Wauza software wa jamii forums na lile neno la 50% OFF

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Kwanini kila wakati mnashusha bei ya bidhaa zenu ?

Leo unakuta mtu anauza/kutengeneza tovuti kwa laki nne kesho tatu keahokitwa mbili mara laki na 80 sasa hii biashara haiko stable kiasi hicho au inakuwaje wakati mwingine mtu anauza native app kwa laki tatu n.k , embu tuambie hilo soko linasumbua sana ndugu zangu ama mnaona ni kawaida kushusha bei mara kwa mara?

Basi hata kufanya freelance huko upwork, Fiverr, na freelancer inashindikana pia?


Maana huwa naona ni kama kuna kitu hakiko sawa.

Msinichukulie vibaya lakinI Haya mambo huwa nayafikiria sana atleast kama itashindikana ni bora kutengeneza solution ambayo mtakuwa mnachaji watu kwa mwezi au hii haiko poa na inashindikana?.

Leo 50% OFF KESHO 20% OFF ITAFIKA HADI 10%

Maybe wakomgwe watatoa duku duku lao pia kusaidia vijana wenzangu
 
Kwanini kila wakati mnashusha bei ya bidhaa zenu ?

Leo unakuta mtu anauza/kutengeneza tovuti kwa laki nne kesho tatu keahokitwa mbili mara laki na 80 sasa hii biashara haiko stable kiasi hicho au inakuwaje wakati mwingine mtu anauza native app kwa laki tatu n.k , embu tuambie hilo soko linasumbua sana ndugu zangu ama mnaona ni kawaida kushusha bei mara kwa mara?

Basi hata kufanya freelance huko upwork, Fiverr, na freelancer inashindikana pia?


Maana huwa naona ni kama kuna kitu hakiko sawa.

Msinichukulie vibaya lakinI Haya mambo huwa nayafikiria sana atleast kama itashindikana ni bora kutengeneza solution ambayo mtakuwa mnachaji watu kwa mwezi au hii haiko poa na inashindikana?.

Leo 50% OFF KESHO 20% OFF ITAFIKA HADI 10%

Maybe wakomgwe watatoa duku duku lao pia kusaidia vijana wenzangu

Miaka ya 2000 ilikuwa kutengeneza website ni project kabisa na hata mteja anajua kwamba ni kazi kama kazi zingine. Lakini baadae mambo yamegeuka , kozi za computer mtaani zimekuwa nyingi, ajira hakuna, wanaTehama wapo wengi. Unakuta website inatengenezwa kwa 30,000/

Naweza kusema pia zama zimebadilika, ushindani umeongezeka na kazi zimerahisishwa. Kwa mfano kutengeneza website kwa WordPress kumeleta rapid development , pia kuna software nyingi za designing ambazo haihitaji ueledi sana katika taaluma husika.
 
Miaka ya 2000 ilikuwa kutengeneza website ni project kabisa na hata mteja anajua kwamba ni kazi kama kazi zingine. Lakini baadae mambo yamegeuka , kozi za computer mtaani zimekuwa nyingi, ajira hakuna, wanaTehama wapo wengi. Unakuta website inatengenezwa kwa 30,000/

Naweza kusema pia zama zimebadilika, ushindani umeongezeka na kazi zimerahisishwa. Kwa mfano kutengeneza website kwa WordPress kumeleta rapid development , pia kuna software nyingi za designing ambazo haihitaji ueledi sana katika taaluma husika.
Kwa hiyo hii ndo sababu ya kushusha bei kila mara?

Na unashauri nini wafanye nini ama kuna alternative zaidi?

Yaani website bei inakuwa sawa na logo zile za elfu 30
 
Kwanini kila wakati mnashusha bei ya bidhaa zenu ?

Leo unakuta mtu anauza/kutengeneza tovuti kwa laki nne kesho tatu keahokitwa mbili mara laki na 80 sasa hii biashara haiko stable kiasi hicho au inakuwaje wakati mwingine mtu anauza native app kwa laki tatu n.k , embu tuambie hilo soko linasumbua sana ndugu zangu ama mnaona ni kawaida kushusha bei mara kwa mara?

