Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

Okay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Tangia mwaka 2012 Nasikia taarifa ya hili JEEP la Blandina!!! KWANI SIKU HAZIENDI??? ACHENI UONGO NYIE WATU. WENGINE WANAPIGA PICHA WAMESEMIMA PEMBENI MWA MAGARI YA WATU, WANADAI NI YA KWAO WAMEPATA FOREVER. SHAME ON YOU PEOPLE
 
Habari za weekend.....

Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.

Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana

Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana

Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna

Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.

Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu
Haha najua ungeitiwa athumani kipara ungetokwa na udenda......
 
Ukinunua chupi mpya kwa hela za forever unashauriwa utangaze ili uvutie watu!
Mafanikio ya hizi network marketing (au multi level marketing) ni uwepo wa vibarua (wauzaji) wengi chini yako! Hao vibarua hawatoki hadi wapate vibarua wengine.......nk

Wananyooshwa hadi wanapoteza sense ya ubinadamu! Yeye akiona hata ndugu zake wa karibu anaona wateja tu
 
Ukinunua chupi mpya kwa hela za forever unashauriwa utangaze ili uvutie watu!
Mafanikio ya hizi network marketing (au multi level marketing) ni uwepo wa vibarua (wauzaji) wengi chini yako! Hao vibarua hawatoki hadi wapate vibarua wengine.......nk

Wananyooshwa hadi wanapoteza sense ya ubinadamu! Yeye akiona hata ndugu zake wa karibu anaona wateja tu
:D:D:D:D:D:D
 
Sasa na humu wamekuja ni kama mmewaita waje sasa blandina mara milioni tisini khaaaa ivi kila aliyefanikiwa alipitia forever?kuna wengine washanidanganya mara lowassa, mengi wote ni wametokea forever duuu nilicheka nikamwonea huruma nikasema nenda tu kwa amani mi siwezi jikonekiti huko
 
Ukinunua chupi mpya kwa hela za forever unashauriwa utangaze ili uvutie watu!
Mafanikio ya hizi network marketing (au multi level marketing) ni uwepo wa vibarua (wauzaji) wengi chini yako! Hao vibarua hawatoki hadi wapate vibarua wengine.......nk

Wananyooshwa hadi wanapoteza sense ya ubinadamu! Yeye akiona hata ndugu zake wa karibu anaona wateja tu
Haahahaah eti wateja tu
 
Sikuhizi hata adv zao hawasemi kama meeting za forever,utaona tu sijui women empowerment blah blah blah kibaoo,afu wanamalizia kiingilio 10k au mara book your seat kwa email,seats are limited
Basi unajikoki unavaa official na CV + Certificates unabeba,unajua yess huko moto tu unaweza kupata kazi
Ukifika sasaaa unakuta walewaleeeee
 
Okay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
hamna jeep Cherokee ya milioni 90..acha uongo
 
Tangia mwaka 2012 Nasikia taarifa ya hili JEEP la Blandina!!! KWANI SIKU HAZIENDI??? ACHENI UONGO NYIE WATU. WENGINE WANAPIGA PICHA WAMESEMIMA PEMBENI MWA MAGARI YA WATU, WANADAI NI YA KWAO WAMEPATA FOREVER. SHAME ON YOU PEOPLE

1507bc71a4300ee0715e208391e13984.jpg


Kwa usawa huu wa JPM zile Dawa za meno za forever watauza buku buku
 
Back
Top Bottom