unashauli nn kwa il?ndio baadhi ya wanawake wapo lakini point inabaki bado wavulana wanaongoza...Ni kasumba na tamaa ikichagizwa na kutokuwa na hofu ya Mungu ndiyo kunaleteleza hiyo kitu ya wanaume kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja. Na siyo wanaume tu hata baadhi ya wanawake hujikuta wakiwa na mpenzi zaidi ya mmoja kwa sababu nilizoainisha hapo juu na nyinginezo mf. baadhi ya makabila kuendekeza tamaduni ya mafiga matatu, kucheza ngoma n.k
ni kweki inapunguza magonjwa lakin kwa nn bado iyo ali inaendelea na kauli mbiu yao n kidume cha mbegu,unashauli nn kwa ilo?Inapendeza kuwa na mpenzi mmoja halafu inapunguza probability ya kukumbwa na magonjwa ya zinaa (STDs). Kinachowafanya wavulana wengi kulala mbele ni pale mabinti hao warembo wanapowafanya shamba la Babu, wanakinga sana mkono kiasi kwamba hizo invoice hazilipiki. Hatimaye wavulana huamua kutafuta mwingine mgeni naye akianza kukinga sana mkono anaachwa accordingly.
Staili hii inaitwa Chipolopolo styale yaani Chipolopolo (Yule ndege wa Zambia Hajengi kibanda).
Mbona mimi naweza?ni kweli wavulana wengi hawadumu na msichana mmoja kwasababu wanaona ukiwa na mpz mmoja ni ushamba na anakuwa ajakamilika means sio kidume cha mbegu lakini akiwa nao wengi ndio kdume cha mbegu,lakini mm naona ni ushamba wa mapenzi.
Wavulana si vitoto vidogo vinavyopevuka ktk mapenz? Vile vi NJUKA VYA MAPENZI aka CHIPUKIZI WA MALAVIDAVI? Hawawezi kudumu kweli..ni kweli wavulana wengi hawadumu na msichana mmoja kwasababu wanaona ukiwa na mpz mmoja ni ushamba na anakuwa ajakamilika means sio kidume cha mbegu lakini akiwa nao wengi ndio kdume cha mbegu,lakini mm naona ni ushamba wa mapenzi.
ni kweli wavulana wengi hawadumu na msichana mmoja kwasababu wanaona ukiwa na mpz mmoja ni ushamba na anakuwa ajakamilika means sio kidume cha mbegu lakini akiwa nao wengi ndio kdume cha mbegu,lakini mm naona ni ushamba wa mapenzi.
ni kweli wavulana wengi hawadumu na msichana mmoja kwasababu wanaona ukiwa na mpz mmoja ni ushamba na anakuwa ajakamilika means sio kidume cha mbegu lakini akiwa nao wengi ndio kdume cha mbegu,lakini mm naona ni ushamba wa mapenzi.
haya mawazo bado yana exist!na kweli ukiona kijana ametulia na mpenzi mmoja ujue kalogwa au kakaliwa kifedha,kimawazo na mpenziwe
Nashangaa!!haya mawazo bado yana exist!