Wavulana na suruali chini ya makalio,vipuli,kujichubua na kusuka'Je kuna faida gani?

Inawezekana ndo Uhuru wakujiamulia mambo, Inawezekana ndio maendeleo ya Binadamu wa leo. Lakini hata hayana mantiki. Ni uigaji mamboleo!! Kila binadamu katika uso wa dunia hii ana utamadani wake na mazingira yake unapoacha utamaduni wako na kufuata wa mtu mwingine pasipo sababu ni ufinyu wa mawazo. Na hasa hasa kwa wale tunaomfuta Yesu basi ni dalili kuwa yuko karibu kuja. Maana biblia imeandika mtakapoyaona hayo mjue karibu nitarudi.

kwani suala la wanaume kujitoboa limeanza leo? Lilianza hata kabla ya kuja kwa yesu. Endelea kusubiri kuwa yesu atakuja. Uza kila ulichonacho then uwape masikini.
 
huo ni ushoga! Mwanaume unatoga sikio! Unavaa hereni, una kipini cha lips au ulimi! Yani hapo ni ushoga tu mijitu namna hiyo mashaka wanakua sio strait, wao ni bi or gay.

not necessarily, na sio mark kua kila mwanaume aliyetoga ni gay au bi, hiyo ni choice of style tu
 
kila binadamu ana ainaya ukichaa fulani hivi watu wa seikolojia wanajua hili sasa kikizidi ndiyo haya uliyoyaandika mtu anaanza kuyafanya kwa kisingizio chafasheni na mtu mwingine anamshangaa yeye haoni maana ukichaa wake uko juu na hii pia niaina flani ya kujikataa unatamani mambo ambayo wala hayana maana sana ,mara nyingi ukichunguza anayefanya haya malezi yamemwathiri sana au amekuwa na mama tu au wazazi hawapo duniani
 
i think sio mbaya, cha msingi usiwe shoga, kutoboa ulimi, lip or lid ni kitu cha kawaida, mbona wamasai wanaume walikuwa wanatoboaga masikio na pua, i think it based on culture, unaona sio stail nzuri coz sio culture yako. Kuna culture inaitwa 'GOTHIC' ni stail ya watu ya kuvaa, hawa watu wakija bongo mnaweza kufikiri kuwa ni vichaa. Kuwa kama wewe..usimuige mtu wala usibabaike na maneno ya watu juu ya lifestyle yako. AND DONT JUDGE SOMEONE KWA CULTURE Or LIFESTYLE YAKE! I like peircing and tattooin' i think its my favourite lifestyle hada dini yangu haikatazi but inakataza kujichora kipagani kama vile mafuvu inakataza but other body tattoos like stars, cross, angels and flowers zinakubalika.
umenena vema mkuu mana kila mtu ana mzuka wake ktk life ujue
 
unajua kuna watu wakishazeeka wanadhani wengine hawana haki ya ku enjoy ujana na utoto wao.
nyie mlivaa masuruali cheni yamechanua kama maua.
mlifuga nywele(mliziita afro).
viatu vina visigino virefu na vipana( kwasasahivi tungeita mmevaa mchuchumio)
nyie ndio mlianzisha kumbi za starehe. na upuuzi wa kila aina

acheni vijana wa 2000's wa enjoy bwana, mmezidi kuwasakama

duh!kwa kutetea u2mbo
 
i think sio mbaya, cha msingi usiwe shoga, kutoboa ulimi, lip or lid ni kitu cha kawaida, mbona wamasai wanaume walikuwa wanatoboaga masikio na pua, i think it based on culture, unaona sio stail nzuri coz sio culture yako. Kuna culture inaitwa 'GOTHIC' ni stail ya watu ya kuvaa, hawa watu wakija bongo mnaweza kufikiri kuwa ni vichaa. Kuwa kama wewe..usimuige mtu wala usibabaike na maneno ya watu juu ya lifestyle yako. AND DONT JUDGE SOMEONE KWA CULTURE Or LIFESTYLE YAKE! I like peircing and tattooin' i think its my favourite lifestyle hada dini yangu haikatazi but inakataza kujichora kipagani kama vile mafuvu inakataza but other body tattoos like stars, cross, angels and flowers zinakubalika.
acha hz ww kwa utamaduni we2 v2 km hvyo ni dalili za kina david camerun.
 
Never conclude a person by his present status
because time has the great power
to change a useless coal into a valuable diamond.
 
Tatizo kubwa linalo tukumba hatuna utamaduni , kila mtu anafanya jambo analoona linafaa kwake na asilaumiwe. kama tunataka basi tuwe na sheria inayoeleza namna ya kuvaa, maavazi gani kijana avae na mavazi gani asivae, vitu gani afanye na vitu gani asifanye katika mwili wake.nikosa sana kumwambia mtu anakosea jambo furani wakati hakuna sheria na taratibu ya jambo husika, inatakiwa unaweka sheria mtu akivunja ndiyo unasema amekosea. mpaka sasa kuvaa style yeyote siyo kosa kwa sababu katika jamii zetu hakuna sheria inayoeleza namna ya kuvaa.
 
Never conclude a person by his present status
because time has the great power
to change a useless coal into a valuable diamond.

Nambe! Where did u get this quote from??
So if that is the case. You saw some1 with his pants hanging like he shit himself and he is walking like over loaded truck you are going to think mhhh! may be he is a lawyer!
Hahahahaha. My friend when it comes to human being. Your appearance talks more than what you are.
 
Tatizo kubwa linalo tukumba hatuna utamaduni , kila mtu anafanya jambo analoona linafaa kwake na asilaumiwe. kama tunataka basi tuwe na sheria inayoeleza namna ya kuvaa, maavazi gani kijana avae na mavazi gani asivae, vitu gani afanye na vitu gani asifanye katika mwili wake.nikosa sana kumwambia mtu anakosea jambo furani wakati hakuna sheria na taratibu ya jambo husika, inatakiwa unaweka sheria mtu akivunja ndiyo unasema amekosea. mpaka sasa kuvaa style yeyote siyo kosa kwa sababu katika jamii zetu hakuna sheria inayoeleza namna ya kuvaa.

Mtimatawi.! I wonder! Wewe km ni mtz basi huna haja ya kuambiwa nini mavazi ya kistaarabu ya mtanzania. Sijui wakongo na wengine huko lkn hapa kwetu tz toka enzi za babu mavazi yetu hayakuwa haya ya kulegeza suluali km umevaa pampers au nepi ndani.
Kila taifa lina mavazi yake ambayo ukiyavaa unaonekana ni mwenye kujiheshimu. Sisi watz suruali na shati au t shirts kwa wanamme na magauni au kanga kwa wanawake ukivaa inavyotakiwa basi umekamilisha vazi la kitz.
Haya mamdebwede na vi mini ni kuiga wakoloni ambao hawana utamaduni. Wao kukaa uchi ndio ustaarabu. Mwanamme mpaka chupi ya ndani unaonyesha watu ili iweje! Halafu eti anjifanya kapendeeza! Oovyooo!
 
Huo ni mwanzo wa ushoga

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom