Hapo tu! Yaani kuwajibika kwa wasaidizi wa JPM ni kama 0, wao ni mpaka wamsikie anakuja au kutembelea basi utawaona watakavyokuwa busy na kujifanya wako field! Kumbe muda wote ni ndani ya kiyoyozi, ma VX, kunywa chai na kusoma magazeti...Wanamuangusha sana raisi wetu..lakini kwenye luninga na radio utawasikia wanavyojitapa na kujigamba wana vyeti vya usomi vya ajabu! Bure kabisa..Sheria zipo, hili nalo linamsubiri JPM?Akishaondoka je?
Hii kali, nilidhani hii habari ni ya Colombia. Nadhani kwa Dkt Magufuli lazima kila goti lipigwe.
Hii ni ishara akiondoka, mambo yatarudi zaidi ya yale ya zamani, wasaidizi wa JPM ndo hawajui kujiongeza kabisa, wapo busy na media utadhani ni sehem ya majukumu yao, si DCs,RCs,Polisi.....mawaziri ni aibu tuHapo tu! Yaani kuwajibika kwa wasaidizi wa JPM ni kama 0, wao ni mpaka wamsikie anakuja au kutembelea basi utawaona watakavyokuwa busy na kujifanya wako field! Kumbe muda wote ni ndani ya kiyoyozi, ma VX, kunywa chai na kusoma magazeti...Wanamuangusha sana raisi wetu..lakini kwenye luninga na radio utawasikia wanavyojitapa na kujigamba wana vyeti vya usomi vya ajabu! Bure kabisa..
Kupenda kupewa nyadhifa halafu kukataa kuwajibika, iko ndani ya tamaduni, JPM anahitaji sio chini ya miaka 20 na zaidi kuondoa hizi tabia..Wewe mwenyewe ushaoyaona customers services, ofisi binafsi n.k. Ila kwa kulalamika aise?! Ni hatari, hatupendi kufanya kazi kabisa..Hili swala liko chini ya Magereza, ila ukiuliza watajifanya hawana taarifa, labda ndugu yetu Mwigulu Nchemba aende pale na fagia la chuma..Hii ni ishara akiondoka, mambo yatarudi zaidi ya yale ya zamani, wasaidizi wa JPM ndo hawajui kujiongeza kabisa, wapo busy na media utadhani ni sehem ya majukumu yao, si DCs,RCs,Polisi.....mawaziri ni aibu tu
Na hakufanikiwa,labda kumshitaki wema na msokoto wa BangiMakonda aliipeleka hii vita kwa style sahihi tukaingiza ujuzi ambao hausaidii sana...Just name and shame...ndio style sahihi....
Kaza buti kamishna...tuletee watuhumiwa tuwajue ili waabike na kote kule wanaposaidia hiyo misaada haramu wawatambue.
Majina yanayotakiwa kufichwa ni yale ya kimkakati tu.
Huyo swaiba wake mrangiMtandao wao ulikuwa mkubwa sana, na huyu anaekirimiwa mbona anajulikana tu. "Shikuba" . Huyu bwana alikamata kuanzia mawaziri wa mambo ya ndani mpaka wakubwa wa polisi, ila ishajulikana tutaona sasa...
Ni kweli ilikuwa ni style ya kipekee, labda hakukaa chini kuongea na wajuzi, ila kulikuwa hamna namna, madawa yalianza kuharibu watoto na vijana wetu, huku kwetu uswazi kunatisha, kuna vijana walikuwa hodari sana shule na kwenye shughuli za mtaa sasa ni vibaka tu sababu hiyo, ila sasa tuiboreshe, iwe na meno, iwe na makali, ieweleke kuwa "mzungu wa unga" sio "role model" bali mhalifu kama jambazi au zaidi..Na hakufanikiwa,labda kumshitaki wema na msokoto wa Bangi
Kiboko anatesa kitaa wala hajaguswa,even wale dagaa akina Machapta wapo tuAsante kwa kunirekebisha, sawa kabisa, hata yule "Kiboko" lazima yatakuwa hayo hayo au naye kaenda kwa Trump?