Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Biashara ya forever ni zao la ukosefu wa ajira za uhakika so wengi ndio wamekimbilia huko!
Tangia mwaka 2012 Nasikia taarifa ya hili JEEP la Blandina!!! KWANI SIKU HAZIENDI??? ACHENI UONGO NYIE WATU. WENGINE WANAPIGA PICHA WAMESEMIMA PEMBENI MWA MAGARI YA WATU, WANADAI NI YA KWAO WAMEPATA FOREVER. SHAME ON YOU PEOPLEOkay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Sitegemea vibiashara vya kipuuzi sawa dada?Yani badala ufurahie biashara unakaa umenuna teh wakasome hii mbinu yao ujinga mtupu
Nadhani hujanielewa sorry...St
Sitegemea vibiashara vya kipuuzi sawa dada?
Haha najua ungeitiwa athumani kipara ungetokwa na udenda......Habari za weekend.....
Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli.
Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze biashara aaagrrrr hii mbinu yenu Inakera sana,inaboa sana
Mfano 1: siku za karibuni nikialikwa mahali, nikaambiwa ni semina nauliza semina ya nini nikaambiwa semina tu nihudhurie napigiwa simu za kusisitiza nikaona isiwe tabu ngoja niende nikaahirisha vitu vya muhimu kwenda semina, kumbe ni kwenda nyumbani kwa mtu kuoneshwa bidhaa za forever, wtf? Kwanini umdanganye mtu? Can you imagine nilikua nafeel vipi wakati naoneshwa hizo bidhaa? Mxyu nilikua nimekasirika sana
Mfano 2: dada mmoja kwenye group la whatsapp alitoa mwaliko, jaman karibuni kwangu sehemu flani kuna shughuli, msosi na bia vipo mtakula mtakunywa mtasaza, tunauliza ni nini ubarikio, engagement au nini mchango vipi anakomaa nyie njooni tu eeeh walaji na wanywaji wakaenda eneo la tukio wamevaa suti kumbe ni kuoneshwa bidhaa za forever, Wiki nzima group kimya hakuna anaeongea kumbe watu wamenuna
Mfano 3: Wauzaji wa online, mtu anasema una mtaji wa laki njoo whatsapp tufanye biashara ukiuliza biashara gani unaambiwa njoo whatsapp, unaenda whatsapp anakutumia video la mb 100 kutangaza forever.
Hii ni mifano michache, hivii hamuoni mnakwaza watu? Hakuna mbinu nyingine za kutangaza bidhaa zenu bila uongo??? Au bila kudanganya hamuuzi? Mnakera sanaaaaa
Ni hayo tu
Ha ha ha ha afu wewe ohoooHaha najua ungeitiwa athumani kipara ungetokwa na udenda......
Hahahahah nitawaletea tena zile versions.....Ha ha ha ha afu wewe ohooo
Naona una hamu na moto wa jehanam
Ha ha ha zilikuwa zinanikera mftyuuu ishia huko tehHahahahah nitawaletea tena zile versions.....
Mzima lkn?
Jehanam inakuhusu maana wewe ndo ulisababisha mtumishi wa Mungu nikatupa biblia pembeni......Ha ha ha zilikuwa zinanikera mftyuuu ishia huko teh
Ukinunua chupi mpya kwa hela za forever unashauriwa utangaze ili uvutie watu!
Mafanikio ya hizi network marketing (au multi level marketing) ni uwepo wa vibarua (wauzaji) wengi chini yako! Hao vibarua hawatoki hadi wapate vibarua wengine.......nk
Wananyooshwa hadi wanapoteza sense ya ubinadamu! Yeye akiona hata ndugu zake wa karibu anaona wateja tu
Haahahaah eti wateja tuUkinunua chupi mpya kwa hela za forever unashauriwa utangaze ili uvutie watu!
Mafanikio ya hizi network marketing (au multi level marketing) ni uwepo wa vibarua (wauzaji) wengi chini yako! Hao vibarua hawatoki hadi wapate vibarua wengine.......nk
Wananyooshwa hadi wanapoteza sense ya ubinadamu! Yeye akiona hata ndugu zake wa karibu anaona wateja tu
hamna jeep Cherokee ya milioni 90..acha uongoOkay nimekupata.
_____________
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.
Tangia mwaka 2012 Nasikia taarifa ya hili JEEP la Blandina!!! KWANI SIKU HAZIENDI??? ACHENI UONGO NYIE WATU. WENGINE WANAPIGA PICHA WAMESEMIMA PEMBENI MWA MAGARI YA WATU, WANADAI NI YA KWAO WAMEPATA FOREVER. SHAME ON YOU PEOPLE