Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Kwa hisani ya snowhite.......!!!!!!!!!!!!!!
snowhite alimuomba Babu Dark City afungue uzi kuhusiana na vivulana kuzidiwa na vibinti ujanja hadi kushindwa kuvishawishi kuvivua kyupi hadi kufikia kuja hapa JF na kulalamika eti dunia imevitenda
Hii ni aibu kubwa sana kwa jinsia ya kiume
Kwa niaba ya Babu DC[ Dark City ] nimeamua kufungua uzi huo ili maombi ya snowhite yatimizwe
Kitu gani kimetokea hadi mapinduzi haya ya kijinga kutokea kwa hivi vivulana vya sasa kuzidiwa kabisa na vibint vya siku hizi?
Soma huu uzi hapa kwa msaada zaidi:https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/565670-this-life-is-unfair-why-always-me.html
Haya ni majanga kabisa na ni laana kwa hili kutokea
Nakumbuka enzi hizo hakuna kabinti kalikokuwa kanaweza kuhimili vishindo vyetu,nahisi hii ndio sababu hata vibinti hivyo kuamua kujiridhisha vyenyewe kwa vyenyewe[usagaji] hii nayo ni laana nyingine
Siku mhizi kuna malalamiko mengi sana kuwa vijana hawawaridhishi wanawake,nyakati za nyuma haya hayakuwepo sijui ni shetani gani imeikumba hii jinsia adhimu ya kiume hadi kufikia wanawake kulalamika kiasi
Ki ukweli niliposoma haya malalamiko ya snowhite nimejisikia vibaya sana
Mungu atusamehe na hii dhambi ya kijinga kabisa kwenye hii jinsia yetu
Hivi vivulana vya leo ni vijana wa kesho ni wanaume wa keshokutwa.hili ni janga
Kuna aina ya muziki ilikuwa sio ya vijana enzi hizo na ilikuwa inapendwa na wanawake lakini siku hizi imebadilika kuwa ni miziki ya hivi vivulana vya sasa,balaa gani hili
Nyakati hizo vijana na wanaume walikuwa wanalelewa kiume hasa na ukionekana una vi tabia vya kike kike kama hivyo basi unaipata
Ndio maana hata mashoga wanaongezeka siku hizi
Au malezi ndio tatizo???????????
Aaaaaaaaarrrrrrrgggggggggrrrrrhhhhhhhhhhh !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
snowhite alimuomba Babu Dark City afungue uzi kuhusiana na vivulana kuzidiwa na vibinti ujanja hadi kushindwa kuvishawishi kuvivua kyupi hadi kufikia kuja hapa JF na kulalamika eti dunia imevitenda
Hii ni aibu kubwa sana kwa jinsia ya kiume
Kwa niaba ya Babu DC[ Dark City ] nimeamua kufungua uzi huo ili maombi ya snowhite yatimizwe
Kitu gani kimetokea hadi mapinduzi haya ya kijinga kutokea kwa hivi vivulana vya sasa kuzidiwa kabisa na vibint vya siku hizi?
Soma huu uzi hapa kwa msaada zaidi:https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/565670-this-life-is-unfair-why-always-me.html
Haya ni majanga kabisa na ni laana kwa hili kutokea
Nakumbuka enzi hizo hakuna kabinti kalikokuwa kanaweza kuhimili vishindo vyetu,nahisi hii ndio sababu hata vibinti hivyo kuamua kujiridhisha vyenyewe kwa vyenyewe[usagaji] hii nayo ni laana nyingine
Siku mhizi kuna malalamiko mengi sana kuwa vijana hawawaridhishi wanawake,nyakati za nyuma haya hayakuwepo sijui ni shetani gani imeikumba hii jinsia adhimu ya kiume hadi kufikia wanawake kulalamika kiasi
Ki ukweli niliposoma haya malalamiko ya snowhite nimejisikia vibaya sana
ahahhahahha af wewe
ujue bado nna hasira na wewe!!poa tu!
af hii habari ya watoto wa kiume siku hiz kuadopt tabia za mama zao inatoka wapi!
zamani mtoto wa kiume alikuwa ANATAKA KUWA KAMA BABA!
UKIMWAMBIA MWANANGU UMEKUWA MREFU SIKU HIZI ,ye anaitikia KAMA BABA ENH!?
mwanangu kula haraka haraja ,ye ANAITIKIA KAMA BABA ENH?
Asprin, Dark City Kaizer Mtambuzi SnowBall HorsePower na wengine mna kesi ya kujibu!
HIVI SIKU HIZI BADO MNAENDELEA KWA MAROLE MODEL KWA WATOTO WENU WA KIUME JAMANI?
this is scary asee
natishika maana nahofia binti zangu wasije pata waume wanaolia lia mtoto kaumwa mafua ye anapiga simu kwa mamake !mxiiiiiiiiiiiiiiu!
uliye chuoyani hakyamam babu niko vere serious na hili
KUNA MAHALI WAZAZI SIJUI KAMA NI WAKIKE AU WA KIUME TUMEACHA KULEA HAWA WATOTO KWA MUJIBU WA GENDER ROLES ZAO!
mimi ni vile tu sina mtoto wa kiume lakini ningehakikisha anakuwa kigumu gumu tuuuu
ndivyo nilivyoona babangu akiwahandle kaka zangu!
wakati mimi na dada zangu tukipewa adhabu za kufinywa mapajani kaka zangu walikuwa wanapewa adhabu za kubeba matofali nyuma ya nyumba na kuhakikisha kisiki cha uani kimetoka la sivyo hakuliki!
ilibaki hivyo na sijawahi kuona wake zao au magirlfriends zao wakileta wehu wehu wa kijinga jinga
KWANINI HAIPO HII!
ndio utandawazi?
ndio tunawapenda watoto?
ndio haki sawa?
ndio umagharibi?
:noidea:
argh tafadhali kwa mamlaka uliyonayo naomba anzisha sredi juu ya hili!
kijana wa kiume
uliye zaliwa miaka 20 iliyopita
ukiwa na aina hii ya maongezi
aina hii ya kulalamika lalamika
aina hiii ya kuhisi dunia haikutendei haki
aina hii ya kuona kuwa ukikutana tu na msichana wiki mbili zilizopita basi unasema nataka kukuoa
aina hii ya kuona dunia zaid ya kukupa hewa na mahali pa kuishi haina uwezo wa kukuamulia maisha yako yalivyo
hebu hangaika kuvunja ubikira wa akili yako kwanza halafu ndo ukavunje ubikira wa mwili wako sawa enh!
Mungu atusamehe na hii dhambi ya kijinga kabisa kwenye hii jinsia yetu
Hivi vivulana vya leo ni vijana wa kesho ni wanaume wa keshokutwa.hili ni janga
Kuna aina ya muziki ilikuwa sio ya vijana enzi hizo na ilikuwa inapendwa na wanawake lakini siku hizi imebadilika kuwa ni miziki ya hivi vivulana vya sasa,balaa gani hili
Nyakati hizo vijana na wanaume walikuwa wanalelewa kiume hasa na ukionekana una vi tabia vya kike kike kama hivyo basi unaipata
Ndio maana hata mashoga wanaongezeka siku hizi
Au malezi ndio tatizo???????????
Aaaaaaaaarrrrrrrgggggggggrrrrrhhhhhhhhhhh !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!