Shemela toa tu mwongozo, picha hiyo hapo profilePole sana, weka picha yako upewe miongozo...
Tunataka picha ya leo leo, hiyo ya siku nyingi...Shemela toa tu mwongozo, picha hiyo hapo profile
Emoji zimewaharibuYaani badala ya kuelezea sera anajielezea yeye.... Oooohh.... Na hilo umbo lako nikikukamata masaa mawili.... Oooh mimi nina mashine kubwa uta enjoy....
Chefuuuu.... Ni ujinga tu unakaangalia kamtu kenyewe unakaona kanalamba lamba lips na kamepaka lip stick n.k kamerendemka kama kanashindia mlenda.
Kuna wanawake wanaotaka hayo mambo ambao wameshakubuhu siyo wote. Dk 30 za nini kwenye kufanya mapenzi? 4 mpaka 10 zanitosha. Nakuwa nime enjoy na mwenzangu ame enjoy. Ninyi vijana mnadanganyana sana na pornographic.
Mi nawadharau sana hawa watoto ambao wakishaona una mwili wanadhani wanaweza kuja kukushawishi kipuuzi namna hiyo. Watafuteni akina Mwajuma Kidude au Mwantumu Chausiku ndo muwaambie maneno hayo. Siyo sisi wengine hizo si sera zetu.
Halafu kuja unamtongoza mwanamke unachezea chezea funguo za gari ni ushamba. Si wengine tumekua na magari wala huhitaji gari kutupata.
Nimeshasema sasa. Utanifanya nini? Nyooooooo.....
Acha kumbania shemela banaa..!! kwanza umeanza lini mambo ya kubaniana?Shemela toa tu mwongozo, picha hiyo hapo profile
Na huu ndio ukomo wa fikra zako halafu unajiuliza kwanini vijana wa ovyo wanakutongoza.So wewe unavyosema unapendwa na mabasha ni sababu wewe ni upinde?makubwaaaaaa....madogo yana nafuu.
😂😂😂😂😂Kumbe Ni Nani Sasa?Wanawake Bana.....!
Ulivyoandika hapa utadhani ni Mtu........
Si unajua kuna Watu na Viatu.😂😂😂😂😂Kumbe Ni Nani Sasa?
😂😂😂😂😂Sawasawa!Si unajua kuna Watu na Viatu.
Fresh, habareMambo
Na kitakukula
HahaaSi utaona
Mi huwa nachezesha funguo za ndege sio huto tugari twao njoo kwangu..hata dk 1 huwa simalizi wazungu tayari.Yaani badala ya kuelezea sera anajielezea yeye.... Oooohh.... Na hilo umbo lako nikikukamata masaa mawili.... Oooh mimi nina mashine kubwa uta enjoy....
Chefuuuu.... Ni ujinga tu unakaangalia kamtu kenyewe unakaona kanalamba lamba lips na kamepaka lip stick n.k kamerendemka kama kanashindia mlenda.
Kuna wanawake wanaotaka hayo mambo ambao wameshakubuhu siyo wote. Dk 30 za nini kwenye kufanya mapenzi? 4 mpaka 10 zanitosha. Nakuwa nime enjoy na mwenzangu ame enjoy. Ninyi vijana mnadanganyana sana na pornographic.
Mi nawadharau sana hawa watoto ambao wakishaona una mwili wanadhani wanaweza kuja kukushawishi kipuuzi namna hiyo. Watafuteni akina Mwajuma Kidude au Mwantumu Chausiku ndo muwaambie maneno hayo. Siyo sisi wengine hizo si sera zetu.
Halafu kuja unamtongoza mwanamke unachezea chezea funguo za gari ni ushamba. Si wengine tumekua na magari wala huhitaji gari kutupata.
Nimeshasema sasa. Utanifanya nini? Nyooooooo.....
asipokuelewa basi kichwa chake kina shidaUkiona unatongozwa na vijana wa ovyo basi unapaswa ukae chini ujitafakari.
Kuna uwezekano ukawa wa ovyo pia. Daima kijana wa ovyo hawezi kuthubutu kumsogelea mtu na staha zake.
Pengine unachojinasibu nacho ni hilo umbo tu (pengine pia huna umbo lenyewe) kupelekea kuwa maudhui pekee katika kutongozwa kwako.
Waswahili husema 'waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba'.
Mimi niliwaambia humu jukwaani, dakika 20 zote kifuani kwa mwanamke unatafuta nini? Wakaniambia nisiwapangie. Afadhari umezungumza, na waaipokuelewa hapa basi waachane na mapenzi wafanye mambo mengineYaani badala ya kuelezea sera anajielezea yeye.... Oooohh.... Na hilo umbo lako nikikukamata masaa mawili.... Oooh mimi nina mashine kubwa uta enjoy....
Chefuuuu.... Ni ujinga tu unakaangalia kamtu kenyewe unakaona kanalamba lamba lips na kamepaka lip stick n.k kamerendemka kama kanashindia mlenda.
Kuna wanawake wanaotaka hayo mambo ambao wameshakubuhu siyo wote. Dk 30 za nini kwenye kufanya mapenzi? 4 mpaka 10 zanitosha. Nakuwa nime enjoy na mwenzangu ame enjoy. Ninyi vijana mnadanganyana sana na pornographic.
Mi nawadharau sana hawa watoto ambao wakishaona una mwili wanadhani wanaweza kuja kukushawishi kipuuzi namna hiyo. Watafuteni akina Mwajuma Kidude au Mwantumu Chausiku ndo muwaambie maneno hayo. Siyo sisi wengine hizo si sera zetu.
Halafu kuja unamtongoza mwanamke unachezea chezea funguo za gari ni ushamba. Si wengine tumekua na magari wala huhitaji gari kutupata.
Nimeshasema sasa. Utanifanya nini? Nyooooooo.....
NimeielewaBiashara matangazo