Basi hata kufanya freelance huko upwork, Fiverr, na freelancer inashindikana pia?


Maana huwa naona ni kama kuna kitu hakiko sawa.

Msinichukulie vibaya lakinI Haya mambo huwa nayafikiria sana atleast kama itashindikana ni bora kutengeneza solution ambayo mtakuwa mnachaji watu kwa mwezi au hii haiko poa na inashindikana?.

Leo 50% OFF KESHO 20% OFF ITAFIKA HADI 10%

Maybe wakomgwe watatoa duku duku lao pia kusaidia vijana wenzangu

Umenena mkuu. Hii ipo sana hata kwenye graphics designing, unakuta mtu mara leo anauza logo 100000, kesho 30000. Inakua inaonyesha kwa wateja haujiamini kwenye taaluma yako. Mimi pia nilikua nafanya hivyo kwenye kazi zangu lakini niliposhtuka nikaanza kuwakazia nikashangaa wanakubali na sahivi wanakua wanasema jamaa ana bei lakini uhakika. Kumbe Mimi mwenyewe bado najiongezea ujuzi.
 
Miaka ya 2000 ilikuwa kutengeneza website ni project kabisa na hata mteja anajua kwamba ni kazi kama kazi zingine. Lakini baadae mambo yamegeuka , kozi za computer mtaani zimekuwa nyingi, ajira hakuna, wanaTehama wapo wengi. Unakuta website inatengenezwa kwa 30,000/

Naweza kusema pia zama zimebadilika, ushindani umeongezeka na kazi zimerahisishwa. Kwa mfano kutengeneza website kwa WordPress kumeleta rapid development , pia kuna software nyingi za designing ambazo haihitaji ueledi sana katika taaluma husika.

Inanidi tu watu waendelee kujiamini, mfano mtu anatengeneza website kwa pure css, html na js. Halafu eti anauza 150000, Wakati hauwezi kulinganisha na Wordpress. Au mtu anatengeneza Android app kwa native language kama kotlin halafu anauza sawa na wa flutter.
 
Kwa hiyo hii ndo sababu ya kushusha bei kila mara?

Na unashauri nini wafanye nini ama kuna alternative zaidi?

Yaani website bei inakuwa sawa na logo zile za elfu 30
Siku hizi website unatengeneza kwa only one click tu. Haitaji kuwa na skills kuhusu coding uanze from scratch. No!

Domain unanunua kwa shilling 1300 tu. Kilichobaki ni drag and drop tu. Unapata website murua. Kwa hiyo ukiuza hata kwa elfu 10 website unapata faida yako.
 
Siku hizi website unatengeneza kwa only one click tu. Haitaji kuwa na skills kuhusu coding uanze from scratch. No!

Domain unanunua kwa shilling 1300 tu. Kilichobaki ni drag and drop tu. Unapata website murua. Kwa hiyo ukiuza hata kwa elfu 10 website unapata faida yako.
Hadi hizo system wanazouza sio?
 
Siku hizi website unatengeneza kwa only one click tu. Haitaji kuwa na skills kuhusu coding uanze from scratch. No!

Domain unanunua kwa shilling 1300 tu. Kilichobaki ni drag and drop tu. Unapata website murua. Kwa hiyo ukiuza hata kwa elfu 10 website unapata faida yako.


Hauwezi kulinganisha templates na website iliotengenezwa from scratch. Especially kwa kampuni ilio specific kwenye mpangilio wa website yao. (yaani wapi picha zikae, navigation ya aina gani, rangi za button, animations e.t.c.). Halafu hamna ladha kama website yako inafanana na wengine 5000. Hii inaweza kuchangia hata kupunguza wateja kwasababu wanaona website ipo blant haina ladha.
 
