Sorry i havent uploaded the photos will do so latterOppo R17 on Sell
Ram 6GB,
Storage 128GB
Global Version
Used 9 month in very Good Condition
Pm me if you are Interested
Price 500K
Thank You in Advance
Nauza samsung galaxy s7edge used like new 400k mawasiliano 0655073009/0766120237 location mbagala dsm na ina full accesories mpaka risiti na boksi nilonunulia kwa kifupi sio ya wizi.
Ingia kwenye uzi wa xiaomi ,unaweza pataJAMANI WANANDUGU JF MWENYE SIMU KAMPUNI YA XIAOMI REDMI TOLEO LOLOTE ANICHEKI PM AU WHATSAP 0763444962
Location MwanzaView attachment 1257997
Unauza ghali..laki 4HUAWEI NOVA 4
Clean as new
Ram 8gb
Internal memory 128gb
Camera 48M.P / 25 M.P(potrait)
Free cover & usb wire
Price 700k
Loc dsm
Contact no 0692583484
View attachment 1259180
JAMANI WANANDUGU JF MWENYE SIMU KAMPUNI YA XIAOMI REDMI TOLEO LOLOTE ANICHEKI PM AU WHATSAP 0763444962
Location MwanzaView attachment 1257997
380k nichekiNatafuta simu yoyote ya oppo 200k mpaka 350k kiwango changu
280kNauza samsung s8 New.
Storage 64 gb
Ram 4 gb.
Clean mint condition.
Bei:400000 tu.
Contact:0716026555
Chap matelephone.
Nauza samsung s8 New.
Storage 64 gb
Ram 4 gb.
Clean mint condition.
Bei:400000 tu.
Contact:0716026555
Chap matelephone.
Ipo kama hujapata njoo mpJAMANI WANANDUGU JF MWENYE SIMU KAMPUNI YA XIAOMI REDMI TOLEO LOLOTE ANICHEKI PM AU WHATSAP 0763444962
Location MwanzaView attachment 1257997
Mbona unauza bei ndoga sana au inatatizo ganiNauza samsung s8 New.
Storage 64 gb
Ram 4 gb.
Clean mint condition.
Bei:400000 tu.
Contact:0716026555
Chap matelephone.
kwa nn usichukue SM-G955F/FD(D for dual sim) Ambayo ni global/international Model?Nataka S8+ SM G955U offer 450k
Jamaa upo nondo sanaa daaaah.. mungu akubarikikwa nn usichukue SM-955F/FD(D for dual sim) Ambayo ni global/international Model?
Hio SM-955U ni USA-Unlocked,
kuna uwezekano ikakusumbua Network strength sbb umebadilisha zone.
Hii kitu watu wanachukulia poa ila ni vizuri sana ukinunua simu hasa samung ambao hutengeneza simu kuendana na zones,
Japo models zinazoishia na ...U au ...0 angalau ila best ni F/FD/DS....
Hizo ndio international na hata uende nchi gani utaitumia km ilivyo na haisumbui network n.k
Ukiona Samsung mwishoni mwa model inaishia na
A, Z, N, P, V, W, R4
jua umeuziwa carrier unlocked,
kwa vyovyote vile itakua ni used...
Yaani ni kama vile huku kwetu, Tigo anaingia ubia na Tecno amsaidie kutangaza na kuuza simu zake kwa bei ya chini, lkn tigo nae ana mpa mashart lazima Hii simu Tui LOCK kwa laini yetu,
kwaio unaenda Tigo Shop kununua simu ya tecno(mara nyingi tunasikia zinatangazwa na tigo),
na Moja ya mashart ni kwamba lazima laini moja iwe ya Tigo(hii ndio carries LOCKED sasa)
Ukitaka kutumia laini zote basi utalazimika kwenda kwa wa taaalam wai UN-LOCK(sisi tunaita ku flash japo sio lugha sahihi sana maana lugha nzuri ni ku unlock, neno ku flash hii lugha miaka ya nyuma kdg ilikua common sana kpnd kile tunanunua vile vi simu ya vodafone n.k)
Sasa hizo simu zenye hio Models hapo juu
Mfano ukaona inaishia na V, T au A
inamaanisha ni Verizon, T-Mobile au AT&T respectively,
Hio ni mitandao ya simu ya specificaly Marekani Km sisi tunavyosema vodacom, tigo Airtel imeingia ubia na samsung watengeneze simu maalum kwa mitandao yao,
mashart wanayowapa samsung ni kwamba ziuzwe kwa bei nafuu na pia zifungwe zitumie lain moja ya mtandao husika.
Kwahio samsung wao wanafaidika kwa simu zao kuuzwa kwa urahisi na haraka sbb ya matangazo mengi na upatikanaji rahisi,
na Mtandao husika nao unafaidika kwa kupata Wateja weng maana watu watafuata kilichorahisi na itabidi wafuate masgart ya kutumia laini ya wauzaji kwa angalau miaka miwili.
Kwa hio ikishaisha ile miaka miwili(mtumiaji lazima ufuate taratibu/mkataba ukikiuka uka i flash kabla ya miaka iliyowekwa ni kosa) ndio unakuta mtu anaweza kui Unkock,
Sasa mtu akiichoka anataka kuiuza ije africa atalazimika ku i unlock kama tunavyoita ku flash, halaf inaletwa huku...
Ndio unauziwa ww, kwaio piga ua hio simu lazima iwe used haijalishi kwa mda gani ila nyingi ni miaka miwili na kuendelea.
