Wauza unga waja na mbinu mpya

Mumeanza kunivutia kuifanya hii biashara. Inaonekana inalipa sana. VP natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani kama beginner wa biashara hii? Je,kwa hapa bongo niwatafute kina nani ili wanipe uzoefu wa kuifanya hii biashara? Kwani hakuna kiongozi wa serikal ambaye anafanya hii biashara ili nijiunge nae tufanye biashara? Billion 10 sio mchezo jaman. Msaada wenu pls
Unataka kunyea ndoo ya lit 10 au 20 kijana ?
 
Hao waangalie makala za Airport Security NatGeo waone wenzao Colombia wanavobaini kwa kutumia sniffing dogs na maabara wanazo palepale mobile laboratories, wanaweka unga kwenye reactant na kubaini ni aina gani mtuhumiwa anapigwa pini hapohapo na kuwekwa!,Ndaani!...Sio mpaka eti tupeleke SAMPULI kwa mkemia mkuu wa sirikali akhah!,mnaenda huku nyuma wanapita saba...Nunueni maabara zile mobile na muwe na sniffing dogs wanaojua sampuli zote za drugs mtafanikiwa kiasi...vinginevyo dooh!

Hizo mbinu nyingi zinafahamika ila
1.Wanaficha kwenye soli ya viatu
2.Wanaficha kwenye sakafu ya begi
3.Wanaficha kwenye circuit board ndani ya diode na capacitors
4.Wanaficha kwenye K..u..m...æ na wengine wana ingest kwenye intestines
5.Wanaficha kwenye parcels zinazotumwa kwa couriers wakiamini hizo hazichunguzwi sana
6.Wanaficha kwenye kucha bandia
7.Wanaficha kwenye laptops na hand gadgets of the like kv simu janja
8.Wanaficha kwenye kwenye Sovenils vijizawadi kama toys etc
9.Wanaficha kwenye cosmetics
10.Wanawatumia V.I.P wakiwemo political, religions na Business people kuvusha wanajua pahala kama hapa kwetu baadhi yao hawakaguliwi sana.
11. Wanaficha kwenye ndege hususani private jets
nk hii biashara anaijua lucifer jinsi alivoipangilia na kuiasisi maana ni ngumu kuimaliza...ila kazaneni
Ulishawahi kutumia madawa ya kulevya.
 
Back
Top Bottom