Siku hizi website unatengeneza kwa only one click tu. Haitaji kuwa na skills kuhusu coding uanze from scratch. No!
Ujinga huu!
Web development ina sehemu mbili, Design na Development. Tools nyingi zinajaribu kupunguza Development time. Ila design work ipo pale pale.
Na kuna task ambazo inabidi uandike wewe au ununue kwa mtu iwe in form of code or Plugin.

Domain unanunua kwa shilling 1300 tu. Kilichobaki ni drag and drop tu. Unapata website murua. Kwa hiyo ukiuza hata kwa elfu 10 website unapata faida yako.
Unanunua wapi domain ya .co.tz kwa mfano kwa 1,300TZS? Huu ujinga mwingine!
 
Ujinga huu!
Web development ina sehemu mbili, Design na Development. Tools nyingi zinajaribu kupunguza Development time. Ila design work ipo pale pale.
Na kuna task ambazo inabidi uandike wewe au ununue kwa mtu iwe in form of code or Plugin.


Unanunua wapi domain ya .co.tz kwa mfano kwa 1,300TZS? Huu ujinga mwingine!
Sio uchafu wa local wa .co.tz nazungumzia .co.uk kwa Bei hiyo kumbe hata taarifa huna?
 
Wakuu naombeni msaada wa software ya doodle video maker au mbadala wake.
 
website gan napata domain ya co.uk kwa 13000
Tatizo lenu mnajua GoDaddy na hostinger peke yake... Kuna machimbo kibao ya kinyama unapata domain Kali kwa Bei Chee.. hata ukitaka .com kwa Bei ya hisani na private domain emails for a dirty cheap.

Tatizo hamtaki tueleweshane mnakimbilia na mnataka kumzodoa mtu. Haya.
 
Hauwezi kulinganisha templates na website iliotengenezwa from scratch. Especially kwa kampuni ilio specific kwenye mpangilio wa website yao. (yaani wapi picha zikae, navigation ya aina gani, rangi za button, animations e.t.c.). Halafu hamna ladha kama website yako inafanana na wengine 5000. Hii inaweza kuchangia hata kupunguza wateja kwasababu wanaona website ipo blant haina ladha.
ladha gani unazungumzia mzee? hivyo vya kwenye mabano vyote vinawezekana kwa wordpress mbona? Kutengeza basic website kwa kutumia css, html na js codes from scratch ni waste of time tu wakati kuna tools zinakurahisishia, tena zina ladha. Website nzuri kibao zipo za Wordpress na unaweza kuweka your own design sio lazima uchukue template.

Sema kama una big project hapo sawa.
 
Tatizo lenu mnajua GoDaddy na hostinger peke yake... Kuna machimbo kibao ya kinyama unapata domain Kali kwa Bei Chee.. hata ukitaka .com kwa Bei ya hisani na private domain emails for a dirty cheap.

Tatizo hamtaki tueleweshane mnakimbilia na mnataka kumzodoa mtu. Haya.
wapi napata mzee maana nna shida na domain na hosting
 
ladha gani unazungumzia mzee? hivyo vya kwenye mabano vyote vinawezekana kwa wordpress mbona? Kutengeza basic website kwa kutumia css, html na js codes from scratch ni waste of time tu wakati kuna tools zinakurahisishia, tena zina ladha. Website nzuri kibao zipo za Wordpress na unaweza kuweka your own design sio lazima uchukue template.

Sema kama una big project hapo sawa.

Ingekua ni rahisi hivi web development isingekua inakua kwa kasi kila mwaka. Wewe ingia Youtube search video za programming uone ni ipi topic ya programming ina video nyingi.
 
Ingekua ni rahisi hivi web development isingekua inakua kwa kasi kila mwaka. Wewe ingia Youtube search video za programming uone ni ipi topic ya programming ina video nyingi.
Umenifahamu lakini nlichokiandika?

MO Dewji Foundation website kama hii, eti uanze kuandika html na css codes from scracth wakati kuna wordpress ya kufanya kazi faster?
 
Back
Top Bottom