa tu kuwafahamisha kwamba yawepo maeneo maalum kwa wao kuvuta sigara. Ni vile vile kwa wavuta shishi. Mtu amekwenda kwenye hotel ama eneo lolote linaloruhusu shishi, kwani kuna kosa gani la jinai hapo? Kama ilivyo kwa sigara, na wavuta shishi ni hivyo hivyo, wameamua kuvuta pamoja na kujua madhara yake. Upande wa mashoga nalo hivyo hivyo, waache waishi kwa amani. As long what the gays do is done privately, not publicly, wamekukosa nini? Tusitake kufanya maisha ya wengine kuwa magumu unnecessarily, simply because unaweza kusema na kufanya chochote. Kuna mambo ya msingi ya kuyasimamia na kuyapigania ambayo yana madhara makubwa kwa wengi, siyo ya kunyanyasa watu walioamua kuwa na style nyingine ya maisha. Wavuta sigara wawe na maeneo yao maalum, ni suala la maelekezo tu. Hebu tutumie muda wetu mwingi kujadili jinsi ya kuwaondoa watu kwenye dimbwi la umasikini na siyo kupekela nguvu nyingi kwa masuala yasiyo na msingi. Makonda should respect all residents of DAR regardless of their choice of life style or sexuality. Hakuna kosa la jinai hapo.
pole shoga uliyeandika ushoga wako pamoja na mashoga wenzako wanaolike ushoga wako. Elewa kwamba hii nchi haina utamaduni wa mashoga, kama huendani na kauli mbiu ya HAPA KAZI TU unataka uliwe tigo tu, nenda Mombasa. Na huku pia siyo mahali pa kueleza ushoga wako, nenda kaeleze Clouds tv.
 
Huwezi na haikubaliki kuvuta sigara kwenye public, we chukulia MTU mpo kituo cha basi mnasubiria gari halafu mwingine anavuta sigara unadhani moshi wa sigara unaomuathiri ni huyo mvutaji tu? Mpaka nyie ambao mpo karibuni nae, tatizo la huyu makonda hakuna mipango alishawahi Fanya akafinikiwa yaani ni mtafuta kiki anaependa kumake headline kuliko kufanya analysis na kujua ni changamoto zipi za utekelezaji na namna gani litakamilishwa kiujumla huyu jamaa mi namuona Kama kilaza flani hivi.
 
Kweli namsikilizaga Makonda naanza kuwaza aliemchagua alimwangalia na kamchunguza vizuri? Makonda hana vision kabisa! Hajui hata anataka dar iweje katika kipindi alicho madarakani! Yeye anatafuta media attention tu hata kama anachokisema hakina impact chanya kwa jamii husika! Kuna vitu vya msingi vinavyowakabili wakazi wa dar kama usafi ambalo ni kero, maji ni shida, bar na makumbi ya starehe kwenye makazi ya kuishi, magereji bubu kwenye makazi, elimu hususani madawati na vyoo vya shule, haya ndio mambo Makonda alitakiwa kushiriki na wananchi kuyatatua au kutoa dira yake jinsi ya kuyatatua. Mashoga, shisha na sigara zilishawekewa sheria ni kusema tu zitekelezwe, Halafu Mashoga na wavuta shisha hapa dar ni wangapi hadi uanze kupotezea muda kwenye vijambo kama hivyo? Kiongozi yeyote asiekuwa na malengo na dira ndio huishia kuhangaika na vitu vidogovidogo kama hivi! Viongozi wa aina hii ni janga la kitaifa. Unapiga vita Mashoga na umepiga nao picha? Na unatumia bidhaa ambazo CEO wake ni shoga tena umepiga picha ya ofisi ndio umezijaza ofisini na unasikia Fahari! Kwa mtu anaemjua Makonda na upeo wake kamwe hawezi saidia jiji la Dar hata kupata dampo moja la uchafu hadi ataondoka kwenye uongozi! Huna malengo, huna dira utaacha vipi kuamka na vijihabari vya kipuuzi ili upate media attention?
 
Private non-commercial sex between two consenting adults should be no ones business!
 
Back
Top Bottom