Lakn hii haimanishi hizo
F/FD/DS basi zote Ni mpya....
Cha kuelewa tu ni kwamba hizo zinatumika kimataifa na zinatumia laini zote,
kwaio pia mtu anaweza itumia ktk nchi nyingne akaiuza ikaja huku.
Akili kwako...
Za kuambiwa changanya na zako ....
Neno langu si sheriaaa.....
upendo na amani.
Pale unapoambiwa marehemu kabla ya kuibiwa alibakwa na watu zaidi ya wawili tunahiji ututajie wenzako mliokuwa nao.matapeli na wasio matapeli wote wamo,
inshu ipo jee utaangukia mikononi mwa yupi? Utamjuajee?
Cha msingi nikujarb kupunguza risk angalau kwa:
kuepuka
1.kununua simu vichochoroni
2.kutuma hela ukatarija kutumiwa simu
3.kununua simu bila kuichunguza(hua wanakuharakisha)
4.kununua simu bila kubaki na kithibitisho chochote cha aliekuuzia na mauziano.
5.Kununua simu ambayo ni nzima lkn muuzaji haitumii(offline), au mwambie aweke laini yake awasiliane na baadhi ya watu wake, akikataa kimbia
6.kununua simu hasa hizi za gharama(high ends)kwa bei chee sana au muuzaji anakuambia exchange allowed bila kuweka conditions zozote(huyu anachotoka simu imuondokee tuu, jiulize kwa nini?) kwa ufupi huyu anauzia simu tatizo sio shida(jitahd uelewe hapo)
7.kununua simu iliyobadilishwa imei,
8.kununua simu iliyo kwenye lock.
N.k n.k..
Yaani kikubwa sio kuuziwa simu fake, mbovua au nini inshu kwa sasa nikuuziwa simu ya wizi halaf wakai trace ukadakwa nayo wewee.... Aloooo utasaga menoo...nina ushahidi na hizi case sanaa, watu wanalizwa sanaaa
Asante Sana mkuu nikitaka kununua Samsung Nitakutafutakwa nn usichukue SM-955F/FD(D for dual sim) Ambayo ni global/international Model?
Hio SM-955U ni USA-Unlocked,
kuna uwezekano ikakusumbua Network strength sbb umebadilisha zone.
Hii kitu watu wanachukulia poa ila ni vizuri sana ukinunua simu hasa samung ambao hutengeneza simu kuendana na zones,
Japo models zinazoishia na ...U au ...0 angalau ila best ni F/FD/DS....
Hizo ndio international na hata uende nchi gani utaitumia km ilivyo na haisumbui network n.k
Ukiona Samsung mwishoni mwa model inaishia na
A, Z, N, P, V, W, R4
jua umeuziwa carrier unlocked,
kwa vyovyote vile itakua ni used...
Yaani ni kama vile huku kwetu, Tigo anaingia ubia na Tecno amsaidie kutangaza na kuuza simu zake kwa bei ya chini, lkn tigo nae ana mpa mashart lazima Hii simu Tui LOCK kwa laini yetu,
kwaio unaenda Tigo Shop kununua simu ya tecno(mara nyingi tunasikia zinatangazwa na tigo),
na Moja ya mashart ni kwamba lazima laini moja iwe ya Tigo(hii ndio carries LOCKED sasa)
Ukitaka kutumia laini zote basi utalazimika kwenda kwa wa taaalam wai UN-LOCK(sisi tunaita ku flash japo sio lugha sahihi sana maana lugha nzuri ni ku unlock, neno ku flash hii lugha miaka ya nyuma kdg ilikua common sana kpnd kile tunanunua vile vi simu ya vodafone n.k)
Sasa hizo simu zenye hio Models hapo juu
Mfano ukaona inaishia na V, T au A
inamaanisha ni Verizon, T-Mobile au AT&T respectively,
Hio ni mitandao ya simu ya specificaly Marekani Km sisi tunavyosema vodacom, tigo Airtel imeingia ubia na samsung watengeneze simu maalum kwa mitandao yao,
mashart wanayowapa samsung ni kwamba ziuzwe kwa bei nafuu na pia zifungwe zitumie lain moja ya mtandao husika.
Kwahio samsung wao wanafaidika kwa simu zao kuuzwa kwa urahisi na haraka sbb ya matangazo mengi na upatikanaji rahisi,
na Mtandao husika nao unafaidika kwa kupata Wateja weng maana watu watafuata kilichorahisi na itabidi wafuate masgart ya kutumia laini ya wauzaji kwa angalau miaka miwili.
Kwa hio ikishaisha ile miaka miwili(mtumiaji lazima ufuate taratibu/mkataba ukikiuka uka i flash kabla ya miaka iliyowekwa ni kosa) ndio unakuta mtu anaweza kui Unkock,
Sasa mtu akiichoka anataka kuiuza ije africa atalazimika ku i unlock kama tunavyoita ku flash, halaf inaletwa huku...
Ndio unauziwa ww, kwaio piga ua hio simu lazima iwe used haijalishi kwa mda gani ila nyingi ni miaka miwili na kuendelea.
Lakn hii haimanishi hizo
F/FD/DS basi zote Ni mpya....
Cha kuelewa tu ni kwamba hizo zinatumika kimataifa na zinatumia laini zote,
kwaio pia mtu anaweza itumia ktk nchi nyingne akaiuza ikaja huku.
Akili kwako...
Za kuambiwa changanya na zako ....
Neno langu si sheriaaa.....
upendo na amani.