bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Unataka kunyea ndoo ya lit 10 au 20 kijana ?Mumeanza kunivutia kuifanya hii biashara. Inaonekana inalipa sana. VP natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani kama beginner wa biashara hii? Je,kwa hapa bongo niwatafute kina nani ili wanipe uzoefu wa kuifanya hii biashara? Kwani hakuna kiongozi wa serikal ambaye anafanya hii biashara ili nijiunge nae tufanye biashara? Billion 10 sio mchezo jaman. Msaada wenu pls