Wauzaji wa tangawizi

Chorter

Member
Jul 8, 2017
41
68
Habari wanaJF, kutana na wasambazaji na wakulima wakubwa wa zao la TANGAWIZI kutoka rungwe- mbeya, tunajihusisha na kutoa huduma ya usambazaji wa TANGAWIZI kwa wafanya biashara kutoka seheme mbalimbali Tanzania bara, Tunatuma mzigo kiasi unachotaka kwa haraka na uhakika mkubwa, Pia tunatoa elimu na ushauri kwa vijana wanaotaman kujikwamua kiuchumi kupitia kilimo cha TANGAWIZI,
Kg moja tunauza tsh 1000, gharama za usafiri zinategemea eneo husika,
Kwa mawasiliano zaid 0782562124 whatsap 0782284770
Karibun sana!!

IMG_20210721_173251_0.jpg


IMG_20210721_173259_8.jpg


FB_IMG_1631820279244.jpg


IMG_20210729_102338_3.jpg


IMG_20211009_160711_6.jpg


IMG_20211007_084840_2.jpg


IMG_20211008_070444_5.jpg


FB_IMG_1632596267548.jpg
 

Attachments

  • VID_20210906_180524.mp4
    14.2 MB

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom