Soko rahisi ni china hapa ni sawa je sokoni wanasemaje kuhusu product kutoka china?Suggestion ili upate vilivyo na bei shindani na rafiki ni china na turkey kidogo. Ila kuna wengine wanatoa uk na usa sema bei zake zinakua zimechangamka
Asante kwa wazoAsikwambie mtu. Hivyo vipodozi vingi, chimbo lake ni dubai.
China vinatoka vile ambavyo tu manufacturer anatengeneza wewe una brand. Na vingi pia vinaingia dubai kwanza kupata uhalisia wa vinavyopendezwa na watanzania wengi.
Siri ipo dubai
Hatuwezi kutaja majina humu ila wauzaji wakubwa wa mafuta hapo wanatoka hapa SA pamoja na Pombe...mafuta mengine wamepata uwakala wanauziwa wao tuu huko viwandani...nenda saba saba hapo kariakoo au Sinza kwenye store zao..So wapi kuna chaguzi kubwa kati ya Dubai na SA
Duh ungetusaidia namna ya kuwapata mkuuHatuwezi kutaja majina humu ila wauzaji wakubwa wa mafuta hapo wanatoka hapa SA pamoja na Pombe...mafuta mengine wamepata uwakala wanauziwa wao tuu huko viwandani...nenda saba saba hapo kariakoo au Sinza kwenye store zao..
Nenda kariakoo hapo saba saba mtaa aliopo Sauli vipodozi na wengineo huyo nimemtaja ni mmoja wa wauzaji wa kipodozi ila hawezi kukueleza chochote kuhusu hiyo biashara hata ukienda madukani labda uangalie bidhaa wanazoleta ila hawawezi kukuambia kitu na pia mara nyingi wao hawapo wamewaacha wafanyakazi na ndugu madukani...Duh ungetusaidia namna ya kuwapata mkuu
Asante mkuuNenda kariakoo hapo saba saba mtaa aliopo Sauli vipodozi na wengineo huyo nimemtaja ni mmoja wa wauzaji wa kipodozi ila hawezi kukueleza chochote kuhusu hiyo biashara hata ukienda madukani labda uangalie bidhaa wanazoleta ila hawawezi kukuambia kitu na pia mara nyingi wao hawapo wamewaacha wafanyakazi na ndugu madukani...